Graduate hawana ajira wako mtaani, ila wako Ok kwa sababu Simba na Yanga zinashinda mechi zao

Graduate hawana ajira wako mtaani, ila wako Ok kwa sababu Simba na Yanga zinashinda mechi zao

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ukiwafuatilia Graduate mtaani utaona kabisa walisharidhika sana na life na kikubwa kwao ni kuona Yanga na Simba zina perform well.

Hawana time na kupambania feature yao. Hawana time na kuishinikiza Serikali iwapatie ajira wao kikubwa wanaibana Serikali ihakikishe Yanga na Simba zinafanya vizuri.

Graduate wa nchi zingine ni Bomu kwa Serikali zao na Serikali za hizo nhi huwa wanakosa usingizi kwa sababu ya Vijana wasio kuwa na kazi. Hapo Kenya au Uganda Vijana wasio kuwa na kazi muda wowote huwa wanakinukisha.

Tanzania Vijana wasio kuwa na ajira sio tatizo kwa Watawala kabisa na hawana hatari yoyote ile na hawawakoseshi watawala usingizi, kikubwa Yanga na Simba zinafanya vizuri.

Ndio maana Mama kuliko aumize kichwa kutatua tatozo la ajira yeye kawekeza sana kununua magori na kununulia mashabiki tiketi za kuingia uwanjani na vijana kweli wana ridhika na wako sawa kabisa.
 
Ukiwafuatilia Graduate mtaani utaona kabisa walisha ridhika sana na life na kikubwa kwao ni kuona Yanga na Simba zina perform well.

Hawana time na kupambania feature yao. Hawana time na kuishinikiza Serikali iwapatie ajira wao kikubwa wanaibana Serikali ihakikishe Yanga na Simba zinafanya vizuri.

Graduate wa nchi zingine ni Bomu kwa Serikali zao na Serikali za hizo nhi huwa wanakosa usingizi kwa sababu ya Vijana wasio kuwa na kazi. Hapo Kenya au Uganda Vijana wasio kuwa na kazi muda wowote huwa wanakinukisha.

Tanzania Vijana wasio kuwa na ajaira sio tatizo kwa Watawala kabisa na hawana hatari yoyote ile na hawawakoseshi watawala usingizi, kikubwa Yanga na Simba zinafanya vizuri.

Ndio maana Mama kuliko aumize kichwa kutatua tatozo la ajira yeye kawekeza sana kununua magori na kununulia mashabiki tiketi za kuingia uwanjani na vijana kweli wana ridhika na wako sawa kabisa.
This is so wrong japokuwa lengo la team hizi kuanzishwa ni ku distract raia ili watulie.
 
Simba na Yanga zimekuwa jalala la matatizo ya Tanzania (dah mnawaonea sana).

Tanzania ina sera kadhaa nzuri za uwekezaji shida ni mikakati ya kutoa elimu, utayarishaji wa wafanya biashara kuona hizo fursa, access to capital, high capital interests and business strategies.

Yaani ata ukisoma mada za JF wahitimu na watumishi wanazungumzia uamisho na vijana ajira mpya za serikali.

Ilihali kuna sera nzuri tu za uzalishaji kikodi kama watu wangekuwa wamepewa elimu sahihi ya entrepreneurship na access to finance.

Shida ya Tanzania ni uwezo mdogo wa watu wanaoindesha nchi. Hatuko maskini kwa bahati mbaya.

Swala la kuendesha nchi sio shughuli ya mzaha.

Unaweza kuwa na wanasiasa kama Donald Trump au Kamala Harris; Lakini nyuma yake kwenye civil service sio watu wa mzaha kabisa.

Shida ya Tanzania ni uwezo mdogo wa civil servants. Kazi ya kuendesha nchi sio ya mzaha kabisa.

Mimi binafsi kwa ufautiliaji wa JF kwa kusoma comments nina uhakika wa zaidi ya asilimia 95% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa hawajai kusoma kitabu cha foundation cha elimu ya siasa.

Ukienda kwa wanasiasa wenyewe probably percentage ni 99%.

Watanzania wengi hawana foundation knowledge ya political argument. Sasa tusizanie na huko waliko endelea, nchi zinaendeshwa na watu wajinga kama siasa zetu.

Someone has to tell you the truth, a majority of contributors on this political forum, don’t even understand politics. Unajibizana na ujinga mtupu (ndio, ukweli).
 
Nchi inayojiendea endea tu huwa ni tatizo, nchi Inahitaji watu smart kichwani Ili iende vizuri na ikue, kazi ya kuendesha nchi haihitaji mzaha hata kidogo hivyo tunachofanya sisi ni "mzaha", asilimia kubwa ya kazi hasa serikali hutolewa Kwa kujuana kitu ambacho huzalisha watu wasio na weledi maana nafasi wamepewa tu kiushkaji, pita taasisi karibu zote za serikali hakuna cha maana sana labda wazuge zuge na kusubiri muda wa kuondoka ufike, mambo ni mengi sana.
 
Wafia siasa kwenu kizuri ni kipi?.

Simba na Yanga wabaya,Land Rover festival mbaya,Mahakama mbaya,Tigo na Voda wabaya,Bongo fleva wabaya,Bunge baya,Polisi wabaya.

Acheni bana maisha mengine yaendelee.
 
Nchi inayojiendea endea tu huwa ni tatizo, nchi Inahitaji watu smart kichwani Ili iende vizuri na ikue, kazi ya kuendesha nchi haihitaji mzaha hata kidogo hivyo tunachofanya sisi ni "mzaha", asilimia kubwa ya kazi hasa serikali hutolewa Kwa kujuana kitu ambacho huzalisha watu wasio na weledi maana nafasi wamepewa tu kiushkaji, pita taasisi karibu zote za serikali hakuna cha maana sana labda wazuge zuge na kusubiri muda wa kuondoka ufike, mambo ni mengi sana.

Ndugu kwa hao awaelewi somo.

Kwao wanadhani kazi ya kuendesha nchi, ni shughuli ya mzaha.

Ndio maana unaweza ona atuchomoki kwenye umaskini leo wala kesho.

Kazi ya kuendesha nchi sio ya mzaha, hata kidogo; hata kidogo.
 
Future uende wapi ? Dunia ya sasa kila mtu anaangalia tumbo lake.
 
ila watu so mlitaka watu wasishabikie mpira..?
mbona kama inawauma sana!,hivi mnataka watu waishi kama mashetani kazi akose awe na stress,pesa akose haya na timu zetu za nyumbani tusishabikie...??
mi sidhani kama simba na yanga imekuwa ni tatizo kiasi hicho mnavyofikiri okay kama nyie ambao hamshabikii huo mpira leteni suluhisho nyinyi si ma think tank wa taifa haya okoeni jahazi sasa!.
 
ila watu so mlitaka watu wasishabikie mpira..?
mbona kama inawauma sana!,hivi mnataka watu waishi kama mashetani kazi akose awe na stress,pesa akose haya na timu zetu za nyumbani tusishabikie...??
mi sidhani kama simba na yanga imekuwa ni tatizo kiasi hicho mnavyofikiri okay kama nyie ambao hamshabikii huo mpira leteni suluhisho nyinyi si ma think tank wa taifa haya okoeni jahazi sasa!.
Huo mpira umeajiri watu kibao , yaani point za watanzania hawaendelei kwa kutafuta sababu ambazo hazina uhusiano ...Hao wasiokuwa mashabiki waulize wamefanya nn ?

Wanafikiria maisha ni kama uko jela , hauna mda wa burudani basi watambue hata gerezani watu wanaangalia mpira .
 
Huo mpira umeajiri watu kibao , yaani point za watanzania hawaendelei kwa kutafuta sababu ambazo hazina uhusiano ...Hao wasiokuwa mashabiki waulize wamefanya nn ?

Wanafikiria maisha ni uko jela kwa hauna mda wa burudani basi watambue hata gerezani watu wanaangalia mpira .
mazwazwa tu!
 
Nchi inayojiendea endea tu huwa ni tatizo, nchi Inahitaji watu smart kichwani Ili iende vizuri na ikue, kazi ya kuendesha nchi haihitaji mzaha hata kidogo hivyo tunachofanya sisi ni "mzaha", asilimia kubwa ya kazi hasa serikali hutolewa Kwa kujuana kitu ambacho huzalisha watu wasio na weledi maana nafasi wamepewa tu kiushkaji, pita taasisi karibu zote za serikali hakuna cha maana sana labda wazuge zuge na kusubiri muda wa kuondoka ufike, mambo ni mengi sana.
Sasa hivi mambo mengi yameharibika.
 
Mara kadhaa nimekuwa nasema hii kitu.

Sio utani, hili ni tatizo kubwa sana Tanzania la ‘mind set’.

Watu wakishapata degree zao wana amini; mwajiri wao pekee ni serikali

Tatizo ni psychological preparation ya hawa vijana. Hakuna career advice kuanzia shule za secondary na elimu isiyolenga entrepreneurship ya maeneo ambayo vijana wanaweza jishughulisha.

Ni swala ambalo linajirudia kila siku na majibu ya suluhisho ambayo wachangiaji kila siku.

Sasa hakuna mbinu nyingine.

Tafuteni watu wenye uwezo na mikakati ya kuongoza nchi. Kuna matatizo mengine hayana suluhisho zingine zaidi ya kujifunza kwa waliotutatungulia. Uwezi somesha hata watu 100 Tanzania degree ya sociology kwa mwaka wakimaliza utawapeleka wapi.

Hii ndio msingi wa hizi mada
 
Ukiwafuatilia Graduate mtaani utaona kabisa walisharidhika sana na life na kikubwa kwao ni kuona Yanga na Simba zina perform well.

Hawana time na kupambania feature yao. Hawana time na kuishinikiza Serikali iwapatie ajira wao kikubwa wanaibana Serikali ihakikishe Yanga na Simba zinafanya vizuri.

Graduate wa nchi zingine ni Bomu kwa Serikali zao na Serikali za hizo nhi huwa wanakosa usingizi kwa sababu ya Vijana wasio kuwa na kazi. Hapo Kenya au Uganda Vijana wasio kuwa na kazi muda wowote huwa wanakinukisha.

Tanzania Vijana wasio kuwa na ajira sio tatizo kwa Watawala kabisa na hawana hatari yoyote ile na hawawakoseshi watawala usingizi, kikubwa Yanga na Simba zinafanya vizuri.

Ndio maana Mama kuliko aumize kichwa kutatua tatozo la ajira yeye kawekeza sana kununua magori na kununulia mashabiki tiketi za kuingia uwanjani na vijana kweli wana ridhika na wako sawa kabisa.
Mkuu nchi hii ina watu wa ajabu sana. Hata wakilishwa ma vi na serikali ilmradi mama analipia magoli ya Yanga na Simba, hakuna shida wala taabu yoyote.
 
Back
Top Bottom