GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

Government Procurement Service Agency (GPSA) tatizo ni management kama yule DBSS hafai kabisa kuwa ofisini ni fisadi halafu mbinafsi na mbaya Zaidi anawahonga wakaguzi wanapokuja kumkagua na mambo yanaisha, na ili kulinda ugali wake anawala (anawagegeda) wafanyakazi wa kike walio wepesi kutongozeka ili wawe wanampelekea umbeya ambapo wengi wao anazawadia kwa kuwapa kipaumbele cha visafari na semina pale inapotokea yaani kama una mke wako anafanya GPSA humu jamaa hajali yeye anachovya tu,..na wa kiume nao anaselect wa kuwa wanampelekea umbeya kuhusu wafanyakazi wengine..

Ukiwa hujipendekezi GPSA maisha yako yanakuwa magumu, na CEO naye amemezwa na DBSS na mpenda sifa na maJungu Zaidi ya ufanisi wa kazi anatumia pesa nyingi kuhamisha watumishi kwa sababu ya umbeya tu anaopelekewa, kiufupi hana weledi wa kuongoza taasisi, na hawezi kuifikisha mbali na mara mia angepewa Liliani aliyekuwa ana - kaimu.

GPSA inatakiwa iwe juu ya MSD kimapato na kimaslahi kwa watumishi wake,tuna vyanzo vingi vya mapato lakini viongozi wanawaza ufisadi tu, sasa eti wafanyakazi wa mikoani tunalipwa posho kidogo kulinganisha na makao makuu kisa tuko mikoani tunatakiwa kulipwa tofauti na wa makao makuu, sasa kama hatuna umuhimu kisa tuko mikoani si bora tuhamishiwe wote makao makuu na mikoani kusiwe na wafanyakazi kama hawaoni umuhimu wetu na posho sio ya uhakika mpaka viongozi waanze kupiga majungu na kuchagua watu wa kuwapa…

KINACHOTOKEA SASA watu majembe wote wanaondoka, asilimia 90 ya wafanyakazi wa GPSA hawana moyo wa kufanya kazi kwenye ofisi hiyo wapo wakisubiri wapate nafasi waondoke sehemu zingine
.
serikali ingetakiwa ipangue management ya GPSA YOTE, wengine wangetakiwa wawe magerezani kabisa kama DBSS..

Wanaidhinisha makato ya mshahara ya watumishi bila idhini yetu, eti mfuko wa faraja GPSA. Yaani unashangaa mshahara unatoka unakutana na makato usiyoyaelewa, sawa ni jambo jema.. why wasingekata hata kwenye nauli..mishahara yenyewe ni midogo na ndio tunategemea kuikopea, wanaongeza makato kitu ambacho kinatupunguzia kiwango cha mkopo bank wakati walikuwa na option ya kukata hiyo pesa ya mfuko kwenye posho zingine.

Hii tasisi watu hawaipendi kiasi kwamba ni vigumu kukuta watu wamevaa fulana ya GPSA maofisini, zaidi tukipewa huwa tunawapa wafanyakazi wetu wa ndani wavae au wpigie deki, ama tunawapa mama ntilie
Muazisha uzi nakuunga mkono kwa baadhi ya hoja/maovu uliyoibua katika taasisi ya GPSA,

Mimi nikazia/ibua ufisadi, fitna majungu na matumizi mabaya ya madaraka unaofanywa na meneja GPSA Clearling somebody Mr. Jimi, naomba ieleweke haya yanayoandikwa sio majungu ni ukweli mtupu na inafanyika hivi katika kumsadia bosi wa GPSA anaefanya jitihada kubwa kuiboresha GPSA.

1. Ufisadi mkubwa unaofanywa na meneja clearling ni kutumia baadhi wasafirishaji ( transporters wasiotambulika na GPSA wala PPRA na mara nyngi anapowatumia hupata kamisheni kubwa ambayo hupitia kwa stafu
anaitwa Jafeth ili ampelekee bosi wake. matransporters hao anaonufaika hulipwa pasi kuwasilisha EFD risiti wala hawakatwi witholding tax wakati invoisi zao
zimeonyesha VAT ( bosi GPSA, TRA kodi za ndani, PPRA na TAKUKURU) fuatilieni hili kodi (VAT) ya serikali inapotea sana Wakaguzi wa ndani na nje fuatilieni hili mjue ukweli na mumsaidie CEEO wa GPSA
huenda hajui hili.

2. Kwa ukaribu alionao na bosi wa GPSA CEEO meneja Jimmi amekua akifanya kazi kwa fitna, majungu na upendeleo kwa baadhi ya mabinti aliyo kwenye mahusiano nao kimapenzi. mara kadhaa amekua akipitisha malipo makubwa kwa kaz ndogo kwa hao mabinti, na hili lilishapata
kulalamikiwa na stafu wa kiume katika vikao vyao vya ndani. (bosi GPSA fuatilia hili ujue ukweli).

3.Meneja huyu wa GPSA anatumia madaraka vibaya kuna stafu wa kike-
Interni kwa jina kama sikosei alikua anaitwa Aulah aliondolewa kwa
fitna na majungu kisa tu alikataliwa kua na mahusiano ya kimapenzi, binti huyu
aliondolewa pasi hata kulipwa stahiki yake ambayo haizidi hata laki tatu. GPSA stafu wote wanalijua hili ( Bosi wa GPSA fuatilia hili kupitia informa wako upate kujua ukweli).

4. Meneja GPSA clearling amekua ni mtu mwenye majivuno, kibru, jeuri na mwenye dharau kwa wateja, makandarasi wa miradi mbalimbali ya serikali wanao clear mzgo yao kupitia GPSA wanaweza kua mashuhuda
wazuri juu ya meneja huyu.

5. Matumizi mabaya ya gari la serikali na mateso makubwa kwa dereva wake. Meneja GPSA clearling amekua akikaa bar/night club hadi usiku wa manane ( mpaka sa8 usiku) huku dereva akiwa anamsubiri nje pasi kumnunulia chakula wa maji na hii haijalishi ni wiki days ama wikiend, hili sio jungu ni ukweli mtupu, madereva wa GPSA wanaweza kua mashuhuda wazuri ( bosi GPSA CEEO fuatilia hili, Jimmi anatumia vibaya rasilimali za umma ambapo ni kinyume cha sheria utumishi na anawapa
mateso makubwa madereva wake). kuna dereva anaitwa Haule hakua tayari kuvumilia mateso hayo, mwishowe Jimmi akamtengenezea zengwe ili afukuzwe kazi lakini akagonga mwamba, na dereva huyo akahamishwa. (Mamlaka husika fuatilieeni hili).
6. Kwa kua meneja Jimmi anabebwa sana na bosi kubwa wa GPSA, amekua akimpelekea CEEO majungu juu ya baadhi ya wafanyakazi wa GPSA Clearling na CEEO bila kufanyia uchunguzi kupitia informa wake (naamini anao wengi) amekua akiwahamisha bila sababu za msingi ( hapa
bosi GPSA awe anafanya uchunguzi kujiridhisha ndipo achukue hatua),
katika kisichozidi miez 9 amewapiga majungu stafu zaid ya 7 wakahamishwa bila sababu za msingi.

7. Meneja Jimmi ni incompent person yaani ni kilaza sijui alipataje hio nafasi nyeti na kubwa, nadhani alibebwa. Kupitia GPSA Clearling amekua akiisababishia serikali na taasisi zake gharama kubwa za kutunza mizigo bandarini ( storegi charges ) hili sio jungu mashuhuda wazuri hapa ni taasisi/mashirika/wizara zinazohudumiwa na GPSA kama Muhimbili chuo, Muhimbili hospital, MSD, nakadhalika.

Hitimisho, kwa kutoa rai kwa bosi wa GPSA CEEO, anavyoendelea kuiboresha GPSA atume wakaguzi wa ndani na nje ndipo atakapobaini ukweli haya yote yaliyosemwa;
- Baadhi ya wasafirishaji (transporters) wasiosajiliwa na GPSA wala
PPRA nyingi ni briefcase kampani hawana ofisi wala roli hata moja.
-Baadhi Wazabuni/transporters kulipwa pesa kamili pasi kuwasilisha
receipt za EFD wala kukatwa witholding tax wakati invoice za zimejumisha VAT.
-Majungu waliotengenezwa kwa stafu zaidi 7 mpaka ikapelekea huhamishwa
bila sababu za msingi.
-Gharama kubwa za utunzaji (storage chargi) zinazolipwa taasisi za
uma ikiwemo mzigo inayoaagizwa na GPSA wenyewe.
 
Mkuu firemoto [emoji16][emoji16][emoji16] ndo ukafungua account mpya kwa ajili ya kupika majungu? Jamani acheni fitna, waacheni watu wapige kazi. Eti wewe no member hapa tangu tarehe name, mpya kabisa. Mkuu firemoto kwanza unamwambia muanzisha Uzi kwamba unamuunga mkono kwa baadhi tu ya hoja/ maovi, kwa maana nyingine unakubali kwamba hoja nyingine sio za kweli.
Kwanza I declare my interests... Mimi ni mdau mkubwa Sana wa GPSA Tena wa miaka mingi, ktk kitengo Cha ukomboaji na uondoshaji mizigo bandarini (clearing &forwarding). Niseme tu kuwa huyu meneja mpya aliepo Sasa bwana Jimmy chini ya usimamizi wa huyo mtendaji mkuu amekibadilisha kitengo Sana, sisi wadau na nyingi watumishi hakika mnaona kwa macho naa akili zenu. Kasi ni kubwa na kitengo kimeimarika.
Watumishi wengi waliokuwepo zamani, walikuwa wanatuuzia kazi sisi mawakala (agents) Tena kwa Bei kubwa tu. Tangu huyu meneja Jimmy amekabidhiwa kitengo sio Siri mawakala wote wanaisoma namba.
Yapo mabadiliko makubwa na mengi tunayoona, miongoni mwao- Mizigo ya wateja wetu iliyokuwa inakaa bandarini kwa muda mrefu, Sasa haikai Tena. Hili ni Jambo kubwa Sana haswa ukizingatia hiki kitengo ni taasisi ya serkali, kiukweli hatukutegemea Kama wangeweza kufanya kazi kwa weledi wa juu namna hii.
Kama nikivyotangulia kusema hapo juu na nikiangalia hata mazingira yako mkuu FIREMOTO, nachelea kusema nyinyi mloandika Mambo haya ambapo Mengi no ya uongo, fitna na majungu ni miongoni mwa watumishi wasiojielewa na waliokatiwa mianya yao ya kula rushwa na upigaji. Taasis za serkali Kama TAKUKURU zipo na zitafanya uchunguzi yakinifu na ukweli utajulikana tu. Serkali ya Sasa sio lelemama, haiendekezi majungu Bali inapiga kazi.
Nipende tu kumtia moyo huyu meneja Jimmy na mtendaji mkuu wa GPSA wapige kazi, waende na kasi hii hii ya Raisi wetu na serkali ya awamu ya tano. Pamoja na kwamba sisi mawakala tunakosa kazi kwa njia za panya Sasa, lakini Mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa maendeleo ya nchi yangu. Nafurahia kuona serkali ikifanya kazi yake kwa weledi pasipo makandokando yoyote na hakika tunaona utendaji wa hicho kitengo Cha clearing ulivyoimarika.
Kutokana na kasi iliyopo na inayoendana na kasi ya awamu ya tano ni lazma wavivu, wapigaji na walarushwa waishie kupiga kelele.
Mwisho tukumbuke kufata MAELEKEZO tunayopewa na serkali na wizara ya AFYA. Tunawe mikono na sabuni na maji tiririka, tuepuke misongamano isiyo ya lazma haswa kipindi hiki Cha sikukuu za pasaka, tusishikane mikono Wala kukumbatiana, social distance ishike hatamu. Tuache safari zisizokua na ulazma ili tuishinde COVID_19 inayoletwa na corona. Tuiunge mkono serkali, tuchape kazi na tuache majungu. Tujenge na kuimarisha uchumi wetu.
Muazisha uzi nakuunga mkono kwa baadhi ya hoja/maovu uliyoibua katika taasisi ya GPSA,

Mimi nikazia/ibua ufisadi, fitna majungu na matumizi mabaya ya madaraka unaofanywa na meneja GPSA Clearling somebody Mr. Jimi, naomba ieleweke haya yanayoandikwa sio majungu ni ukweli mtupu na inafanyika hivi katika kumsadia bosi wa GPSA anaefanya jitihada kubwa kuiboresha GPSA.

1. Ufisadi mkubwa unaofanywa na meneja clearling ni kutumia baadhi wasafirishaji ( transporters wasiotambulika na GPSA wala PPRA na mara nyngi anapowatumia hupata kamisheni kubwa ambayo hupitia kwa stafu
anaitwa Jafeth ili ampelekee bosi wake. matransporters hao anaonufaika hulipwa pasi kuwasilisha EFD risiti wala hawakatwi witholding tax wakati invoisi zao
zimeonyesha VAT ( bosi GPSA, TRA kodi za ndani, PPRA na TAKUKURU) fuatilieni hili kodi (VAT) ya serikali inapotea sana Wakaguzi wa ndani na nje fuatilieni hili mjue ukweli na mumsaidie CEEO wa GPSA
huenda hajui hili.

2. Kwa ukaribu alionao na bosi wa GPSA CEEO meneja Jimmi amekua akifanya kazi kwa fitna, majungu na upendeleo kwa baadhi ya mabinti aliyo kwenye mahusiano nao kimapenzi. mara kadhaa amekua akipitisha malipo makubwa kwa kaz ndogo kwa hao mabinti, na hili lilishapata
kulalamikiwa na stafu wa kiume katika vikao vyao vya ndani. (bosi GPSA fuatilia hili ujue ukweli).

3.Meneja huyu wa GPSA anatumia madaraka vibaya kuna stafu wa kike-
Interni kwa jina kama sikosei alikua anaitwa Aulah aliondolewa kwa
fitna na majungu kisa tu alikataliwa kua na mahusiano ya kimapenzi, binti huyu
aliondolewa pasi hata kulipwa stahiki yake ambayo haizidi hata laki tatu. GPSA stafu wote wanalijua hili ( Bosi wa GPSA fuatilia hili kupitia informa wako upate kujua ukweli).

4. Meneja GPSA clearling amekua ni mtu mwenye majivuno, kibru, jeuri na mwenye dharau kwa wateja, makandarasi wa miradi mbalimbali ya serikali wanao clear mzgo yao kupitia GPSA wanaweza kua mashuhuda
wazuri juu ya meneja huyu.

5. Matumizi mabaya ya gari la serikali na mateso makubwa kwa dereva wake. Meneja GPSA clearling amekua akikaa bar/night club hadi usiku wa manane ( mpaka sa8 usiku) huku dereva akiwa anamsubiri nje pasi kumnunulia chakula wa maji na hii haijalishi ni wiki days ama wikiend, hili sio jungu ni ukweli mtupu, madereva wa GPSA wanaweza kua mashuhuda wazuri ( bosi GPSA CEEO fuatilia hili, Jimmi anatumia vibaya rasilimali za umma ambapo ni kinyume cha sheria utumishi na anawapa
mateso makubwa madereva wake). kuna dereva anaitwa Haule hakua tayari kuvumilia mateso hayo, mwishowe Jimmi akamtengenezea zengwe ili afukuzwe kazi lakini akagonga mwamba, na dereva huyo akahamishwa. (Mamlaka husika fuatilieeni hili).
6. Kwa kua meneja Jimmi anabebwa sana na bosi kubwa wa GPSA, amekua akimpelekea CEEO majungu juu ya baadhi ya wafanyakazi wa GPSA Clearling na CEEO bila kufanyia uchunguzi kupitia informa wake (naamini anao wengi) amekua akiwahamisha bila sababu za msingi ( hapa
bosi GPSA awe anafanya uchunguzi kujiridhisha ndipo achukue hatua),
katika kisichozidi miez 9 amewapiga majungu stafu zaid ya 7 wakahamishwa bila sababu za msingi.

7. Meneja Jimmi ni incompent person yaani ni kilaza sijui alipataje hio nafasi nyeti na kubwa, nadhani alibebwa. Kupitia GPSA Clearling amekua akiisababishia serikali na taasisi zake gharama kubwa za kutunza mizigo bandarini ( storegi charges ) hili sio jungu mashuhuda wazuri hapa ni taasisi/mashirika/wizara zinazohudumiwa na GPSA kama Muhimbili chuo, Muhimbili hospital, MSD, nakadhalika.

Hitimisho, kwa kutoa rai kwa bosi wa GPSA CEEO, anavyoendelea kuiboresha GPSA atume wakaguzi wa ndani na nje ndipo atakapobaini ukweli haya yote yaliyosemwa;
- Baadhi ya wasafirishaji (transporters) wasiosajiliwa na GPSA wala
PPRA nyingi ni briefcase kampani hawana ofisi wala roli hata moja.
-Baadhi Wazabuni/transporters kulipwa pesa kamili pasi kuwasilisha
receipt za EFD wala kukatwa witholding tax wakati invoice za zimejumisha VAT.
-Majungu waliotengenezwa kwa stafu zaidi 7 mpaka ikapelekea huhamishwa
bila sababu za msingi.
-Gharama kubwa za utunzaji (storage chargi) zinazolipwa taasisi za
uma ikiwemo mzigo inayoaagizwa na GPSA wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu firemoto [emoji16][emoji16][emoji16] ndo ukafungua account mpya kwa ajili ya kupika majungu? Jamani acheni fitna, waacheni watu wapige kazi. Eti wewe no member hapa tangu tarehe name, mpya kabisa. Mkuu firemoto kwanza unamwambia muanzisha Uzi kwamba unamuunga mkono kwa baadhi tu ya hoja/ maovi, kwa maana nyingine unakubali kwamba hoja nyingine sio za kweli.
Kwanza I declare my interests... Mimi ni mdau mkubwa Sana wa GPSA Tena wa miaka mingi, ktk kitengo Cha ukomboaji na uondoshaji mizigo bandarini (clearing &forwarding). Niseme tu kuwa huyu meneja mpya aliepo Sasa bwana Jimmy chini ya usimamizi wa huyo mtendaji mkuu amekibadilisha kitengo Sana, sisi wadau na nyingi watumishi hakika mnaona kwa macho naa akili zenu. Kasi ni kubwa na kitengo kimeimarika.
Watumishi wengi waliokuwepo zamani, walikuwa wanatuuzia kazi sisi mawakala (agents) Tena kwa Bei kubwa tu. Tangu huyu meneja Jimmy amekabidhiwa kitengo sio Siri mawakala wote wanaisoma namba.
Yapo mabadiliko makubwa na mengi tunayoona, miongoni mwao- Mizigo ya wateja wetu iliyokuwa inakaa bandarini kwa muda mrefu, Sasa haikai Tena. Hili ni Jambo kubwa Sana haswa ukizingatia hiki kitengo ni taasisi ya serkali, kiukweli hatukutegemea Kama wangeweza kufanya kazi kwa weledi wa juu namna hii.
Kama nikivyotangulia kusema hapo juu na nikiangalia hata mazingira yako mkuu FIREMOTO, nachelea kusema nyinyi mloandika Mambo haya ambapo Mengi no ya uongo, fitna na majungu ni miongoni mwa watumishi wasiojielewa na waliokatiwa mianya yao ya kula rushwa na upigaji. Taasis za serkali Kama TAKUKURU zipo na zitafanya uchunguzi yakinifu na ukweli utajulikana tu. Serkali ya Sasa sio lelemama, haiendekezi majungu Bali inapiga kazi.
Nipende tu kumtia moyo huyu meneja Jimmy na mtendaji mkuu wa GPSA wapige kazi, waende na kasi hii hii ya Raisi wetu na serkali ya awamu ya tano. Pamoja na kwamba sisi mawakala tunakosa kazi kwa njia za panya Sasa, lakini Mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa maendeleo ya nchi yangu. Nafurahia kuona serkali ikifanya kazi yake kwa weledi pasipo makandokando yoyote na hakika tunaona utendaji wa hicho kitengo Cha clearing ulivyoimarika.
Kutokana na kasi iliyopo na inayoendana na kasi ya awamu ya tano ni lazma wavivu, wapigaji na walarushwa waishie kupiga kelele.
Mwisho tukumbuke kufata MAELEKEZO tunayopewa na serkali na wizara ya AFYA. Tunawe mikono na sabuni na maji tiririka, tuepuke misongamano isiyo ya lazma haswa kipindi hiki Cha sikukuu za pasaka, tusishikane mikono Wala kukumbatiana, social distance ishike hatamu. Tuache safari zisizokua na ulazma ili tuishinde COVID_19 inayoletwa na corona. Tuiunge mkono serkali, tuchape kazi na tuache majungu. Tujenge na kuimarisha uchumi wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
jibu au kanusha kwa hoja za kueleweka mkuu
 
Mkuu firemoto [emoji16][emoji16][emoji16] ndo ukafungua account mpya kwa ajili ya kupika majungu? Jamani acheni fitna, waacheni watu wapige kazi. Eti wewe no member hapa tangu tarehe name, mpya kabisa. Mkuu firemoto kwanza unamwambia muanzisha Uzi kwamba unamuunga mkono kwa baadhi tu ya hoja/ maovi, kwa maana nyingine unakubali kwamba hoja nyingine sio za kweli.
Kwanza I declare my interests... Mimi ni mdau mkubwa Sana wa GPSA Tena wa miaka mingi, ktk kitengo Cha ukomboaji na uondoshaji mizigo bandarini (clearing &forwarding). Niseme tu kuwa huyu meneja mpya aliepo Sasa bwana Jimmy chini ya usimamizi wa huyo mtendaji mkuu amekibadilisha kitengo Sana, sisi wadau na nyingi watumishi hakika mnaona kwa macho naa akili zenu. Kasi ni kubwa na kitengo kimeimarika.
Watumishi wengi waliokuwepo zamani, walikuwa wanatuuzia kazi sisi mawakala (agents) Tena kwa Bei kubwa tu. Tangu huyu meneja Jimmy amekabidhiwa kitengo sio Siri mawakala wote wanaisoma namba.
Yapo mabadiliko makubwa na mengi tunayoona, miongoni mwao- Mizigo ya wateja wetu iliyokuwa inakaa bandarini kwa muda mrefu, Sasa haikai Tena. Hili ni Jambo kubwa Sana haswa ukizingatia hiki kitengo ni taasisi ya serkali, kiukweli hatukutegemea Kama wangeweza kufanya kazi kwa weledi wa juu namna hii.
Kama nikivyotangulia kusema hapo juu na nikiangalia hata mazingira yako mkuu FIREMOTO, nachelea kusema nyinyi mloandika Mambo haya ambapo Mengi no ya uongo, fitna na majungu ni miongoni mwa watumishi wasiojielewa na waliokatiwa mianya yao ya kula rushwa na upigaji. Taasis za serkali Kama TAKUKURU zipo na zitafanya uchunguzi yakinifu na ukweli utajulikana tu. Serkali ya Sasa sio lelemama, haiendekezi majungu Bali inapiga kazi.
Nipende tu kumtia moyo huyu meneja Jimmy na mtendaji mkuu wa GPSA wapige kazi, waende na kasi hii hii ya Raisi wetu na serkali ya awamu ya tano. Pamoja na kwamba sisi mawakala tunakosa kazi kwa njia za panya Sasa, lakini Mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa maendeleo ya nchi yangu. Nafurahia kuona serkali ikifanya kazi yake kwa weledi pasipo makandokando yoyote na hakika tunaona utendaji wa hicho kitengo Cha clearing ulivyoimarika.
Kutokana na kasi iliyopo na inayoendana na kasi ya awamu ya tano ni lazma wavivu, wapigaji na walarushwa waishie kupiga kelele.
Mwisho tukumbuke kufata MAELEKEZO tunayopewa na serkali na wizara ya AFYA. Tunawe mikono na sabuni na maji tiririka, tuepuke misongamano isiyo ya lazma haswa kipindi hiki Cha sikukuu za pasaka, tusishikane mikono Wala kukumbatiana, social distance ishike hatamu. Tuache safari zisizokua na ulazma ili tuishinde COVID_19 inayoletwa na corona. Tuiunge mkono serkali, tuchape kazi na tuache majungu. Tujenge na kuimarisha uchumi wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
ngaiwoye, wewe ndo Jimmy mwenyewe au mpambe wake hahaha maana hujajibu hoja hata moja ila kiukweli GPSA Kuna tatzo sema mamlaka zimelala tu

Chukua CEO mwenye akili kubwa peleka pale acheni masuala ya kuiba huku mnajificha kwenye kivuli cha jina la raisi wetu magufuli
 
ngaiwoye, wewe ndo Jimmy mwenyewe au mpambe wake hahaha maana hujajibu hoja hata moja ila kiukweli GPSA Kuna tatzo sema mamlaka zimelala tu

Chukua CEO mwenye akili kubwa peleka pale acheni masuala ya kuiba huku mnajificha kwenye kivuli cha jina la raisi wetu magufuli
Sasa hivi nikiona mtu kila saa anamtaja rais kwenye utendaje wake najua ni mwizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi nikiona mtu kila saa anamtaja rais kwenye utendaje wake najua ni mwizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa ni wapigaji sana, zinaletwa facts hapa wao wanajitetea eti waleta hoja ni Mafisadi ambao mianya yao imezibwa na wanawajua, Sasa kwa nini waliwaacha huru Kama walikuwa Mafisadi?

Kuna jamaa zangu wako hapo GPSA nimeongea nao wanafurahia kweli hii habari yaani wanatamani wamjue mleta mada wamuongezee uozo mwingine auweke hapa, kibaya zaidi wanasema management inanyanyasa sana wafanyakazi wake yaani inaongoza kiftina, majungu na umbeya Kama walivosema baadhi ya wachangiaji, wamegeuza ofisi kuwa Kama Mali yao na siyo Mali ya umma ambapo taratibu zinatakiwa zifuatwe.
 
Aisee nimesoma hili andiko nimejikuta nasikitika sana, Hizi habari kama ni za kweli basi mheshimiwa raisi bado ana kazi kubwa sana, na watu kama hawa ndio wanaosababisha raisi wetu kipenzi achukiwe na kutukanwa kwa matendo yao ya ufisadi na roho mbaya zao. Nakusaidia kuwatag hapa watu watakaoweza kupeleka hizi habari kwenye vyombo husika...

Pascal Mayalla wewe ni mwandishi wa habari mkongwe na inasemekana ni TISS fikisha hizi habari hadi IKULU viongozi waone, Mwigulu Nchemba wape wakuu wako wa ccm hii habari,Zitto na wewe saidia kuwaambia watawala kuhusu hili ili wachunguze, johnthebaptist peleka hili andiko ofisi za LUMUBA ili zifike sehemu husika,UCD mpelekee Dk. bashiru hii,secret file fanya yako hapa,Allen Kilewella saidia kusambaza hii

Uzalendo ni kuipenda nchi yako kwa kuzuia ufisadi na maovu

Yes Kiukweli Mh.Rais ana kazi kubwa sana kiasi hii mika yake 10 haitoshi.
 
Yes Kiukweli Mh.Rais ana kazi kubwa sana kiasi hii mika yake 10 haitoshi.
Tutamuongozea mda mkuu...apambane na Hawa Mafisadi wanaojificha kwa jina lake...
Natafuta mtu anaemjua vizuri huyu DBSS maana nasikia ni zaidi ya kisanga ili tuone mizizi yake ya kuiba kwa kujiamini namna hii.
 
Majungu hayo. Kama una ushaidi toa taarifa kwenye vyombo husika.


Nilijua tu wenye mawazo kama yako hawakosekani, na kwa nyakati zetu hizi HUKUTAKIWA KUWA HAI WEWE MBWA.
Tuna mifumo ambayo haitoi haki, haitaki uwazi na haitaki kukosolewa! Ajabu haya hujui? au wewe ni mmoja wa waliotajwa hapa?, au wanufaika wake? au nyumba ndogo?
 
Wenye kulalamika wanaleta hoja nzito nzito zilizoshiba ila watetezi wanakuja na utetezi mwepesi sana.

Vyombo vya ulinzi na usalama viingie hapo GPSA viinue mawe na kila takataka tujue chini kuna nini humo hizi mali za umma kuna raia wanafanya ni zao.
 
Muazisha uzi nakuunga mkono kwa baadhi ya hoja/maovu uliyoibua katika taasisi ya GPSA,

Mimi nikazia/ibua ufisadi, fitna majungu na matumizi mabaya ya madaraka unaofanywa na meneja GPSA Clearling somebody Mr. Jimi, naomba ieleweke haya yanayoandikwa sio majungu ni ukweli mtupu na inafanyika hivi katika kumsadia bosi wa GPSA anaefanya jitihada kubwa kuiboresha GPSA.

1. Ufisadi mkubwa unaofanywa na meneja clearling ni kutumia baadhi wasafirishaji ( transporters wasiotambulika na GPSA wala PPRA na mara nyngi anapowatumia hupata kamisheni kubwa ambayo hupitia kwa stafu
anaitwa Jafeth ili ampelekee bosi wake. matransporters hao anaonufaika hulipwa pasi kuwasilisha EFD risiti wala hawakatwi witholding tax wakati invoisi zao
zimeonyesha VAT ( bosi GPSA, TRA kodi za ndani, PPRA na TAKUKURU) fuatilieni hili kodi (VAT) ya serikali inapotea sana Wakaguzi wa ndani na nje fuatilieni hili mjue ukweli na mumsaidie CEEO wa GPSA
huenda hajui hili.

2. Kwa ukaribu alionao na bosi wa GPSA CEEO meneja Jimmi amekua akifanya kazi kwa fitna, majungu na upendeleo kwa baadhi ya mabinti aliyo kwenye mahusiano nao kimapenzi. mara kadhaa amekua akipitisha malipo makubwa kwa kaz ndogo kwa hao mabinti, na hili lilishapata
kulalamikiwa na stafu wa kiume katika vikao vyao vya ndani. (bosi GPSA fuatilia hili ujue ukweli).

3.Meneja huyu wa GPSA anatumia madaraka vibaya kuna stafu wa kike-
Interni kwa jina kama sikosei alikua anaitwa Aulah aliondolewa kwa
fitna na majungu kisa tu alikataliwa kua na mahusiano ya kimapenzi, binti huyu
aliondolewa pasi hata kulipwa stahiki yake ambayo haizidi hata laki tatu. GPSA stafu wote wanalijua hili ( Bosi wa GPSA fuatilia hili kupitia informa wako upate kujua ukweli).

4. Meneja GPSA clearling amekua ni mtu mwenye majivuno, kibru, jeuri na mwenye dharau kwa wateja, makandarasi wa miradi mbalimbali ya serikali wanao clear mzgo yao kupitia GPSA wanaweza kua mashuhuda
wazuri juu ya meneja huyu.

5. Matumizi mabaya ya gari la serikali na mateso makubwa kwa dereva wake. Meneja GPSA clearling amekua akikaa bar/night club hadi usiku wa manane ( mpaka sa8 usiku) huku dereva akiwa anamsubiri nje pasi kumnunulia chakula wa maji na hii haijalishi ni wiki days ama wikiend, hili sio jungu ni ukweli mtupu, madereva wa GPSA wanaweza kua mashuhuda wazuri ( bosi GPSA CEEO fuatilia hili, Jimmi anatumia vibaya rasilimali za umma ambapo ni kinyume cha sheria utumishi na anawapa
mateso makubwa madereva wake). kuna dereva anaitwa Haule hakua tayari kuvumilia mateso hayo, mwishowe Jimmi akamtengenezea zengwe ili afukuzwe kazi lakini akagonga mwamba, na dereva huyo akahamishwa. (Mamlaka husika fuatilieeni hili).
6. Kwa kua meneja Jimmi anabebwa sana na bosi kubwa wa GPSA, amekua akimpelekea CEEO majungu juu ya baadhi ya wafanyakazi wa GPSA Clearling na CEEO bila kufanyia uchunguzi kupitia informa wake (naamini anao wengi) amekua akiwahamisha bila sababu za msingi ( hapa
bosi GPSA awe anafanya uchunguzi kujiridhisha ndipo achukue hatua),
katika kisichozidi miez 9 amewapiga majungu stafu zaid ya 7 wakahamishwa bila sababu za msingi.

7. Meneja Jimmi ni incompent person yaani ni kilaza sijui alipataje hio nafasi nyeti na kubwa, nadhani alibebwa. Kupitia GPSA Clearling amekua akiisababishia serikali na taasisi zake gharama kubwa za kutunza mizigo bandarini ( storegi charges ) hili sio jungu mashuhuda wazuri hapa ni taasisi/mashirika/wizara zinazohudumiwa na GPSA kama Muhimbili chuo, Muhimbili hospital, MSD, nakadhalika.

Hitimisho, kwa kutoa rai kwa bosi wa GPSA CEEO, anavyoendelea kuiboresha GPSA atume wakaguzi wa ndani na nje ndipo atakapobaini ukweli haya yote yaliyosemwa;
- Baadhi ya wasafirishaji (transporters) wasiosajiliwa na GPSA wala
PPRA nyingi ni briefcase kampani hawana ofisi wala roli hata moja.
-Baadhi Wazabuni/transporters kulipwa pesa kamili pasi kuwasilisha
receipt za EFD wala kukatwa witholding tax wakati invoice za zimejumisha VAT.
-Majungu waliotengenezwa kwa stafu zaidi 7 mpaka ikapelekea huhamishwa
bila sababu za msingi.
-Gharama kubwa za utunzaji (storage chargi) zinazolipwa taasisi za
uma ikiwemo mzigo inayoaagizwa na GPSA wenyewe.
Huu ndo uhalisia ulioko GPSA na Ahsante kwa kuliongeza hili lakini tu nikuambie sitaki kuamini Kama hili CEO wa GPSA halijui Jimmy ni mmoja wa watu wa karibu sana sana tena sana na CEO, wale wahujumu na wezi wa Mali za taasisi ndio watengeneza fitna, majungu na umbeya kwa watu walio smart kwenye kazi na kwa sababu management na yenyewe ni fisadi inaungana nao ili kuwanyanyasa wale walio smart... management yote ya GPSA haifai kuwa pale na wengine wanafaa wawe gerezani, wanahujumu taasisi, serikali na zaidi wanakwamisha juhudi za rais wetu magufuli
 
Mkuu firemoto [emoji16][emoji16][emoji16] ndo ukafungua account mpya kwa ajili ya kupika majungu? Jamani acheni fitna, waacheni watu wapige kazi. Eti wewe no member hapa tangu tarehe name, mpya kabisa. Mkuu firemoto kwanza unamwambia muanzisha Uzi kwamba unamuunga mkono kwa baadhi tu ya hoja/ maovi, kwa maana nyingine unakubali kwamba hoja nyingine sio za kweli.
Kwanza I declare my interests... Mimi ni mdau mkubwa Sana wa GPSA Tena wa miaka mingi, ktk kitengo Cha ukomboaji na uondoshaji mizigo bandarini (clearing &forwarding). Niseme tu kuwa huyu meneja mpya aliepo Sasa bwana Jimmy chini ya usimamizi wa huyo mtendaji mkuu amekibadilisha kitengo Sana, sisi wadau na nyingi watumishi hakika mnaona kwa macho naa akili zenu. Kasi ni kubwa na kitengo kimeimarika.
Watumishi wengi waliokuwepo zamani, walikuwa wanatuuzia kazi sisi mawakala (agents) Tena kwa Bei kubwa tu. Tangu huyu meneja Jimmy amekabidhiwa kitengo sio Siri mawakala wote wanaisoma namba.
Yapo mabadiliko makubwa na mengi tunayoona, miongoni mwao- Mizigo ya wateja wetu iliyokuwa inakaa bandarini kwa muda mrefu, Sasa haikai Tena. Hili ni Jambo kubwa Sana haswa ukizingatia hiki kitengo ni taasisi ya serkali, kiukweli hatukutegemea Kama wangeweza kufanya kazi kwa weledi wa juu namna hii.
Kama nikivyotangulia kusema hapo juu na nikiangalia hata mazingira yako mkuu FIREMOTO, nachelea kusema nyinyi mloandika Mambo haya ambapo Mengi no ya uongo, fitna na majungu ni miongoni mwa watumishi wasiojielewa na waliokatiwa mianya yao ya kula rushwa na upigaji. Taasis za serkali Kama TAKUKURU zipo na zitafanya uchunguzi yakinifu na ukweli utajulikana tu. Serkali ya Sasa sio lelemama, haiendekezi majungu Bali inapiga kazi.
Nipende tu kumtia moyo huyu meneja Jimmy na mtendaji mkuu wa GPSA wapige kazi, waende na kasi hii hii ya Raisi wetu na serkali ya awamu ya tano. Pamoja na kwamba sisi mawakala tunakosa kazi kwa njia za panya Sasa, lakini Mimi ni mtanzania mzalendo ninayependa maendeleo ya nchi yangu. Nafurahia kuona serkali ikifanya kazi yake kwa weledi pasipo makandokando yoyote na hakika tunaona utendaji wa hicho kitengo Cha clearing ulivyoimarika.
Kutokana na kasi iliyopo na inayoendana na kasi ya awamu ya tano ni lazma wavivu, wapigaji na walarushwa waishie kupiga kelele.
Mwisho tukumbuke kufata MAELEKEZO tunayopewa na serkali na wizara ya AFYA. Tunawe mikono na sabuni na maji tiririka, tuepuke misongamano isiyo ya lazma haswa kipindi hiki Cha sikukuu za pasaka, tusishikane mikono Wala kukumbatiana, social distance ishike hatamu. Tuache safari zisizokua na ulazma ili tuishinde COVID_19 inayoletwa na corona. Tuiunge mkono serkali, tuchape kazi na tuache majungu. Tujenge na kuimarisha uchumi wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
vyombo husika vitakapofanya kazi yake, utayaona matokeo na ndipo utakapojua kua haya sio majungu ni kweli tupu.
 
Muazisha uzi nakuunga mkono kwa baadhi ya hoja/maovu uliyoibua katika taasisi ya GPSA,

Mimi nikazia/ibua ufisadi, fitna majungu na matumizi mabaya ya madaraka unaofanywa na meneja GPSA Clearling somebody Mr. Jimi, naomba ieleweke haya yanayoandikwa sio majungu ni ukweli mtupu na inafanyika hivi katika kumsadia bosi wa GPSA anaefanya jitihada kubwa kuiboresha GPSA.

1. Ufisadi mkubwa unaofanywa na meneja clearling ni kutumia baadhi wasafirishaji ( transporters wasiotambulika na GPSA wala PPRA na mara nyngi anapowatumia hupata kamisheni kubwa ambayo hupitia kwa stafu
anaitwa Jafeth ili ampelekee bosi wake. matransporters hao anaonufaika hulipwa pasi kuwasilisha EFD risiti wala hawakatwi witholding tax wakati invoisi zao
zimeonyesha VAT ( bosi GPSA, TRA kodi za ndani, PPRA na TAKUKURU) fuatilieni hili kodi (VAT) ya serikali inapotea sana Wakaguzi wa ndani na nje fuatilieni hili mjue ukweli na mumsaidie CEEO wa GPSA
huenda hajui hili.

2. Kwa ukaribu alionao na bosi wa GPSA CEEO meneja Jimmi amekua akifanya kazi kwa fitna, majungu na upendeleo kwa baadhi ya mabinti aliyo kwenye mahusiano nao kimapenzi. mara kadhaa amekua akipitisha malipo makubwa kwa kaz ndogo kwa hao mabinti, na hili lilishapata
kulalamikiwa na stafu wa kiume katika vikao vyao vya ndani. (bosi GPSA fuatilia hili ujue ukweli).

3.Meneja huyu wa GPSA anatumia madaraka vibaya kuna stafu wa kike-
Interni kwa jina kama sikosei alikua anaitwa Aulah aliondolewa kwa
fitna na majungu kisa tu alikataliwa kua na mahusiano ya kimapenzi, binti huyu
aliondolewa pasi hata kulipwa stahiki yake ambayo haizidi hata laki tatu. GPSA stafu wote wanalijua hili ( Bosi wa GPSA fuatilia hili kupitia informa wako upate kujua ukweli).

4. Meneja GPSA clearling amekua ni mtu mwenye majivuno, kibru, jeuri na mwenye dharau kwa wateja, makandarasi wa miradi mbalimbali ya serikali wanao clear mzgo yao kupitia GPSA wanaweza kua mashuhuda
wazuri juu ya meneja huyu.

5. Matumizi mabaya ya gari la serikali na mateso makubwa kwa dereva wake. Meneja GPSA clearling amekua akikaa bar/night club hadi usiku wa manane ( mpaka sa8 usiku) huku dereva akiwa anamsubiri nje pasi kumnunulia chakula wa maji na hii haijalishi ni wiki days ama wikiend, hili sio jungu ni ukweli mtupu, madereva wa GPSA wanaweza kua mashuhuda wazuri ( bosi GPSA CEEO fuatilia hili, Jimmi anatumia vibaya rasilimali za umma ambapo ni kinyume cha sheria utumishi na anawapa
mateso makubwa madereva wake). kuna dereva anaitwa Haule hakua tayari kuvumilia mateso hayo, mwishowe Jimmi akamtengenezea zengwe ili afukuzwe kazi lakini akagonga mwamba, na dereva huyo akahamishwa. (Mamlaka husika fuatilieeni hili).
6. Kwa kua meneja Jimmi anabebwa sana na bosi kubwa wa GPSA, amekua akimpelekea CEEO majungu juu ya baadhi ya wafanyakazi wa GPSA Clearling na CEEO bila kufanyia uchunguzi kupitia informa wake (naamini anao wengi) amekua akiwahamisha bila sababu za msingi ( hapa
bosi GPSA awe anafanya uchunguzi kujiridhisha ndipo achukue hatua),
katika kisichozidi miez 9 amewapiga majungu stafu zaid ya 7 wakahamishwa bila sababu za msingi.

7. Meneja Jimmi ni incompent person yaani ni kilaza sijui alipataje hio nafasi nyeti na kubwa, nadhani alibebwa. Kupitia GPSA Clearling amekua akiisababishia serikali na taasisi zake gharama kubwa za kutunza mizigo bandarini ( storegi charges ) hili sio jungu mashuhuda wazuri hapa ni taasisi/mashirika/wizara zinazohudumiwa na GPSA kama Muhimbili chuo, Muhimbili hospital, MSD, nakadhalika.

Hitimisho, kwa kutoa rai kwa bosi wa GPSA CEEO, anavyoendelea kuiboresha GPSA atume wakaguzi wa ndani na nje ndipo atakapobaini ukweli haya yote yaliyosemwa;
- Baadhi ya wasafirishaji (transporters) wasiosajiliwa na GPSA wala
PPRA nyingi ni briefcase kampani hawana ofisi wala roli hata moja.
-Baadhi Wazabuni/transporters kulipwa pesa kamili pasi kuwasilisha
receipt za EFD wala kukatwa witholding tax wakati invoice za zimejumisha VAT.
-Majungu waliotengenezwa kwa stafu zaidi 7 mpaka ikapelekea huhamishwa
bila sababu za msingi.
-Gharama kubwa za utunzaji (storage chargi) zinazolipwa taasisi za
uma ikiwemo mzigo inayoaagizwa na GPSA wenyewe.
Mkuu umeongea Vema, Huko Ugomboaji kulikuwa ni kitovu cha upigaji wa wakubwa tangu zamani Kama nilivoelezea hapo mwanzo kimekuja kuokolewa na maagizo ya raisi maguful, baada ya maagizo ya raisi akapelekwa meneja mmoja anaitwa Werema Kama sikosei kwa bahati mbaya wakawa hawaivi na CEO wa Sasa yule jamaa akahamia TASAC, Baada ya kuondoka akapelekwa meneja mwingine ambae nimemsahau jina nae aliondolewa hapa nadhani alikuwa anatafutwa mtu ambae atakuwa msiri kwenye kuendeleza madili maana ilishaonekana pale Kuna mifereji ya pesa.

Hapo ndipo alipopatikana Huyu Jimmy alikuwa Meneja mkoa Arusha nadhani katika mameneja wote wa GPSA wa sasa yeye ndiyo meneja anaetoka ukanda mmoja na CEO wa Sasa, akawekwa Ugomboaji..huyu yuko pale kimkakati maalum na anambeleko ya CEO, kiutendaji jamaa ni zaidi ya kilaza ( ni uhalisia sio majungu) kwa vile wako kimaslahi binafsi Imebidi CEO ambebe hakukuwa na namna..ni mtu wa majungu, fitna, umbeya na mtu Kama vile anatumia cha Arusha kwa mambo anayofanya...na yeye kaiga mfumo wa DBSS ili muendane nae kwa msichana lazma akulale na usipomkubalia atakuondoa tu kwa namna yoyote
 
Kwenye ile taasisi ukiachana na ubovu wa management nzima, Lakini DBSS bwana Malik Aram hafai kuwa kwenye utumishi wa umma huyu siyo chuki Wala unafiki huyu ndiyo engine ya uovu wote wa taasisi Ufisadi, maonevu kwa watumishi,manyanyaso na kageuza ofisi Kama mali yake binafsi.... na huwa ana - target nzuri sana akipelekwa CEO mpya ni lazma ahakikishe anamcontrol kwa asilimia zote.

Hapo GPSA ukitaka mambo yako yaende wewe jipendekeze kwa huyu mtu yaani CEO hana say yoyote kwa alilopitisha huyu jamaa...na hili linamsaidia sana kufanya uchafu wake...CEO wa Sasa angetakiwa amuondoe huyu mtu mapema angekuwa kwenye position nzuri kuliko kumsikiliza majungu yake wakatoa watu smart akapachika wa kwake aliokuwa anawataka yeye (DBSS) wakaimu ili aweze kufanya madili yake kwa uhuru.

Kiujumla jamaa (DBSS) kamzidi akili CEO, yaani CEO anatembea kwenye nyao za DBSS
 
Nasema ukweli kabisa, ile ukweli wangu toka moyoni mimi CEO wenu wa Sasa simfahamu vizuri ila hiki kijamaa Ki -DBSS, huyu mjinga ana roho mbaya na manyanyaso kwa wafanyakazi utafikiri yeye atadumu pale milele, kwa aliyonifanyiaga sitaki kuyasema ila kila siku huwa namuombea mabaya yampate... Naona uchawi wake umeanza kuexpire naamini maombi yangu yatatiki tu mda si mrefu..... Hata Kama asiposhughulikiwa Mimi nilishaapa huyu nikukutana nae wawili tu walai tunamalizana..Anacheza sana na maisha ya watu pale ofisini, anaamua kukufanya vyovyote vile utafikiri ofisi yake. PUMBAVU sana yaani hiki kijamaa basi tu mungu yupo nasema ipo siku acha aendelee kuwanyanyasa mliopo ila Mimi bado kisasi changu nitalipa tu
 
Nasema ukweli kabisa, ile ukweli wangu toka moyoni mimi CEO wenu wa Sasa simfahamu vizuri ila hiki kijamaa Ki -DBSS, huyu mjinga ana roho mbaya na manyanyaso kwa wafanyakazi utafikiri yeye atadumu pale milele, kwa aliyonifanyiaga sitaki kuyasema ila kila siku huwa namuombea mabaya yampate... Naona uchawi wake umeanza kuexpire naamini maombi yangu yatatiki tu mda si mrefu..... Hata Kama asiposhughulikiwa Mimi nilishaapa huyu nikukutana nae wawili tu walai tunamalizana..Anacheza sana na maisha ya watu pale ofisini, anaamua kukufanya vyovyote vile utafikiri ofisi yake. PUMBAVU sana yaani hiki kijamaa basi tu mungu yupo nasema ipo siku acha aendelee kuwanyanyasa mliopo ila Mimi bado kisasi changu nitalipa tu
Aiseee pole sana Paploman
 
Mkuu umeongea Vema, Huko Ugomboaji kulikuwa ni kitovu cha upigaji wa wakubwa tangu zamani Kama nilivoelezea hapo mwanzo kimekuja kuokolewa na maagizo ya raisi maguful, baada ya maagizo ya raisi akapelekwa meneja mmoja anaitwa Werema Kama sikosei kwa bahati mbaya wakawa hawaivi na CEO wa Sasa yule jamaa akahamia TASAC, Baada ya kuondoka akapelekwa meneja mwingine ambae nimemsahau jina nae aliondolewa hapa nadhani alikuwa anatafutwa mtu ambae atakuwa msiri kwenye kuendeleza madili maana ilishaonekana pale Kuna mifereji ya pesa.

Hapo ndipo alipopatikana Huyu Jimmy alikuwa Meneja mkoa Arusha nadhani katika mameneja wote wa GPSA wa sasa yeye ndiyo meneja anaetoka ukanda mmoja na CEO wa Sasa, akawekwa Ugomboaji..huyu yuko pale kimkakati maalum na anambeleko ya CEO, kiutendaji jamaa ni zaidi ya kilaza ( ni uhalisia sio majungu) kwa vile wako kimaslahi binafsi Imebidi CEO ambebe hakukuwa na namna..ni mtu wa majungu, fitna, umbeya na mtu Kama vile anatumia cha Arusha kwa mambo anayofanya...na yeye kaiga mfumo wa DBSS ili muendane nae kwa msichana lazma akulale na usipomkubalia atakuondoa tu kwa namna yoyote
uko sahihi kabisa, jamaa anabebwa mpa
Mkuu umeongea Vema, Huko Ugomboaji kulikuwa ni kitovu cha upigaji wa wakubwa tangu zamani Kama nilivoelezea hapo mwanzo kimekuja kuokolewa na maagizo ya raisi maguful, baada ya maagizo ya raisi akapelekwa meneja mmoja anaitwa Werema Kama sikosei kwa bahati mbaya wakawa hawaivi na CEO wa Sasa yule jamaa akahamia TASAC, Baada ya kuondoka akapelekwa meneja mwingine ambae nimemsahau jina nae aliondolewa hapa nadhani alikuwa anatafutwa mtu ambae atakuwa msiri kwenye kuendeleza madili maana ilishaonekana pale Kuna mifereji ya pesa.

Hapo ndipo alipopatikana Huyu Jimmy alikuwa Meneja mkoa Arusha nadhani katika mameneja wote wa GPSA wa sasa yeye ndiyo meneja anaetoka ukanda mmoja na CEO wa Sasa, akawekwa Ugomboaji..huyu yuko pale kimkakati maalum na anambeleko ya CEO, kiutendaji jamaa ni zaidi ya kilaza ( ni uhalisia sio majungu) kwa vile wako kimaslahi binafsi Imebidi CEO ambebe hakukuwa na namna..ni mtu wa majungu, fitna, umbeya na mtu Kama vile anatumia cha Arusha kwa mambo anayofanya...na yeye kaiga mfumo wa DBSS ili muendane nae kwa msichana lazma akulale na usipomkubalia atakuondoa tu kwa namna yoyote
uko sahihi, jamaa anabebwa mpaka imefika point habebeki.
 
Mimi naongezea jambo moja ambalo linaweza kuongezwa na wahusika kwenye mambo ya kufanyia uchunguzi hap GPSA. Ila nina hakika nalo. Pale GPSA kwenye magari wanayonunulia taasisi za serikali kuna dealers wa hayo magari wanaopendwa na wasiopendwa japo wote wanakuwa wameingia mikataba na GPSA. Wanaopendwa ni wale wanaotoa commission ya kueleweka na mmoja wao ni TOYOTAR. Dealers wengine wanafanyiwa figisu sana kwenye kuingia au ku-renew mikataba na pia kwenye kununuliwa magari kutoka kwao na wanalalamika sana.
 
Nasema ukweli kabisa, ile ukweli wangu toka moyoni mimi CEO wenu wa Sasa simfahamu vizuri ila hiki kijamaa Ki -DBSS, huyu mjinga ana roho mbaya na manyanyaso kwa wafanyakazi utafikiri yeye atadumu pale milele, kwa aliyonifanyiaga sitaki kuyasema ila kila siku huwa namuombea mabaya yampate... Naona uchawi wake umeanza kuexpire naamini maombi yangu yatatiki tu mda si mrefu..... Hata Kama asiposhughulikiwa Mimi nilishaapa huyu nikukutana nae wawili tu walai tunamalizana..Anacheza sana na maisha ya watu pale ofisini, anaamua kukufanya vyovyote vile utafikiri ofisi yake. PUMBAVU sana yaani hiki kijamaa basi tu mungu yupo nasema ipo siku acha aendelee kuwanyanyasa mliopo ila Mimi bado kisasi changu nitalipa tu
Mimi naongezea jambo moja ambalo linaweza kuongezwa na wahusika kwenye mambo ya kufanyia uchunguzi hap GPSA. Ila nina hakika nalo. Pale GPSA kwenye magari wanayonunulia taasisi za serikali kuna dealers wa hayo magari wanaopendwa na wasiopendwa japo wote wanakuwa wameingia mikataba na GPSA. Wanaopendwa ni wale wanaotoa commission ya kueleweka na mmoja wao ni TOYOTAR. Dealers wengine wanafanyiwa figisu sana kwenye kuingia au ku-renew mikataba na pia kwenye kununuliwa magari kutoka kwao na wanalalamika sana.
Duuuh Hawa jamaa wa GPSA wamewafanya nini wakuu aisee mmeamua kuchomoa betri
 
Duuuh Hawa jamaa wa GPSA wamewafanya nini wakuu aisee mmeamua kuchomoa betri
Aisee mkuu mimi kama mimi hawajanifanyia lolote baya pamoja na kwamba hao wote wanaotuhumiwa hapa ni watu tunaofahamiana vizuri. Tatizo au baya lililofanyika ni kwa umma wa watanzania. Pia kwenye nyongeza yangu sijataja jina la mtu. Ila nilichoandika nina uhakika nacho maana uwa sioni faida yoyote ya majungu.
 
Back
Top Bottom