mi siijui GPSA...Ila nimenote vitu vingi...vya kushangaza
DBSS Anaonekana ni master...na anatumia ubabe sana kwenye kupata hela...hayuko smart kabisa..ila pia ana kaushamba flani..sio mtoto wa town...hajawahi kwenda ndichi....na hategemei.
inaonekana anatembea kwenye kivuli cha CEO ... na CEO hajui
kuna bonge ya Gap kwenye kipato GPSA..yaani we wakati huna nauli ya home..kuna Ambao hawajui pa kupeleka hela
Mrija Mkubwa unaonekana ulikua main office..na Taasisi haijakua kabisa..kama TBA mkoa ina ofisi na wafanyakazi zaidi ya 200 GPSA Ina wafanyakazi 5 mkoa ..thats a fuckin joke!
DBSS Amekosa boss...yaani anaweza kummanipulate boss na boss anakimbilia kwa mwanasheria...kama mnataka kwa kuanzia wekeni mtu anaejitambua...na ambae anafaa na kustahili...unless hii taasisi itakuja kuwaadhiri....
Huyo Jimmy wa Ugomboaji kwa mm namuona kama mhanga tu...na walio chini yake sijui mhasibu et al....kama CEO anaendeshwa...kakitengo ni ishu gani?
Nimenote pia kitengo cha ugomboaji kimeimprove very fast baada ya amri ya mheshimiwa raisi...lkn kwa mtu mwenye jicho langu nimenote pia hapa ndo GPSA W anapata kipato...DBSS Akishakuja mwingine kila kitu kitakua sawa
At Last: CEO Apangiwe taasisi nyingine soft kama TEMESA Maana nimenote ni msomi na anaependa kufanya kazi kwa weledi ila muoga
DBSS Aondolewe...Achunguzwe ...Afunguliwe mashtaka .....lkn pia afilisiwe mali ambayo itaonekana amepata kimashaka...ila pia kuna malalamiko ya wafanyakazi yaundiwe fast track comitee ipewe deadline...mambo ya ngono na ubabe yanaathiri familia moja kwa moja huyo ni mshenzi
Kwa uelewa wangu KUNA hela sana GPSA.. kwa serikali na wafanyakazi...refer TANROADS,TARURA,TRA,TISS, TISSTRA (najua nachosema) Hata watu wa madini hawatawafikia....
kuna watu nimewaona wametajwa humu sijawataja...lakn kila mtu aangalie kakosea wapi..corona itawaboost ila...kuna kesho jirekebisheni....
Nawakumbusha nipo JF Zaidi ya Miaka 10...sina Upande ...na sitakaa niwe nao....na usisahau mi ni JF Gold Member
Sent using
Jamii Forums mobile app