Naona Kuna watu wanaleta utetezi kwa hoja zisizokuwa na ushahidi, nimeleta tuhuma hizi hapa ili mamlaka izifanyie kazi kwa kuwa GPSA imekuwa kichaka cha watu flani kupiga pesa za umma huku mamlaka zikiwa Kama zimewasahau.
Sina chuki na Hawa watu na wala Sina maslahi binafsi ndani ya taasisi na Kama yapo basi uchunguzi na hatua zichukuliwe, tunatoa hapa ili kuonesha mamlaka ni namna gani wameisahau hii taasisi kiasi kwamba viongozi wake kila anaekuja anaona ni fursa kapata ya kupiga pesa chini ya Engineer wa upigaji Bw. Malik Aram ambaye ni DBSS.
Bado naandaaa taarifa zingine sahihi na nitaziweka hapa kurahisisha mamlaka kufanya kazi yao, japo kwa taarifa za uhakika,Sasa wanafanya kazi ya kuficha na kurekebisha documents zenye Ufisadi lakini najua hili halitasaidia maana ukweli siku zote huwa unajulikana.
Wanaosema Kuna maslahi yangu/yetu yameguswa wanapaswa kusema ni maslahi gani hayo yalikuwa yanaathiri taasisi na mimi nitajwe niliyekuwa nayafanya ili kuweka ushahidi sawa badala ya kutumia nguvu nyingi kupinga kwa porojo. Hapa tunamsaidia raisi magufuli kujua wahujumu wake maana vyombo vya ukaguzi vilivyopewa mamlaka ya kufichua haya maovu vinanunulika...najua hapa ataona
N:B
Kuna mda nakuwa sijibu message kwa sababu ya kubanwa na majukumu mengine
Sina chuki na Hawa watu na wala Sina maslahi binafsi ndani ya taasisi na Kama yapo basi uchunguzi na hatua zichukuliwe, tunatoa hapa ili kuonesha mamlaka ni namna gani wameisahau hii taasisi kiasi kwamba viongozi wake kila anaekuja anaona ni fursa kapata ya kupiga pesa chini ya Engineer wa upigaji Bw. Malik Aram ambaye ni DBSS.
Bado naandaaa taarifa zingine sahihi na nitaziweka hapa kurahisisha mamlaka kufanya kazi yao, japo kwa taarifa za uhakika,Sasa wanafanya kazi ya kuficha na kurekebisha documents zenye Ufisadi lakini najua hili halitasaidia maana ukweli siku zote huwa unajulikana.
Wanaosema Kuna maslahi yangu/yetu yameguswa wanapaswa kusema ni maslahi gani hayo yalikuwa yanaathiri taasisi na mimi nitajwe niliyekuwa nayafanya ili kuweka ushahidi sawa badala ya kutumia nguvu nyingi kupinga kwa porojo. Hapa tunamsaidia raisi magufuli kujua wahujumu wake maana vyombo vya ukaguzi vilivyopewa mamlaka ya kufichua haya maovu vinanunulika...najua hapa ataona
N:B
Kuna mda nakuwa sijibu message kwa sababu ya kubanwa na majukumu mengine