Graduates sikilizeni kutoka kwa malegend wa kitaa...

Kujikomba ndio njia pekee na nyepesi ambayo unaweza kuitumia kuchomoka kimaisha kwa hali ya sasa ilivyo!

Jipendekeze kwa watu wenye connection kubwa hutakosa pa kupachikwa hata ikiwa sio leo wala kesho ila in a long run utatoboa!
Mkuu kujipendekeza Ni kitu rahisi Sana ila Ni kitu kigum Sana aisee asikwambie mtu Tena kujipendekeza kwa Mwanaume mwenzio ...!
 
Ukifa unafika kabulini malaika wanakuonesha matendo yako ya duniani ni mzambi unaanza kupewa azabu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa unakunywa Kilimanjaro sasa Kilimanjaro yako itakuwa ni double kick ama smart gin... embassy inakuwa Winston...


Poleni sana Mimi nimeteseka miaka miwili tu toka 2019-2021 allhamdullah nikapata kibarua japo mambo bado ni tight Ila nashukuru Ile kuomba omba pesa kwa mtu imeisha now ni kupambana tu na hali yangu
 
Ukifa unafika kabulini malaika wanakuonesha matendo yako ya duniani ni mzambi unaanza kupewa azabu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] na dhambi nyingi unaona kabisa ulifanya ukiwa chuo.
Anasimama malaika anakusomea dhambi ya kwanza ulikula tunda kimasihara, af anaclick laptop ilounganishiwa projector unaona kitu kinadisplay.

Unaanguka unazimia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]
 
Kujikomba ndio njia pekee na nyepesi ambayo unaweza kuitumia kuchomoka kimaisha kwa hali ya sasa ilivyo!

Jipendekeze kwa watu wenye connection kubwa hutakosa pa kupachikwa hata ikiwa sio leo wala kesho ila in a long run utatoboa!
Ukijikomba unapoteza urijali na uanaume ishi kiuhalisia!

Binafsi sipendi kujikomba hata nilivyokuwa na shida
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38] wazee wanasema tukajiajiri mamaaae!

Ukiwa broke hata jua linakupiga kihasira yaan, linakuchoma double double kukumbusha kuwa ununue gari au nitakuunguza hadi mbupu[emoji38]
 
[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] haahaaahaa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38] wazee wanasema tukajiajiri mamaaae!

Ukiwa broke hata jua linakupiga kihasira yaan, linakuchoma double double kukumbusha kuwa ununue gari au nitakuunguza hadi mbupu[emoji38]
Kwamba jua halikuonei huruma[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Haaahaaahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…