GPA zetu bongo kweli ni kizungumkuti

yah... hiyo point.... kwenye chuo changu hata second upper class ni ndoto kwa lola mtu....
 
Eeeeh M/MUNGU nakushukuru kwakunijaalia kusoma kwa ajili ya kupanua mawazo na utambuzi wa mambo mengi na wala sikusoma kwaajili ya kupata GPA kubwa!!!! nachojua mimi gpa ni sehemu ya matokeo ya machache uliyojifunza na mengi ni pale graduate atakapokwenda kwenye implememntation ya hicho alichokisoma na sio kujigamba ooohh! mara UDSM hivi mara SAUT vile, mara st. joseph cjui nininini!!!!! someni na fanyeni tafiti za kina zenye tija mnapokuwa mnafanya thesis zenu za masomo, sio kulialia humu JF
 

UDSM na matawi yake unapata GPA hata 4.9 but lazima usome sana tofauti na Vyuo vingine kama Tumaini au RUCO ambapo mwanafunzi akifeli tu mwalimu hana kazi na anaweza kuwa na SUPP lakini wakubwa wakamchomoa tofauti na UDSM na ndiyo maana chuo hiki ni BORA ni cha NNE AFrica.
LINK Top 100 Universities in Africa | 2013 World University Ranking
 
Ninachokijua mimi binafsi ni kwamba mitihan yote ya final (UE) inakaguliwa na external examinors lakin baada ya mtihan kufanyika!, labda sasa TCU waanzishe utaratibu wa kufanya hivo before,ili kuondoa hizi superiority complex na kubezana eti kwasababu huyu kakosa gpa ya 5.0 kwaajil ubora wa chuo chake na yule kapata 5.0 kwaajili ya ubovu wa chuo chake. NOTE: MJADALA HUU NI MPANA SANA NDUGU ZANGU!
 
ahaaaaa!!! bongo bana eti bado mnawaza kuhusu gpa! mbona nchi hi unaweza kua hata gpa ya 4.9 ukasugua bench kijiweni wakat walopata 2 wakula nchi! jitume achana na gpa za bongo!
 
 
Wewe ni hoi katika hoja. Kwa hiyo sifa ya MU ni kuwa na watu wa kudisco. Poleni!
 
Sasa wajumbe hivi hicho chuo ha ST.JOSEPHY ndo kinapatikana wapi na SURP ndio nini wajumbe? Hata abbreviations tu zinawashinda sasa ndo mpewe first class kwel? kuweni serous bwana hakuna Elimu rahisi. Piga shule utatoka
 
Umeongea ukweli UDSM gpa wanatubania, nenda SAUT , ST.JOSEPHY gpa wanapewa tu

Msomi huwa anaongea na facts, unadhani elimu ya UDSM ya zamani ndo ya sasa, ratio ya 1:30? Kuna tcha mmoja alikuja Field ya Econ, kutoka Udsm, japo tulikuwa tumekaa mwaka bila mwl wa Econ watu walimkacha heri wakariri notes, ni weupe kichwani (By Hon. Machemli MP Ukerewe).
 

Kuwa ranked no 4 kuna vitu vingi wanaangalia kama Idadi ya Ma profesa, Dr, resources, ratio ya wanafunzi na walimu, afu hivi vyuo vya gvt huwa vinapendelewa sn, nk. Hivyo basi hawa wanafunzi watokao vyuoni sasa, wenye tabia ya kuongezewa wastani wa 9(maksi 81) ili ufaulu uongezeke 4m 2 kufurahisha wakubwa, na kuongezewa div 1 mbele mtihani wa 4m na 4m 6; jina la chuo halitakubeba ktk utendaji wako wa kazi. Cha mhimu ni kusoma ww mwenyewe kwa bidii uwapo chuoni na c vinginevyo. Kwani huyu mkuu wa nchi kasoma wapi? Na matokeo yake yakoje na utendaji wake wa kazi ukoje?

Bwana Yesu Asifiwe.
 

Je hawa TCU watakuwa reliable kwa kiasi kipi? Kama NECTA tu mtihani wa darasa la 7 wanavujisha? C WABUNGE WOTE WA CCM watakuja na degree tena first class 2015!! Kama Mr. MSEMA KWELI aliwandika wachukuliwe hatua hadi leo bado na wengine wakadiliki kulangua vitabu visipatikane hapa Tz!! Hawa NECTA + TCU wakipewa hiii kazi basi elimu mfukoni mwa mafisadi.
Bwana Yesu Asifiwe
 
The highest form of ignorance is when you reject something you dont know about it..... ha ha ha ha ha.



“Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa,” Mateo Qaresi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…