20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Unashangaa chief? Ila kuipata ni possible si ndio maana ikawekwa kuwa ipo!!Hizo GPA ya 5 mnapataje Nyie vitoto vya sasa? Unajua maana ya GPA 5 Points.
Maskini Tanzania! Ni ya chuo gani hiyo GPA?
Sasa Upataji wa Hiyo GPA ndio ishu mahudhulio tu Class yanakupa marks
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app