Million dollars
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,508
- 2,068
NakaziaWadogo zangu wa chuo,msimsikilize mleta mada kuhusu GPA
Mstari wa mwisho umeandika eti GPA ni ya kuachana nayo kabisa,seriously??
Someni muelewe na muwe na GPA nzuri...zipo kazi zinatoka zinalimit GPA
Haimaanishi kupata GPA ya 1.5 just average ila wengi wenye GPA 4 kwenda juu ni wakaririshaji tu akina John Kisomo fulani, afu wanakuwaga wabinafsi, wachoyo, na walafi, sijui kwa nini sijawahi kuwa na rafiki wa design hiyo automaticaly wakinionaga wanachagua kunichukia.Nakumbuka huu utopolo tulikuwa tunadanganyana enzi zile tukiwa Chuo eti GPA kubwa haina maana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani eti usifaulu saana utaonekana umekariri au sijui kule kazini wanataka waone vitendo sio makaratasi like seriously? Watu wote wenye fikra za aina hii ni wajinga wa Kiwango cha Lami kwa sababu Nani atakupa nafasi Uoneshe Uwezo wako ikiwa hauna Kigezo kikuu ambacho ni Ufaulu?? Hivyo vitendo vyako vya kuproove wewe ni Bora kuliko mwenye GPA kubwa utavioneshea WAPI?
Ewe Mwanafunzi uliyepo Chuoni Muda huu nisikilize Mimi Kaka ako! Fanya kila liwezekanalo iwe Kwa chabo, Rushwa, wizi, Kukesha, Kukariri jitahidi Upate GPA kubwa tena likitokea Gape la kupata GPA ya 5 labda kwa Chabo au connection wewe pita Nayo tu usiangalie Nyuma Utakuja kunishukuru Baadae! Usije ukaogopa eti ooh Watanishtukia sina ujuzi, Wewe pita nayo tuu huku kazini kuna Trainings hauanzi kazi kimbuzi mbuzi tuu, janja janja zipo nyingi wewe hakikisha Unajitengenezea mazingira mazuri ya kupata kazi mengine utajua mbeleni[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Unazijua GPA za mawaziri wako????Haimaanishi kupata GPA ya 1.5 just average ila wengi wenye GPA 4 kwenda juu ni wakaririshaji tu akina John Kisomo fulani, afu wanakuwaga wabinafsi, wachoyo, na walafi, sijui kwa nini sijawahi kuwa na rafiki wa design hiyo automaticaly wakinionaga wanachagua kunichukia.
Nna GPA average na hawanitishii zao tunaperemba saresare, afu hamjuagi kujiongeza nje na elimu ya darasani ni mabogasi flani
Kwa uandishi huu yawezekana hata maana ya GPA huijuiNawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri
Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.
Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?
Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Kwa serikalini ni sawa hata ukiwa na pass (G.P.A ya gentleman) unaweza ajirika ila kama unataka kazi zenye mishahara minono mfano kuwa mwalimu wa chuo, mashirika ya kimataifa, migodini,,,,bank zinazoheshimika hapa nchini G.P.A ni ya muhimu ,,,,taasisi zote kubwa nyingi direct entry zinasema kabisa zinataka ipper second na kuendeleaNawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri
Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.
Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?
Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
NA CONNECTION PIA NIKITU KINGINEKUWA NA GPA NZURI NI KITU KINGINE
KUITETEA GPA YAKO PIA NI ISHU INGINE
HahahaaaNi sabuni ya kuogea inaondoa Harara, Mapunye na Chunusi
Waamasishe watu wasome waelewe na wapate GPA nzuri, vyote viwili vina umuhimu kuna kazi zina limit ya GPA hata ukitaka kuendelea kimasomo kwa ngazi inayofata kuna vyuo ambavyo vinalimit ya GPA mfano kusoma masters mzumbe ni lazima uwe na angalao upper second ya 3.5, hata iyo nafasi ya kuonesha kazi unayoiongelea ili upewe kwa asilimia kubwa inabidi uwe kwanza na GPA nzuri. Wanafunzi wasome waelewe walichofundishwa kwa vitendo na pia wakazane kupata GPA vyote viwili vina umuhimu na vinategemeanaNawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri
Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.
Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?
Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
true storyNA CONNECTION PIA NIKITU KINGINE
Duuuuh.....mkuu Kwan huwezi kujiendeleza?Nikifikiria jinsi ninavyofundisha vizuri,language skill ya kutosha kabisa na fluency yenye adabu lakini siwezi kuomba u lecturer kwa sababu ya GPA huwa naumia sana.haimanishi wenye GPA ndogo ndo wenye akili,na wote wenye kubwa nizamichongo
Kumbe ndo huyu daa ase mwachi ni kitombilo kweliKwa Style Hii lazima GPA kubwa zikunyanyase Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mtoto 26 ni halali kudai bima?
Mtoto 26 ni halali kudai bima?
Hello Naomba ushauri uyo ni binamu yangu ana miaka 26 baba yake amefariki alafu mama yake wakambo ndio anawatunza sasa kilicho tokea huyu mtoto ana mdai mama wa kambo hela ya kulipia bima mpka wanagombana na mama yake nashindwa kuelewa kabisa Huyu mtoto alipelekwa chuo mliman pale akachezea...www.jamiiforums.com
Dogo mjinga sanaNi sawa na mtu hana hela, anasema hata hivyo hela hazikupeleki mbinguni