GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

Yametimia, Kisiki kimeng'olewa GPSA. Huu ni mwanzo tu

Serikali huwa hailali kwa tuhuma za kweli. Ma-infomer mliopo GPSA mmefanya kazi nzuri sana
Jamaa nasikia wamem-fire?
Binafsi nimefurahi kaumiza na kachangia kuharibu maisha ya watumishi wengi Mjinga yule.
 
Mtu mfupi atakufa kwa msongo wa mawazo, nimeamini aisee muosha huoshwa
 
Malick au CEO aliyetolewa hapo GPSA?
naomba mungu hizi taarifa ziwe za kweli halafu awe ni Malick aliyeondolewa.

Niliahidi huyu akifa nitaenda msibani kwake kutoa rambirambi hata kama nitakuwa mbali kiasi gani.
 
Hongera mkuu Mk54, ilikuwa ni suala la muda tu. Hapo juu uligusia performance ya DG wa MSD na mwezi May nakumbuka Rais alitengua uteuzi wake. Hivi tunavyoongea Bwanakunu yuko rumande akishtakiwa kwa makosa ya kuhujumu uchumi na kutakatisha fedha. Kweli JF ni mahala penye taarifa
 
Da hata hivyo imechukua muda mrefu sana katika kuchukua hatua hiyo. Pongezi ziwafikie wahusika. Habari hii ya malalamiko juu ya huyo mkurugenzi ilitolewaga hapa miezi kadhaa iliyopita.
 
Yametimia, Kisiki kimeng'olewa GPSA. Huu ni mwanzo tu

Serikali huwa hailali kwa tuhuma za kweli. Ma-infomer mliopo GPSA mmefanya kazi nzuri sana
Hebu dadavua what happened?
 
Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…