GPA kubwa now hazina umuhimu sana

GPA kubwa now hazina umuhimu sana

Kwa Style Hii lazima GPA kubwa zikunyanyase Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Mtoto 26 ni halali kudai bima?
 
Yaan nilivyokuwa nakesha gheto nikisoma na kufanya assignment za group mwenyew huku nikiacha kwenda club nifaulu vzr...halafu anakuja mvivu mmoja anasema nimepata kwa ujanja ujanja namshangaa sana...

Kwa nini na wew usingefanya huo ujanja na uhuni ukafaulu na kupat GPA nzr...nan asiyependa kufaulu vzr jamani..

Binafsi GPA kubwa imenisaidia sana na ukiongeza na skills nyingi nilizokuwa nazo inazidi kunipaisha mno kimaisha....


NB.
UKIWA MAHALI POPOTE JITAHIDI UACHIEVE THE BEST USIFANYE MAMBO ILIMRADI...HATA KUFAULU VZR NI PART YA MAFANIKIO YA MAISHA.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka huu utopolo tulikuwa tunadanganyana enzi zile tukiwa Chuo eti GPA kubwa haina maana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani eti usifaulu saana utaonekana umekariri au sijui kule kazini wanataka waone vitendo sio makaratasi like seriously? Watu wote wenye fikra za aina hii ni wajinga wa Kiwango cha Lami kwa sababu Nani atakupa nafasi Uoneshe Uwezo wako ikiwa hauna Kigezo kikuu ambacho ni Ufaulu?? Hivyo vitendo vyako vya kuproove wewe ni Bora kuliko mwenye GPA kubwa utavioneshea WAPI?

Ewe Mwanafunzi uliyepo Chuoni Muda huu nisikilize Mimi Kaka ako! Fanya kila liwezekanalo iwe Kwa chabo, Rushwa, wizi, Kukesha, Kukariri jitahidi Upate GPA kubwa tena likitokea Gape la kupata GPA ya 5 labda kwa Chabo au connection wewe pita Nayo tu usiangalie Nyuma Utakuja kunishukuru Baadae! Usije ukaogopa eti ooh Watanishtukia sina ujuzi, Wewe pita nayo tuu huku kazini kuna Trainings hauanzi kazi kimbuzi mbuzi tuu, janja janja zipo nyingi wewe hakikisha Unajitengenezea mazingira mazuri ya kupata kazi mengine utajua mbeleni[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Haimaanishi kupata GPA ya 1.5 just average ila wengi wenye GPA 4 kwenda juu ni wakaririshaji tu akina John Kisomo fulani, afu wanakuwaga wabinafsi, wachoyo, na walafi, sijui kwa nini sijawahi kuwa na rafiki wa design hiyo automaticaly wakinionaga wanachagua kunichukia.
Nna GPA average na hawanitishii zao tunaperemba saresare, afu hamjuagi kujiongeza nje na elimu ya darasani ni mabogasi flani
 
Haimaanishi kupata GPA ya 1.5 just average ila wengi wenye GPA 4 kwenda juu ni wakaririshaji tu akina John Kisomo fulani, afu wanakuwaga wabinafsi, wachoyo, na walafi, sijui kwa nini sijawahi kuwa na rafiki wa design hiyo automaticaly wakinionaga wanachagua kunichukia.
Nna GPA average na hawanitishii zao tunaperemba saresare, afu hamjuagi kujiongeza nje na elimu ya darasani ni mabogasi flani
Unazijua GPA za mawaziri wako????
 
Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Kwa uandishi huu yawezekana hata maana ya GPA huijui
 
Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Kwa serikalini ni sawa hata ukiwa na pass (G.P.A ya gentleman) unaweza ajirika ila kama unataka kazi zenye mishahara minono mfano kuwa mwalimu wa chuo, mashirika ya kimataifa, migodini,,,,bank zinazoheshimika hapa nchini G.P.A ni ya muhimu ,,,,taasisi zote kubwa nyingi direct entry zinasema kabisa zinataka ipper second na kuendelea
 
Ni maneno ya mkosaji tu, wewe kama ni kilaza usitafute justification hapa. Deep inside inferiority complex inakutesa sana, kiufupi wenye GPA za chini wengi vilaza tu, usitegemee utapata kazi za maana na gpa yako ya manati, labda huko halmashauri.

Vijana chuoni nawambieni kazaneni piga GPA kali uwe the best, mimi mpaka hapa maisha safi kabisa tena maisha matamu sababu ya ufaulu wangu wa chuo.

Hakuna sehemu watamuacha mtu wa GPA kubwa eti wakuchkue wewe na 2.8 yako. Never
 
Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Waamasishe watu wasome waelewe na wapate GPA nzuri, vyote viwili vina umuhimu kuna kazi zina limit ya GPA hata ukitaka kuendelea kimasomo kwa ngazi inayofata kuna vyuo ambavyo vinalimit ya GPA mfano kusoma masters mzumbe ni lazima uwe na angalao upper second ya 3.5, hata iyo nafasi ya kuonesha kazi unayoiongelea ili upewe kwa asilimia kubwa inabidi uwe kwanza na GPA nzuri. Wanafunzi wasome waelewe walichofundishwa kwa vitendo na pia wakazane kupata GPA vyote viwili vina umuhimu na vinategemeana
 
Nikifikiria jinsi ninavyofundisha vizuri,language skill ya kutosha kabisa na fluency yenye adabu lakini siwezi kuomba u lecturer kwa sababu ya GPA huwa naumia sana.haimanishi wenye GPA ndogo ndo wenye akili,na wote wenye kubwa nizamichongo
 
Nikifikiria jinsi ninavyofundisha vizuri,language skill ya kutosha kabisa na fluency yenye adabu lakini siwezi kuomba u lecturer kwa sababu ya GPA huwa naumia sana.haimanishi wenye GPA ndogo ndo wenye akili,na wote wenye kubwa nizamichongo
Duuuuh.....mkuu Kwan huwezi kujiendeleza?
 
Kwa Style Hii lazima GPA kubwa zikunyanyase Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Mtoto 26 ni halali kudai bima?
Kumbe ndo huyu daa ase mwachi ni kitombilo kweli
 
Back
Top Bottom