GPA ya 5 - Anazurura mtaani; we are not serious!

GPA ya 5 - Anazurura mtaani; we are not serious!

Nafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Jitahidi sana ubadilishe Mindset yako. DUNIA imebadilika sana. GPA sio tena kipimo cha uelewa na kigezo kinachozingatiwa kwenye Non Academic Sphere. Na sasa hivi ukionekana unashupalia hayo mambo ya GPA wewe ni mshamba. Kuna vijana mjini hapa wameajiriwa na wanalipwa Millions na sio sababu ya GPA ila ni sababu ya nini wanachodeliver na kusolve.
Kwa kifupi naomba tu nikwambaie acha ushamba
 
Yachuo gani maana kunavyuo broo GPA ya tano lakini kichwani patupu na unakuta hata ukisema anielezee kwa dk kadhaa kwakimalkia hawezi ulitaka awe wapi.

Kuna vyuo mtu mwenye GPA ya 4.5 anabaki Kama tutorial chuoni au kwenye matawi ya chuo hicho.

Kuna jamaa form four alitoka na dv 3-25, form six alipata dcde lakini ameenda chuo Fulani Arusha amepata GPA ya 4. Kwahiyo usiangalie GPA angalia na chuo Kuna vingine......... acha niishie hapa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia

Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.

Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.

Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau 😂

Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe

Sitakagi ujinga
Binadamu ni wanafiki sana mkuu yani ila bora umepata kushuhudia kuwa katika maisha huwa thamani ya mtu aionekani asipokuwa na kitu😅
 
Mtoa mada buana!mtaani na maofisin hatuishi kwa GPA,Mimi Nina GPA ya 2.1 lakini pengo langu hakuna wa kuliziba ofisini kwetu ingawa wapo wenye hizo GPA za 4s.

Mkishasifiwa ofisini mnaona kama ni warithi halali wa hivyo viti, acha hiyo kazi kesho uone kama hilo pengo lako halitozibika maana usisubiri ufariki maana kabla kaburi lako halijakauka washaweka mtu mwingine na kampuni itaendelea vizuri tu
 
Jitahidi sana ubadilishe Mindset yako. DUNIA imebadilika sana. GPA sio tena kipimo cha uelewa na kigezo kinachozingatiwa kwenye Non Academic Sphere. Na sasa hivi ukionekana unashupalia hayo mambo ya GPA wewe ni mshamba. Kuna vijana mjini hapa wameajiriwa na wanalipwa Millions na sio sababu ya GPA ila ni sababu ya nini wanachodeliver na kusolve.
Kwa kifupi naomba tu nikwambaie acha ushamba

Kuna baadhi ya kampuni na hata zingine zinazotoa graduate trainee programs chini ya 4.0 GPA sahau kupata maana hata mimi siamini mtu mwenye GPA ya juu ya 4.5 akawa ni mtu asiye na commitment au discipline kwa lolote atakaloligusa. Ila kwa kazi ambazo ni skills based ambazo ndio nyingi mtaani hawawezi kuangalia GPA maana haziwasaidii na kingine hizo kazi zinahitaji creativity na ule uwezo wa mtu natural zaidi kuliko knowledge ambayo mtu anayo kupitia shule

Mfano unahitaji graphic designer, marketing or IT person, GPA itaisaidia nini kampuni kama haioni kitu umedeliver ila kama ni reputable company na mmekutana wawili mnaoshabihiana vigezo na mwenzio ana GPA kubwa, hata kama wewe ni HR lazma utampa mwenye GPA
 
Leo nilikua namwambia kijana wangu kwamba....
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.....
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu
Bahati na connection pia
 
Bahati na network ni vitu muhimu sana pia.
Kama connections zako ni za walalahoi ni vigumu sana kutoboa kwenye maisha.
Nafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
 
kwa Nchi za wenzetu ukisoma Chuo chenje jina ukapata hizo pass, unaombwa ubaki na kutafutiwa kazi na nyingine huenda mbali na hata kupewa Uraia wanajua umuhimu wa mchango wako kwa Taifa lao hata kama hautakuwa direct.
Huku kwetu mtu anapata GPA ya 4.8 anabaki anazurura hadi aonekane achukuliwe kunufaisha huko nje (tunasubiri kazi zitangazwe, Shame!
Ukweli ni kuwa, watu wa hizo pass wapo very serious kwa chochote atakachofanya
Yes ni kweli , kama vile kina mzee wa jalalani
 
Nafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Tuambie kwanza hivyo vyuo ambavyo mtu anapata hizo GPA.
 
kwa Nchi za wenzetu ukisoma Chuo chenje jina ukapata hizo pass, unaombwa ubaki na kutafutiwa kazi na nyingine huenda mbali na hata kupewa Uraia wanajua umuhimu wa mchango wako kwa Taifa lao hata kama hautakuwa direct.
Huku kwetu mtu anapata GPA ya 4.8 anabaki anazurura hadi aonekane achukuliwe kunufaisha huko nje (tunasubiri kazi zitangazwe, Shame!
Ukweli ni kuwa, watu wa hizo pass wapo very serious kwa chochote atakachofanya
Usilinganishe pass mark za huko nje na pass mark za baadhi ya vyuo vyetu, kuna utofauti mkubwa.
 
Yachuo gani maana kunavyuo broo GPA ya tano lakini kichwani patupu na unakuta hata ukisema anielezee kwa dk kadhaa kwakimalkia hawezi ulitaka awe wapi.

Kuna vyuo mtu mwenye GPA ya 4.5 anabaki Kama tutorial chuoni au kwenye matawi ya chuo hicho.

Kuna jamaa form four alitoka na dv 3-25, form six alipata dcde lakini ameenda chuo Fulani Arusha amepata GPA ya 4. Kwahiyo usiangalie GPA angalia na chuo Kuna vingine......... acha niishie hapa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Da Joi Ndalichako Wa Kasulu Anasemaje Yeye Mwenyewe
 
Sasa kama hana ajira wa kulaumiwa ye yeye mwenyewe huyo bwege 😄😄..
Kwa GPA hiyo atengeneze ajira aajiri wengine.
 
kwa Nchi za wenzetu ukisoma Chuo chenje jina ukapata hizo pass, unaombwa ubaki na kutafutiwa kazi na nyingine huenda mbali na hata kupewa Uraia wanajua umuhimu wa mchango wako kwa Taifa lao hata kama hautakuwa direct.
Huku kwetu mtu anapata GPA ya 4.8 anabaki anazurura hadi aonekane achukuliwe kunufaisha huko nje (tunasubiri kazi zitangazwe, Shame!
Ukweli ni kuwa, watu wa hizo pass wapo very serious kwa chochote atakachofanya
Hayo yalikuwa mawazo ya kizamani sana hata ulaya kuna GPA 5.0 wapo tu acheni kudanganyana nchi zilizo nying ajira ni chache kuliko wahitaji

GPA kubwa na ujuzi ni vitu tofauti sana Tena kwa tanzania unaweza nunua GPA ya 5.0 na ukawa kilaza wa kuigwa

Kuna bint nakumbuka alikuwa bingwa wa kugawa papuchi kwa ma lecturer na alitunukiwa GPA ya 4.8 lakini hata kuandika report tu hajui hata pa kuanzia
 
Back
Top Bottom