GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

Aisee mkuu mimi kama mimi hawajanifanyia lolote baya pamoja na kwamba hao wote wanaotuhumiwa hapa ni watu tunaofahamiana vizuri. Tatizo au baya lililofanyika ni kwa umma wa watanzania. Pia kwenye nyongeza yangu sijataja jina la mtu. Ila nilichoandika nina uhakika nacho maana uwa sioni faida yoyote ya majungu.
Basi wewe ni mzalendo, hii taasisi nasikia inanyanyasa sana wafanyakazi wake ni kweli?Kuna jamaa zangu wako halmashauri walikuwa kwenye process za kuhamia huko Baada ya kuona huu uzi wameona isiwe tabu naona kila mmoja amegeuza gia angani
 
Mimi naongezea jambo moja ambalo linaweza kuongezwa na wahusika kwenye mambo ya kufanyia uchunguzi hap GPSA. Ila nina hakika nalo. Pale GPSA kwenye magari wanayonunulia taasisi za serikali kuna dealers wa hayo magari wanaopendwa na wasiopendwa japo wote wanakuwa wameingia mikataba na GPSA. Wanaopendwa ni wale wanaotoa commission ya kueleweka na mmoja wao ni TOYOTAR. Dealers wengine wanafanyiwa figisu sana kwenye kuingia au ku-renew mikataba na pia kwenye kununuliwa magari kutoka kwao na wanalalamika sana.
Nakazia hapa...na haya ndiyo madili ya DBSS hapa Sina uhakika Kama CEO nae yumo ila huyu DBSS asilimia zote ndio fundi mitambo mkuu kwenye haya madili...
 
Duuuh Hawa jamaa wa GPSA wamewafanya nini wakuu aisee mmeamua kuchomoa betri
Hili sio la kuuliza, ndio maana nilisema GPSA sio taasisi mbaya tatizo ni watu walio kwenye management, Wana roho mbaya za manyanyaso hasa huyo DBSS
 
Muazisha uzi nakuunga mkono kwa baadhi ya hoja/maovu uliyoibua katika taasisi ya GPSA,

Mimi nikazia/ibua ufisadi, fitna majungu na matumizi mabaya ya madaraka unaofanywa na meneja GPSA Clearling somebody Mr. Jimi, naomba ieleweke haya yanayoandikwa sio majungu ni ukweli mtupu na inafanyika hivi katika kumsadia bosi wa GPSA anaefanya jitihada kubwa kuiboresha GPSA.

1. Ufisadi mkubwa unaofanywa na meneja clearling ni kutumia baadhi wasafirishaji ( transporters wasiotambulika na GPSA wala PPRA na mara nyngi anapowatumia hupata kamisheni kubwa ambayo hupitia kwa stafu
anaitwa Jafeth ili ampelekee bosi wake. matransporters hao anaonufaika hulipwa pasi kuwasilisha EFD risiti wala hawakatwi witholding tax wakati invoisi zao
zimeonyesha VAT ( bosi GPSA, TRA kodi za ndani, PPRA na TAKUKURU) fuatilieni hili kodi (VAT) ya serikali inapotea sana Wakaguzi wa ndani na nje fuatilieni hili mjue ukweli na mumsaidie CEEO wa GPSA
huenda hajui hili.

2. Kwa ukaribu alionao na bosi wa GPSA CEEO meneja Jimmi amekua akifanya kazi kwa fitna, majungu na upendeleo kwa baadhi ya mabinti aliyo kwenye mahusiano nao kimapenzi. mara kadhaa amekua akipitisha malipo makubwa kwa kaz ndogo kwa hao mabinti, na hili lilishapata
kulalamikiwa na stafu wa kiume katika vikao vyao vya ndani. (bosi GPSA fuatilia hili ujue ukweli).

3.Meneja huyu wa GPSA anatumia madaraka vibaya kuna stafu wa kike-
Interni kwa jina kama sikosei alikua anaitwa Aulah aliondolewa kwa
fitna na majungu kisa tu alikataliwa kua na mahusiano ya kimapenzi, binti huyu
aliondolewa pasi hata kulipwa stahiki yake ambayo haizidi hata laki tatu. GPSA stafu wote wanalijua hili ( Bosi wa GPSA fuatilia hili kupitia informa wako upate kujua ukweli).

4. Meneja GPSA clearling amekua ni mtu mwenye majivuno, kibru, jeuri na mwenye dharau kwa wateja, makandarasi wa miradi mbalimbali ya serikali wanao clear mzgo yao kupitia GPSA wanaweza kua mashuhuda
wazuri juu ya meneja huyu.

5. Matumizi mabaya ya gari la serikali na mateso makubwa kwa dereva wake. Meneja GPSA clearling amekua akikaa bar/night club hadi usiku wa manane ( mpaka sa8 usiku) huku dereva akiwa anamsubiri nje pasi kumnunulia chakula wa maji na hii haijalishi ni wiki days ama wikiend, hili sio jungu ni ukweli mtupu, madereva wa GPSA wanaweza kua mashuhuda wazuri ( bosi GPSA CEEO fuatilia hili, Jimmi anatumia vibaya rasilimali za umma ambapo ni kinyume cha sheria utumishi na anawapa
mateso makubwa madereva wake). kuna dereva anaitwa Haule hakua tayari kuvumilia mateso hayo, mwishowe Jimmi akamtengenezea zengwe ili afukuzwe kazi lakini akagonga mwamba, na dereva huyo akahamishwa. (Mamlaka husika fuatilieeni hili).
6. Kwa kua meneja Jimmi anabebwa sana na bosi kubwa wa GPSA, amekua akimpelekea CEEO majungu juu ya baadhi ya wafanyakazi wa GPSA Clearling na CEEO bila kufanyia uchunguzi kupitia informa wake (naamini anao wengi) amekua akiwahamisha bila sababu za msingi ( hapa
bosi GPSA awe anafanya uchunguzi kujiridhisha ndipo achukue hatua),
katika kisichozidi miez 9 amewapiga majungu stafu zaid ya 7 wakahamishwa bila sababu za msingi.

7. Meneja Jimmi ni incompent person yaani ni kilaza sijui alipataje hio nafasi nyeti na kubwa, nadhani alibebwa. Kupitia GPSA Clearling amekua akiisababishia serikali na taasisi zake gharama kubwa za kutunza mizigo bandarini ( storegi charges ) hili sio jungu mashuhuda wazuri hapa ni taasisi/mashirika/wizara zinazohudumiwa na GPSA kama Muhimbili chuo, Muhimbili hospital, MSD, nakadhalika.

Hitimisho, kwa kutoa rai kwa bosi wa GPSA CEEO, anavyoendelea kuiboresha GPSA atume wakaguzi wa ndani na nje ndipo atakapobaini ukweli haya yote yaliyosemwa;
- Baadhi ya wasafirishaji (transporters) wasiosajiliwa na GPSA wala
PPRA nyingi ni briefcase kampani hawana ofisi wala roli hata moja.
-Baadhi Wazabuni/transporters kulipwa pesa kamili pasi kuwasilisha
receipt za EFD wala kukatwa witholding tax wakati invoice za zimejumisha VAT.
-Majungu waliotengenezwa kwa stafu zaidi 7 mpaka ikapelekea huhamishwa
bila sababu za msingi.
-Gharama kubwa za utunzaji (storage chargi) zinazolipwa taasisi za
uma ikiwemo mzigo inayoaagizwa na GPSA wenyewe.



Government Clearing-GPSA Haina Tabia ya Kuchelewesha Mizigo Ukiona Mizigo Inacheleweshwa ni Changamoto ya Taasisi ya Serikali Kushindwa Kulipwa Kwa Wakati ....


Ugomboaji Wanafanya Kazi Kubwa Sana Kwa Maslahi ya Taifa Unavyoona Madawa,Vifaa Tiba,Miradi ya Umeme na Vitu Mbalimbali Vinavyoagizwa na Taasisi ya Serikali Ni Kazi ya Government Clearing-GPSA ....Meneja Jimmy ni Moja ya Viongozi Ambaye Ana Misimamo Mikali na Hata Utendaji wake Ni Mzuri Sana ...Hali ilivyo Ugomboaji ya Mwanzo na Hii ya Sasa Ni Vitu Tofauti Kwa Sasa Kuna Mabadiliko Makubwa sana ya Kiutendaji ....Huwezi Kuona Malalamiko Kwa Meneja Huyu Jemhe
 
Government Clearing-GPSA Haina Tabia ya Kuchelewesha Mizigo Ukiona Mizigo Inacheleweshwa ni Changamoto ya Taasisi ya Serikali Kushindwa Kulipwa Kwa Wakati ....


Ugomboaji Wanafanya Kazi Kubwa Sana Kwa Maslahi ya Taifa Unavyoona Madawa,Vifaa Tiba,Miradi ya Umeme na Vitu Mbalimbali Vinavyoagizwa na Taasisi ya Serikali Ni Kazi ya Government Clearing-GPSA ....Meneja Jimmy ni Moja ya Viongozi Ambaye Ana Misimamo Mikali na Hata Utendaji wake Ni Mzuri Sana ...Hali ilivyo Ugomboaji ya Mwanzo na Hii ya Sasa Ni Vitu Tofauti Kwa Sasa Kuna Mabadiliko Makubwa sana ya Kiutendaji ....Huwezi Kuona Malalamiko Kwa Meneja Huyu Jemhe
Mkuu sidhani Kama unamjua jimmy vizuri ama umeamua kupotosha ukweli kwa namna unayoijua mwenyewe...hapa hatuonei mtu ila kwa uhai wa taasisi na watumishi wa GPSA inabidi haya yasemwe.

Na uzuri ni kwamba wafanyakazi walio wengi GPSA wamechoka na upigaji/unyanyasi unaofanywa na viongozi wa taasisi hii mmoja wapo ni huyo DBSS anayezungumzwa mara nyingi hapa..ukifanyika uchunguzi au special audit wachunguzi hawatapata tabu kupata taarifa maana tayari watumishi hawana la kuficha kwa kuchoshwa na maonevu isipokuwa wachache wale wanaonemeka pamoja na wakubwa.

KAMA ULIKUWA HUELEWI VIONGOZI WA GPSA WANA TABIA HII.
1.Wakiongozwa na DBSS hawawezi kumuweka meneja Smart na mwenye uwezo wa kuhoji sehemu au kitengo chochote kile ambacho wao wanaona kina maslahi na hii imesababisha vitengo vingi kwenye hiyo taasisi kuwa na watu wanaokaimu waliowaweka wao baada ya kuwaondoa mameneja halisi kwa zengwe ...Hapa nakupa mfano wa Mwanahamisi aliyekuwa finance Manager, Hamza aliyekuwa Manager Masoko.. na pale HR yanayoendelea pale sitaki kuamini maana wanafanya Kama ni mtu anaongoza kampuni yake na Wala si taasisi ya umma.. Kile kitengo Anaekaimu umeneja kwa miaka sasa ni mtu anaeitwa Ally huyu ni afisa wa kawaida, Utumishi walileta HR kutoka TAKUKURU (Principal) Hawa jamaa wakaona hawajamzoea kwenye kufanya mambo yao, wakamuweka pembeni, Utumishi wakatuma tena HR ambae ni kamishna wa uhamiaji (Principal nae)bado wakaona hawataweza kumumudu..wakampangia awe Afisa Utumishi mkoa wa Dar ( Haijawahi kutokea kwa GPSA ambayo mfumo wake wa uongozi uko Centralized na isitoshe Mkoa wa Dar una wafanyakazi wasiozidi 5 na ofisi zao ziko ndani ya makao makuu) utaona hapa ni namna gani wanamuweka Ally akaimu ili waendelee kufanya mambo yao na kinachotokea wale wanaoneemeka na uongozi watajipandisha madaraja kwa kujuana wengine wakiachwa mfano ni huyuhuyu Ally..angalia wenzake alioajiriwa nao wenye sifa sawa Kama zake bado wako na cheo kimoja ndani ya miaka 10 ya ajira lakini yeye ni senior Sasa.

Ukiona DBSS wa GPSA amekubali wakupe nafasi sehemu yenye mifereji ya pesa basi jua anakumudu hata Kama huna uwezo utakaa pale la jimmy ni Kama la Ally wote hawana uwezo wenye uwezo pamoja na elimu zao kubwa wametolewa wanabaki wao hata kwa kukaimu kwa vile hawawezi kupinga maovu ama nao wanashiriki ndio maana bado wapo kwenye hizo nafasi kwa mbeleko..hili hupaswi kulipinga na liko wazi kabisa Clearing nako kuna shida.

Lingine ni mikataba ya manunuzi pale FRAME - WORK hili nitalielezea nikipata mda kwa uhuru Kuna shida kubwa sana pale...

Nakiri kweli Ugomboaji ya zamani ilikuwa ni Kama imekufa baada ya akina DBSS ku-divert kazi za taasisi kwenda kwenye kampuni zao, kwa Sasa baada ya maagizo ya raisi magufuli taasisi zote za umma zinapitisha huko mizigo yao..na hapa baada ya taasisi zao kushindwa kujipenyeza Kama zamani wamegundua mianya mipya ya ulaji na ndio hiyo iliyozungumziwa hapo juu na sio suala lingine ambalo wewe umelizungmza hapa bado nashangaa kwa nini CEO anamkumbatia huyu mtu na anatembea kwenye nyao zake je nae ni mpigaji? Ama DBSS kamzidi akili?..ni ukweli ugomboaji inatakiwa kuwa na mtu akili kubwa kwa mazingira ya sasa...Kuna watu walikuwa pale na akili kubwa walitolewa na mwisho wa siku baada ya majungu kuzidi wakahama kabisa taasisi..mmojawapo ni Werema Sasa yuko TASAC..

Mkuu nikutakie jioni njema...tuipende nchi yetu tuzuie maovu..Ila nikuambie tu GPSA ni taasisi inayonyanyasa sana wafanyakazi wake wakaguzi wakienda pale kupata ukweli Wala hawapati shida...kwa hiyo usisumbuke hata kuficha kuficha kwa maneno matupu mkuu
 
Government Procurement Service Agency (GPSA) tatizo ni management kama yule DBSS hafai kabisa kuwa ofisini ni fisadi halafu mbinafsi na mbaya Zaidi anawahonga wakaguzi wanapokuja kumkagua na mambo yanaisha, na ili kulinda ugali wake anawala (anawagegeda) wafanyakazi wa kike walio wepesi kutongozeka ili wawe wanampelekea umbeya ambapo wengi wao anazawadia kwa kuwapa kipaumbele cha visafari na semina pale inapotokea yaani kama una mke wako anafanya GPSA humu jamaa hajali yeye anachovya tu,..na wa kiume nao anaselect wa kuwa wanampelekea umbeya kuhusu wafanyakazi wengine..

Ukiwa hujipendekezi GPSA maisha yako yanakuwa magumu, na CEO naye amemezwa na DBSS na mpenda sifa na maJungu Zaidi ya ufanisi wa kazi anatumia pesa nyingi kuhamisha watumishi kwa sababu ya umbeya tu anaopelekewa, kiufupi hana weledi wa kuongoza taasisi, na hawezi kuifikisha mbali na mara mia angepewa Liliani aliyekuwa ana - kaimu.

GPSA inatakiwa iwe juu ya MSD kimapato na kimaslahi kwa watumishi wake,tuna vyanzo vingi vya mapato lakini viongozi wanawaza ufisadi tu, sasa eti wafanyakazi wa mikoani tunalipwa posho kidogo kulinganisha na makao makuu kisa tuko mikoani tunatakiwa kulipwa tofauti na wa makao makuu, sasa kama hatuna umuhimu kisa tuko mikoani si bora tuhamishiwe wote makao makuu na mikoani kusiwe na wafanyakazi kama hawaoni umuhimu wetu na posho sio ya uhakika mpaka viongozi waanze kupiga majungu na kuchagua watu wa kuwapa…

KINACHOTOKEA SASA watu majembe wote wanaondoka, asilimia 90 ya wafanyakazi wa GPSA hawana moyo wa kufanya kazi kwenye ofisi hiyo wapo wakisubiri wapate nafasi waondoke sehemu zingine
.
serikali ingetakiwa ipangue management ya GPSA YOTE, wengine wangetakiwa wawe magerezani kabisa kama DBSS..

Wanaidhinisha makato ya mshahara ya watumishi bila idhini yetu, eti mfuko wa faraja GPSA. Yaani unashangaa mshahara unatoka unakutana na makato usiyoyaelewa, sawa ni jambo jema.. why wasingekata hata kwenye nauli..mishahara yenyewe ni midogo na ndio tunategemea kuikopea, wanaongeza makato kitu ambacho kinatupunguzia kiwango cha mkopo bank wakati walikuwa na option ya kukata hiyo pesa ya mfuko kwenye posho zingine.

Hii tasisi watu hawaipendi kiasi kwamba ni vigumu kukuta watu wamevaa fulana ya GPSA maofisini, zaidi tukipewa huwa tunawapa wafanyakazi wetu wa ndani wavae au wpigie deki, ama tunawapa mama ntilie

Peleka TAKUKURU habari yako, na weka vizuri ili TAKUKURU wawasaidie, huku JF haina maana sana, ila sehemu sahihi ni TAKUKURU
 
Eyeson Property Hawa jamaa walishawahi kumfukuza kazi mfanyakazi mmoja anaitwa Mng'ong'o kwa walioko watanisaidia Kama hili jina liko sawa...huyu mfanyakazi alishawahi kuwa meneja wa Mkoa.., na sio kwamba alikuwa fisadi ila aliundiwa majungu na kesi za kubambikiwa baada ya kuwa anahoji pale anapoona mambo hayafuati utaratibu..Kama ilivokuwa kwa David aliyefukuzwa kihila alienda mahakamani na akashinda kesi na akarudishwa kazini kwa Sasa sijui Kama bado yuko GPSA

Kwa hiyo usibishe uwepo wa maovu hapo ugomboaji wakati watu wana fahamu na wanajua, huwezi kupingana na DBSS sehemu yenye mifereji ya pesa ni eidha akutoe/akupe kesi na amkaimishe mtu wake...hicho ndicho kinachoendelea huko ofisini kwenu unakokutetea . vitengo vingi vina watu wao wanaokaimu mameneja halisi wameondolewa
 
Mimi GPSA naijua vizuri sana, sielewi watu wanapata wapi ujasiri wa kuwatetea Hawa viongozi wao,naamini ama ni wao wamekuja kujitetea ama watu wanaonufaika nao.. Hawa jamaa ni washenzi kwelikweli..Kuna siku nitaeleza na Mimi humu kwa kirefu
 
mi siijui GPSA...Ila nimenote vitu vingi...vya kushangaza

DBSS Anaonekana ni master...na anatumia ubabe sana kwenye kupata hela...hayuko smart kabisa..ila pia ana kaushamba flani..sio mtoto wa town...hajawahi kwenda ndichi....na hategemei.
inaonekana anatembea kwenye kivuli cha CEO ... na CEO hajui

kuna bonge ya Gap kwenye kipato GPSA..yaani we wakati huna nauli ya home..kuna Ambao hawajui pa kupeleka hela

Mrija Mkubwa unaonekana ulikua main office..na Taasisi haijakua kabisa..kama TBA mkoa ina ofisi na wafanyakazi zaidi ya 200 GPSA Ina wafanyakazi 5 mkoa ..thats a fuckin joke!

DBSS Amekosa boss...yaani anaweza kummanipulate boss na boss anakimbilia kwa mwanasheria...kama mnataka kwa kuanzia wekeni mtu anaejitambua...na ambae anafaa na kustahili...unless hii taasisi itakuja kuwaadhiri....

Huyo Jimmy wa Ugomboaji kwa mm namuona kama mhanga tu...na walio chini yake sijui mhasibu et al....kama CEO anaendeshwa...kakitengo ni ishu gani?

Nimenote pia kitengo cha ugomboaji kimeimprove very fast baada ya amri ya mheshimiwa raisi...lkn kwa mtu mwenye jicho langu nimenote pia hapa ndo GPSA W anapata kipato...DBSS Akishakuja mwingine kila kitu kitakua sawa

At Last: CEO Apangiwe taasisi nyingine soft kama TEMESA Maana nimenote ni msomi na anaependa kufanya kazi kwa weledi ila muoga

DBSS Aondolewe...Achunguzwe ...Afunguliwe mashtaka .....lkn pia afilisiwe mali ambayo itaonekana amepata kimashaka...ila pia kuna malalamiko ya wafanyakazi yaundiwe fast track comitee ipewe deadline...mambo ya ngono na ubabe yanaathiri familia moja kwa moja huyo ni mshenzi

Kwa uelewa wangu KUNA hela sana GPSA.. kwa serikali na wafanyakazi...refer TANROADS,TARURA,TRA,TISS, TISSTRA (najua nachosema) Hata watu wa madini hawatawafikia....


kuna watu nimewaona wametajwa humu sijawataja...lakn kila mtu aangalie kakosea wapi..corona itawaboost ila...kuna kesho jirekebisheni....

Nawakumbusha nipo JF Zaidi ya Miaka 10...sina Upande ...na sitakaa niwe nao....na usisahau mi ni JF Gold Member





Sent using Jamii Forums mobile app
 
HUU UJUMBE UMFIKIE CEO, WAPAMBE WAKE HAKIKISHENI ANAUPATA

CEO heshima yako kiongozi, nakutumia huu ujumbe uusome,Mafanikio ya taasisi yoyote ile yanategemea kwa kiasi kikubwa tabia za mtu mwenye dhamana ya kufanya maamuzi yanayohusu wafanyakazi wa taasisi husika,
Kiongozi akikosa sifa, ni vigumu walio chini yake kufanya wajibu wao.

Migogoro, kutokuelewa, hujuma, utegeaji, kukosa hamasa ni baadhi ya athari zinazoweza kuzaliwa na
uongozi usio na sifa na hiki ndicho kinachotokea GPSA, Ingawa unaweza kusema mengi yanayohusu wajibu wa mfanyakazi lakini bila kiongozi kuwa na sifa, itakuwa vigumu kupata ufanisi unaotakiwa kupatikana kwenye taasisi, Sasa CEO hebu jiulize,

Wafanyakazi wako wana Ari na Morali ya kufanya kazi ndani ya taasisi? Wanajiona ni sehemu ya taasisi? Jibu litakuwa ni hapana, Je unalijua tatizo? Tunawasema ili mjirekebishe na mbadilike muiendeshe GPSA kama taasisi ya umma na si kama kampuni au mali ya mtu binafsi kama ilivo sasa. Angalia mnavowapa stress wafanyakazi wenu, watoto wadogo wamejaa makunyanzi usoni utafikiri wazee wa Zaidi ya miaka 60, hawana matumaini ya maisha kabisa

Mnaua ujuzi na uwezo wao wa kufikiri,mnaua ubunifu wa vijana, mnaua afya za akili zao, wanabaki kuwa na misongo ya mawazo, mnaua na uwezo wao wa nguvu za kiume kwa msongo wa mawazo mnaowapa dhidi ya maamuzi yenu juu yao..Huu ndio uongozi mliosomea? Mnawafanya watumie mda mwingi kuhangaika kutafuta nafasi za kuhamia katika taasisi zingine kuliko mda wanaotumia kufanya kazi ofisini.. Hayo malengo ya taasisi yatafikiwa vipi?

Mnatumia maneno ya kejeli sana kwa wafanyakazi wenu, mnawatesa, mnawanyanyasa yaani watu wanakuja kwenu kufatilia haki zao za kuwapandisha madaraja na kuwa-rectogorize mnawambia “KAMA MNAWEZA TAFUTENI SEHEMU MHAMIE” , Hiyo ndio misingi ya mamlaka mliyopewa kuisimamia GPSA na wafanyakazi wake? Na cha kusikitisha Zaidi wengine wenye sifa sawa kama zao mnawapandisha madaraja na kuwabadilisha kada kisa ni wenu.. AIBU YENU NYIE WATU.. Na cha ajabu zaidi hao mnaowaambia watafute nafasi kwingine wakipata nafasi za kuhamia taasisi zingine mnawakatalia kuwapitishia barua zao ili waondoke..NYIE WATU MKOJE?
Kama mmeshindwa kututhamini tuacheni tuondoke tunapopata nafasi, kwa nini mnatunyima nafasi ya kutafuta maisha kwingine wakati hamuoni umuhimu wetu?..KWA NINI MMEAMUA KUCHEZEA MAISHA YETU?
 
Huyu DBSS(Malik) mimi namuombea mabaya sana kila uchwao (Mungu anisamehe tu) nikisikia amefariki lazima nije GPSA nitoe rambirambi ya laki mbili (200k) watu wale pilau kwenye msiba wake. Kwa ambao hawamjui huyu mtu hawawezi kujua mateso anayowapa watu wa GPSA. Mimi ni mmojawapo niliyekutana na mateso ya moto ya jehenamu ya huyu mtu lakini nashukuru mungu nilivuka na nilitoka hiyo taasisi, Na kama hujawahi kumuona shetani anayeishi duniuani nenda fanya kazi GPSA halafu ukutane na huyu mtu, ana roho mbaya sijawahi ona, hapendi kuona mtumishi ana maisha mazuri ni mtu wa blah blah nyingi na kila kazi ya taasisi zenye pesa anataka afanye yeye au aende yeye
 
Kiukweli sijui kama kuna taasisi Mbovu kama GPSA, mwaka 2015 niliajiriwa pale kama mgavi, nikapelekwa mkoani.. kufika wenyeji wananiambia karibu Magereza, ukiangalia mazingira kiukweli unaona hapa kuna Zaidi ya moto kipindi hicho ilikuwa kama 710k mshahara, nilikaa pale mwezi mmoja nikapata kazi TPDC mshahara mara 2 unusu Zaidi ya wa GPSA, posho na safari hata hazihesabiki na induction tukaenda fanyia msumbiji miezi 3 kila siku unalipwa dollar 300,

Kuna jamaa nilimuacha pale kwa sasa ni kweli hana matumaini ya Maisha kabisa anasema tangu kipindi kile imeongezeka 100k tu,hakika ni majuto
Dollar 300 kwa siku ?
 
mi siijui GPSA...Ila nimenote vitu vingi...vya kushangaza

DBSS Anaonekana ni master...na anatumia ubabe sana kwenye kupata hela...hayuko smart kabisa..ila pia ana kaushamba flani..sio mtoto wa town...hajawahi kwenda ndichi....na hategemei.
inaonekana anatembea kwenye kivuli cha CEO ... na CEO hajui

kuna bonge ya Gap kwenye kipato GPSA..yaani we wakati huna nauli ya home..kuna Ambao hawajui pa kupeleka hela

Mrija Mkubwa unaonekana ulikua main office..na Taasisi haijakua kabisa..kama TBA mkoa ina ofisi na wafanyakazi zaidi ya 200 GPSA Ina wafanyakazi 5 mkoa ..thats a fuckin joke!

DBSS Amekosa boss...yaani anaweza kummanipulate boss na boss anakimbilia kwa mwanasheria...kama mnataka kwa kuanzia wekeni mtu anaejitambua...na ambae anafaa na kustahili...unless hii taasisi itakuja kuwaadhiri....

Huyo Jimmy wa Ugomboaji kwa mm namuona kama mhanga tu...na walio chini yake sijui mhasibu et al....kama CEO anaendeshwa...kakitengo ni ishu gani?

Nimenote pia kitengo cha ugomboaji kimeimprove very fast baada ya amri ya mheshimiwa raisi...lkn kwa mtu mwenye jicho langu nimenote pia hapa ndo GPSA W anapata kipato...DBSS Akishakuja mwingine kila kitu kitakua sawa

At Last: CEO Apangiwe taasisi nyingine soft kama TEMESA Maana nimenote ni msomi na anaependa kufanya kazi kwa weledi ila muoga

DBSS Aondolewe...Achunguzwe ...Afunguliwe mashtaka .....lkn pia afilisiwe mali ambayo itaonekana amepata kimashaka...ila pia kuna malalamiko ya wafanyakazi yaundiwe fast track comitee ipewe deadline...mambo ya ngono na ubabe yanaathiri familia moja kwa moja huyo ni mshenzi

Kwa uelewa wangu KUNA hela sana GPSA.. kwa serikali na wafanyakazi...refer TANROADS,TARURA,TRA,TISS, TISSTRA (najua nachosema) Hata watu wa madini hawatawafikia....


kuna watu nimewaona wametajwa humu sijawataja...lakn kila mtu aangalie kakosea wapi..corona itawaboost ila...kuna kesho jirekebisheni....

Nawakumbusha nipo JF Zaidi ya Miaka 10...sina Upande ...na sitakaa niwe nao....na usisahau mi ni JF Gold Member





Sent using Jamii Forums mobile app
huyu DBSS hafai kabisa, ametesa sana watumishi..kwenye mchakato wa vyeti vyeki na wale ambao hawajafika kidato cha ne aliutumia kama fursa kufukuza kazi wale ambao hawapendi na anamtandao mkubwa kwenye taasisi zingine za umma kama NECTA na UTUMISHI hii ilimpa kibri ya kuwanyanyasa watumishi anavyotaka na huo mda ndipo alipowafukuza kazi Benjamini Mng'ong'o kama alivotajwa hapo juu na David.., wengi wao walipambana wakarudi na leo wako makazini tena.Huyu baba sijui ana roho gani
 
Kuna member kani -PM anasema DBSS hayupo ofisini kachukua likizo ya wiki mbili baada ya hii habari kutoka, na tayari kashaenda kwao Iringa/Njombe kwa hiyo nijiandae na radi ya tani 800 mchana kweupe kama bomu lililopigwa HIROSHIMA😀😀😀😀😀😀 .. Huyu ndio zake lazma kaenda kupuliza kiringeni lakini tayari kashachelewa sana.
 
Mkuu sidhani Kama unamjua jimmy vizuri ama umeamua kupotosha ukweli kwa namna unayoijua mwenyewe...hapa hatuonei mtu ila kwa uhai wa taasisi na watumishi wa GPSA inabidi haya yasemwe.

Na uzuri ni kwamba wafanyakazi walio wengi GPSA wamechoka na upigaji/unyanyasi unaofanywa na viongozi wa taasisi hii mmoja wapo ni huyo DBSS anayezungumzwa mara nyingi hapa..ukifanyika uchunguzi au special audit wachunguzi hawatapata tabu kupata taarifa maana tayari watumishi hawana la kuficha kwa kuchoshwa na maonevu isipokuwa wachache wale wanaonemeka pamoja na wakubwa.

KAMA ULIKUWA HUELEWI VIONGOZI WA GPSA WANA TABIA HII.
1.Wakiongozwa na DBSS hawawezi kumuweka meneja Smart na mwenye uwezo wa kuhoji sehemu au kitengo chochote kile ambacho wao wanaona kina maslahi na hii imesababisha vitengo vingi kwenye hiyo taasisi kuwa na watu wanaokaimu waliowaweka wao baada ya kuwaondoa mameneja halisi kwa zengwe ...Hapa nakupa mfano wa Mwanahamisi aliyekuwa finance Manager, Hamza aliyekuwa Manager Masoko.. na pale HR yanayoendelea pale sitaki kuamini maana wanafanya Kama ni mtu anaongoza kampuni yake na Wala si taasisi ya umma.. Kile kitengo Anaekaimu umeneja kwa miaka sasa ni mtu anaeitwa Ally huyu ni afisa wa kawaida, Utumishi walileta HR kutoka TAKUKURU (Principal) Hawa jamaa wakaona hawajamzoea kwenye kufanya mambo yao, wakamuweka pembeni, Utumishi wakatuma tena HR ambae ni kamishna wa uhamiaji (Principal nae)bado wakaona hawataweza kumumudu..wakampangia awe Afisa Utumishi mkoa wa Dar ( Haijawahi kutokea kwa GPSA ambayo mfumo wake wa uongozi uko Centralized na isitoshe Mkoa wa Dar una wafanyakazi wasiozidi 5 na ofisi zao ziko ndani ya makao makuu) utaona hapa ni namna gani wanamuweka Ally akaimu ili waendelee kufanya mambo yao na kinachotokea wale wanaoneemeka na uongozi watajipandisha madaraja kwa kujuana wengine wakiachwa mfano ni huyuhuyu Ally..angalia wenzake alioajiriwa nao wenye sifa sawa Kama zake bado wako na cheo kimoja ndani ya miaka 10 ya ajira lakini yeye ni senior Sasa.

Ukiona DBSS wa GPSA amekubali wakupe nafasi sehemu yenye mifereji ya pesa basi jua anakumudu hata Kama huna uwezo utakaa pale la jimmy ni Kama la Ally wote hawana uwezo wenye uwezo pamoja na elimu zao kubwa wametolewa wanabaki wao hata kwa kukaimu kwa vile hawawezi kupinga maovu ama nao wanashiriki ndio maana bado wapo kwenye hizo nafasi kwa mbeleko..hili hupaswi kulipinga na liko wazi kabisa Clearing nako kuna shida.

Lingine ni mikataba ya manunuzi pale FRAME - WORK hili nitalielezea nikipata mda kwa uhuru Kuna shida kubwa sana pale...

Nakiri kweli Ugomboaji ya zamani ilikuwa ni Kama imekufa baada ya akina DBSS ku-divert kazi za taasisi kwenda kwenye kampuni zao, kwa Sasa baada ya maagizo ya raisi magufuli taasisi zote za umma zinapitisha huko mizigo yao..na hapa baada ya taasisi zao kushindwa kujipenyeza Kama zamani wamegundua mianya mipya ya ulaji na ndio hiyo iliyozungumziwa hapo juu na sio suala lingine ambalo wewe umelizungmza hapa bado nashangaa kwa nini CEO anamkumbatia huyu mtu na anatembea kwenye nyao zake je nae ni mpigaji? Ama DBSS kamzidi akili?..ni ukweli ugomboaji inatakiwa kuwa na mtu akili kubwa kwa mazingira ya sasa...Kuna watu walikuwa pale na akili kubwa walitolewa na mwisho wa siku baada ya majungu kuzidi wakahama kabisa taasisi..mmojawapo ni Werema Sasa yuko TASAC..

Mkuu nikutakie jioni njema...tuipende nchi yetu tuzuie maovu..Ila nikuambie tu GPSA ni taasisi inayonyanyasa sana wafanyakazi wake wakaguzi wakienda pale kupata ukweli Wala hawapati shida...kwa hiyo usisumbuke hata kuficha kuficha kwa maneno matupu mkuu
Ally anaishi kwa kujipendekeza sana ili aendelee kuwa kaimu wa hicho kitengo cha HR, ni mpika majungu zaidi. Huyu kwa jinsi alivo hawezi kufanya kazi taasisi nyingine zaidi ya GPSA, na ndio maana anatengeneza fitna na kupika umbeya ambao anaupeleka kwa viongozi ili aendelee kuwepo kwenye hicho cheo.
Tumewaandikia barua za kusitishwa makato ya mfuko wa faraja kutoka kwenye mishahara yetu, mpaka leo hawajajibu..tutoeni
 
Back
Top Bottom