GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

mwanzoni mwa huu uzi nilijua yawezekana kuna watu wanaunda majungu, baada ya kusoma vizuri michango ya wadau naona kabisa kuna shida kwenye hii taasisi, nimejaribu kuongea na wafanyakazi baadhi wa GPSA ili kupata ukweli maana kuna rafiki zangu wako halmashauri na walikuwa hatua za mwisho kuhamia hapo, wanavozungumza kuhusu taasisi yao unaona kabisa kuna shida, jamaa wameamua kucancel uhamisho.
 
Kuna member kani -PM anasema DBSS hayupo ofisini kachukua likizo ya wiki mbili baada ya hii habari kutoka, na tayari kashaenda kwao Iringa/Njombe kwa hiyo nijiandae na radi ya tani 800 mchana kweupe kama bomu lililopigwa HIROSHIMA😀😀😀😀😀😀 .. Huyu ndio zake lazma kaenda kupuliza kiringeni lakini tayari kashachelewa sana.
Kwa ukweli hii taasisi ina aminika kuwa na shetani watatu wanaofahamika mkubwa wao ni huyo DBSS. Kazi yao kubwa ni kuiba na kutesa wenzao. Katika kuficha ili wasionekane wala kujulikana kwa wakubwa, wamekuwa wakishindana kusafiri kutafuta kinga kwa Sangoma. Wanaoteswa ni wale wasiopenda kuiba na kutesa wenzao kama shetani hao.

Kiwango cha utendaji wao kina mashaka makubwa kwa kuwa kila kitu kinachakachuliwa ili zipatikane pesa za kupeleka kwa sangoma ili kujilinda dhidi ya anayeweza kuona au kushtukia hali hiyo.

Hapa ndipo tulipofika na hi ndio hali halisi, kila kitu ni sangoma. Kwa takribani wiki moja sasa nasikia DBSS hayupo na hakuaga kuwa amekwenda wapi. imebaki ikiaminika kaenda kuweka mambo yake sawa kwa Sangoma kuzima hili skendo
 
Kwa ukweli hii taasisi ina aminika kuwa na shetani watatu wanaofahamika mkubwa wao ni huyo DBSS. Kazi yao kubwa ni kuiba na kutesa wenzao. Katika kuficha ili wasionekane wala kujulikana kwa wakubwa, wamekuwa wakishindana kusafiri kutafuta kinga kwa Sangoma. Wanaoteswa ni wale wasiopenda kuiba na kutesa wenzao kama shetani hao.

Kiwango cha utendaji wao kina mashaka makubwa kwa kuwa kila kitu kinachakachuliwa ili zipatikane pesa za kupeleka kwa sangoma ili kujilinda dhidi ya anayeweza kuona au kushtukia hali hiyo.

Hapa ndipo tulipofika na hi ndio hali halisi, kila kitu ni sangoma. Kwa takribani wiki moja sasa nasikia DBSS hayupo na hakuaga kuwa amekwenda wapi. imebaki ikiaminika kaenda kuweka mambo yake sawa kwa Sangoma kuzima hili skendo
🙂🙂nafurahi sana kuona jipu limepata mtumbuzi, GPSA nina marafiki wengi niliowaacha pale nitaenda wiki ijayo kuwatembelea. Mimi ni mvivu wa kuandika ila siku nikiandika humu kutalipuka, naona nyie mnagusia juu juu tu,nashauri hata Werema afuatwe huko TASAC aulizwe nini kilifanya wakashindwana na uongozi wa GPSA, watajua mengi huyu jamaa alikuwa kichwa sana
 
🙂🙂nafurahi sana kuona jipu limepata mtumbuzi, GPSA nina marafiki wengi niliowaacha pale nitaenda wiki ijayo kuwatembelea. Mimi ni mvivu wa kuandika ila siku nikiandika humu kutalipuka, naona nyie mnagusia juu juu tu,nashauri hata Werema afuatwe huko TASAC aulizwe nini kilifanya wakashindwana na uongozi wa GPSA, watajua mengi huyu jamaa alikuwa kichwa sana


Suala la Jimmy .,...Siku Zote Ukisimamia Ukweli Lazima Uwe na Maadui ...Kitengo Cha Ugomboaji ...Ukiwa Mgumu,mchapakazi lazima Upigwe mawe ...Manager Government Clearing,Bwana Jimmy Anapambana Sana na Hizo Kashfa zote anazopewa Hapo Ni Njia ya Kumuondoa Yeye Kwenye Mapambano Kwa Mwaka Huu wa 2020 .... Ugomboaji Wamevuka Malengo ya 5% Kwenda Juu ya Idadi ya Mizigo Yote ya Mwaka 2019 na Mizigo Yote iliyotoka Mwaka Huu 2020 ..kwa sisi clearing Agents Ambao Tunafanya Kazi na GPSA kupitia Kwa Government Project Nyingi Tunafurahi Kwa Kazi Nzuri ya Hiki Kitengo Cha Ugomboaji ...Vijana Pamoja na Meneja wao Hawalali Kwenye Entry zote Kuanzia Aiport (Swissport,DHL,African flight),Bandari(Ticts,TPA,ICD's) na Road Consignment Wanafanya Kazi Kubwa Sana Kwa 24/7 Kwa Siku Zote za Kazi Kiserikali na Nje ya Kazi
 
Suala la Jimmy .,...Siku Zote Ukisimamia Ukweli Lazima Uwe na Maadui ...Kitengo Cha Ugomboaji ...Ukiwa Mgumu,mchapakazi lazima Upigwe mawe ...Manager Government Clearing,Bwana Jimmy Anapambana Sana na Hizo Kashfa zote anazopewa Hapo Ni Njia ya Kumuondoa Yeye Kwenye Mapambano Kwa Mwaka Huu wa 2020 .... Ugomboaji Wamevuka Malengo ya 5% Kwenda Juu ya Idadi ya Mizigo Yote ya Mwaka 2019 na Mizigo Yote iliyotoka Mwaka Huu 2020 ..kwa sisi clearing Agents Ambao Tunafanya Kazi na GPSA kupitia Kwa Government Project Nyingi Tunafurahi Kwa Kazi Nzuri ya Hiki Kitengo Cha Ugomboaji ...Vijana Pamoja na Meneja wao Hawalali Kwenye Entry zote Kuanzia Aiport (Swissport,DHL,African flight),Bandari(Ticts,TPA,ICD's) na Road Consignment Wanafanya Kazi Kubwa Sana Kwa 24/7 Kwa Siku Zote za Kazi Kiserikali na Nje ya Kazi
Tunafurahi Mizigo Yetu Inatoka Kwa Wakati na Uhakika Kupitia Ugomboaji
 
Suala la Jimmy .,...Siku Zote Ukisimamia Ukweli Lazima Uwe na Maadui ...Kitengo Cha Ugomboaji ...Ukiwa Mgumu,mchapakazi lazima Upigwe mawe ...Manager Government Clearing,Bwana Jimmy Anapambana Sana na Hizo Kashfa zote anazopewa Hapo Ni Njia ya Kumuondoa Yeye Kwenye Mapambano Kwa Mwaka Huu wa 2020 .... Ugomboaji Wamevuka Malengo ya 5% Kwenda Juu ya Idadi ya Mizigo Yote ya Mwaka 2019 na Mizigo Yote iliyotoka Mwaka Huu 2020 ..kwa sisi clearing Agents Ambao Tunafanya Kazi na GPSA kupitia Kwa Government Project Nyingi Tunafurahi Kwa Kazi Nzuri ya Hiki Kitengo Cha Ugomboaji ...Vijana Pamoja na Meneja wao Hawalali Kwenye Entry zote Kuanzia Aiport (Swissport,DHL,African flight),Bandari(Ticts,TPA,ICD's) na Road Consignment Wanafanya Kazi Kubwa Sana Kwa 24/7 Kwa Siku Zote za Kazi Kiserikali na Nje ya Kazi
Usiquote Mimi kuhusu Jimmy, huyo mtu Mimi simjui kabisa siwezi kusema uongo juu yake na Wala sijazungumzia, nilicho na uhakika nacho nitakisema kwa vile tu ni mvivu wa kuandika ila iko siku nitaandika, pale Kuna upumbavu mwingi sana hasa huyo mkurungenzi wenu wa fedha na utawala ni mshenzi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la Jimmy .,...Siku Zote Ukisimamia Ukweli Lazima Uwe na Maadui ...Kitengo Cha Ugomboaji ...Ukiwa Mgumu,mchapakazi lazima Upigwe mawe ...Manager Government Clearing,Bwana Jimmy Anapambana Sana na Hizo Kashfa zote anazopewa Hapo Ni Njia ya Kumuondoa Yeye Kwenye Mapambano Kwa Mwaka Huu wa 2020 .... Ugomboaji Wamevuka Malengo ya 5% Kwenda Juu ya Idadi ya Mizigo Yote ya Mwaka 2019 na Mizigo Yote iliyotoka Mwaka Huu 2020 ..kwa sisi clearing Agents Ambao Tunafanya Kazi na GPSA kupitia Kwa Government Project Nyingi Tunafurahi Kwa Kazi Nzuri ya Hiki Kitengo Cha Ugomboaji ...Vijana Pamoja na Meneja wao Hawalali Kwenye Entry zote Kuanzia Aiport (Swissport,DHL,African flight),Bandari(Ticts,TPA,ICD's) na Road Consignment Wanafanya Kazi Kubwa Sana Kwa 24/7 Kwa Siku Zote za Kazi Kiserikali na Nje ya Kazi
Mbna umekwepa tuhuma zilizoelezewa, wewe unachozungumza ni kitu tofauti ingawaje ni ukweli kwa taarifa za uhakika japo sijafika mda mrefu huko ofisini kwenu, Kwa hali ilivo Sasa Kitengo kimeimarika sana na watu wanapiga kazi. Lakini vipi kuhusu tuhuma za upigaji zilizotajwa hapo juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijua tu wenye mawazo kama yako hawakosekani, na kwa nyakati zetu hizi HUKUTAKIWA KUWA HAI WEWE MBWA.
Tuna mifumo ambayo haitoi haki, haitaki uwazi na haitaki kukosolewa! Ajabu haya hujui? au wewe ni mmoja wa waliotajwa hapa?, au wanufaika wake? au nyumba ndogo?
M2wawa2 ningejuaje kama wewe mi wa aina hiyo kama hukujionyesha?
 
Kwenye suala la kulipwa kidogo watumishi wa mikoani kulinganisha na makao makuu hapa naungana na mwandishi wafanya maamuzi hawakufikiria zaidi huku mikoani kuna upungufu mkubwa wa wafanyakazi, watu tunafanya kazi kubwa usipokuwepo hata kama unaumwa kazi hazifanyiki kiukweli hili inabidi liangaliwe, Hili la mfuko tunalokatwa kwenye mishahara kuchangia hawakutushirikisha ipasavyo tungeweza kutoa maoni tofauti maana hii mishahara ndio tegemeo letu kwenye kuchukulia mikopo kwenye taasisi za fedha japokuwa wafanyakazi wengi ni waoga ila hawaafiki haya makato ya kwenye mishahara, ni bora ingekatwa sehemu nyingine lakini pia linapokuja suala la usimamizi wa huu mfuko hapa wengi tunapata mashaka, Sisi tulio kwenye taasisi tangu zamani tulishawishiwa kujiunga na mfuko wa GPSA HOUSING na GPSA SACOSS kwa ahadi nyingi sana za kupata viwanja na kujengewa nyumba, kinachoendelea huko kwa sasa kinasikitisha, ukiomba mkopo mwanachama wa kawaida utafikiri unaomba msaada mfuko umebaki kuwa mali ya kikundi cha watu flani, kibaya zaidi mwanachama akifa, akihama,kuacha au kuachishwa kazi hakuna utakachoambulia japo kila mwezi unakatwa kwenye mshahara. wasiwasi wetu ni kuwa huu mfuko mpya ukishakuwa na pesa nyingi hayawezi kutokea kama yale yanayotokea kwenye mifuko mingine maana hii mifuko haifanyiwi ukaguzi. sioni tatizo la mtendaji mkuu lakini kuna watu wanamzunguka na hawa ndio wanaomharibia, kuhusu DBSS huyu hata mimi hapana na nafikiri ndio chimbuko la yote haya
NASHAURI utaratibu wa mwanzo uliokuwa unatumika kwenye kuchangiana kwenye matatizo uendelee huu wa mfuko hapana tunaweza kuwafaidisha watu hapa
Tunapiga kazi sana huku mikoani halafu hata hawatuthamini na huu mfuko hata mimi naona kabisa umekaa kiwiziwizi kwa huko baadae mimi barua yangu tayari wanayo wanitoe tu kwa kweli
 
mkuu upo TANESCO Nini
Haya mambo haya, hili andiko limenikumbusha mbali sana, miaka michache iliyopita lilitoka andiko humu jamiiforum bila shaka liliandikwa na mfanyakazi wa pale ofisini kwetu likituhumu baadhi ya maofisa wa juu wa taasisi kwa rushwa na unyanyasaji wa wafanyakazi. ilikuwa pata shika pale ofisini kwetu, kwa mara ya kwanza namuona mkurugenzi ambae alikuwa prof. na aliyekuwa anafanya kazi huko USA kabla ya kuja nchini akakabidhiwa taasisi kuiongoza akiwa kachanganyikiwa,ofisi nzima ni kutafutana nani aliyechomoa betri kwa wakuu hao.kumbe lile andiko lilionwa na wazee wa kazi na huko serikalini. mpaka ninavoandika hapa yule mkurugenzi wetu alishafukuzagwa na baadhi ya wakurugenzi wengine Inasemekana walifilisiwa baada ya mambo kufanyiwa uchunguzi na kukuta baadhi ya tuhuma ni za kweli ukikutana nao mda huu huwezi jua kama walishawahi kuwa na vyeo vikubwa vile wamechoka na wanatia huruma, wengi sasa wana magonjwa ya moyo, kisukari na presha na wanasubiri kufa tu, mpaka leo hii imeabaki kitendawili nani alichomoa betri kwa wakuu hawa waliokuwa untouchable pale ofisini. Serikali haijalala hata hizi tuhuma kama ni za kweli zitafanyiwa kazi na majibu mtayaona huwa hawakurupukagi kwenye kufanyia kazi tuhuma lakini mambo yakianza kuchanganya kama ni ya kweli watu watatafutana,kwa sasa serikali iko zaidi kwenye suala la corona ila sio kwamba itapuuza kama hizi tuhuma ni za kweli, hakuna mtu ofisini kwetu aliyeamini yale madai ya ofisini kwetu yaliyoletwa hapa jf kama yatafanyiwa kazi lakini mwisho wa siku yaliondoka na wengi pale ofisini.
ngoja niutafte ule uzi wa ofisini kwetu niulete hapa muuone.
 
Da inasikitisha sana. Pole sana kwa wafanyakazi mnaopitia madhila hayo. Nimesikitishwa na huyo mama aliyekuwa na tatizo la kansa na pia kufariki japo taasisi siyo iliyosababisha kifo ile tu kunyimwa uhamisho mapema uenda angeishi miaka mbele zaidi.Nimesikitishwa pia na huyo mfanyakazi pia aliyeacha kazi baada ya kuhamishiwa Songwe na Ruvuma. Jambo moja nalofahamu mimi ni vizuri ukishindwa kutendewa haki ya kiutumishi uende ngazi za juu nje ya taasisi yako naamini msaada upo. Taasisi siyo mwajiri wa mwisho wa mtumishi. Ukikosa msaada kabisa huko ndo sasa waweza kuamua vinginevyo. Nampongeza aliachishwa kazi alichukua hatua na haki yake ikapatikana. Vyema sana serikali kufuatilia kwa karibu taasisi hii. Hizi ni tuhuma nzito sana na siyo kuacha zipite tu. Waliotoa taarifa hizi ni whatchdog/ whistle blowers wasipuuzwee
 
Basi wewe ni mzalendo, hii taasisi nasikia inanyanyasa sana wafanyakazi wake ni kweli?Kuna jamaa zangu wako halmashauri walikuwa kwenye process za kuhamia huko Baada ya kuona huu uzi wameona isiwe tabu naona kila mmoja amegeuza gia angani
Mkuu, Kuna rafiki yangu nae alikuwa kwenye process Kama hao jamaa. Yeye barua yake imeshafka Hadi Utumishi maana alishapata nafasi huko. Kwasasa Anasema amefwatilia Utumishi akakuta barua ipo hatua za mwisho kukamilika uhamisho. Sasa nayy baada ya kuona huu uzi, anataka ku cancel, je afanye hatua zipi ili a cancel uhamisho huko.
 
Yametimia, Kisiki kimeng'olewa GPSA. Huu ni mwanzo tu

Serikali huwa hailali kwa tuhuma za kweli. Ma-infomer mliopo GPSA mmefanya kazi nzuri sana
Kuna nini kwani huko? Weka japo press release
 
Back
Top Bottom