Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Kwa mtazamo wangu tumechelewa kuwatumia wanafunzi wenye ufaulu wa juu (outstanding) kulisaidia taifa. Hivi inakuwaje mwanafunzi kidato cha sita ana point tatu, Chuo kikuu amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Labda niunganishe na wale wataalam wabobezi waliosimamia reseach kubwa kama mbegu za Mikorosho zinazo tumia miaka 25 kupata matokeo; mihogo nk nao tuna waacha tu wapotee eti kwa kuwa wamefikisha umri wa miaka 60?
Prof mmoja tulimuachia pale Naliendele baada ya kufikisha miaka 60 akachukuliwa na Nchi nyingine kuwa Mshauri wa Wizara ya kilimo nk nk nk
Labda niunganishe na wale wataalam wabobezi waliosimamia reseach kubwa kama mbegu za Mikorosho zinazo tumia miaka 25 kupata matokeo; mihogo nk nao tuna waacha tu wapotee eti kwa kuwa wamefikisha umri wa miaka 60?
Prof mmoja tulimuachia pale Naliendele baada ya kufikisha miaka 60 akachukuliwa na Nchi nyingine kuwa Mshauri wa Wizara ya kilimo nk nk nk