Oyaaaaa wanakuuliza kabisa we ndio unalidegreeBaada ya kuchakaa sana na mtaa,heshima home inashuka kwa kasi, madogo hawakuheshim tena,unaifikiria miaka yako mingi uliyoipoteza shule.
Unaiangalia gpa yako kali uliyoidotea chuo na kwauchungu sana unachukua tecno yako iliyopasuka kioo na kutype JF “natafuta kazi yeyote halali”.
Kutokana na kwamba uko broke unaandika vitu visivyoeleweka na detail chache kukuhusu.
Basi wanabodi walivyo na roho mbaya wanacomment ‘ngoja niwahi siti ‘ au ‘ngoja waje wakupe mwongozo’.
Aisee maisha haya omba yadikukute asee[emoji23]
Simu inapasuka kioo unaitengeneza wakati unarudi kibaka anakuvamia inaibiwa
Me baada ya kugraduate nilipata kazi kwenye NGO flani, miezi miwili badae kazi ikaisha. Nikasugua bench hadi akiba ikaisha. Nikawa beach boy, daily bahari beach kuogelea. Nikapata marafiki wavuvi, nikajifunza uongo maana hakuna watu waongo kama wavuvi.
Anakudanganya wazi eti aliwahi kuona jini limesimama juu ya maji
Nilichakaa vibaya sana. Nikabaki na pens moja, suruali moja na tshirt mbili. Nguo nyingine ziliisha.
Atakojoa mkojo mbayaaa[emoji23][emoji23] ila mange hapanaMuroto yule mbona kama na yeye anakula mjani
Huuwiiiii.. hahahahaNoma sana. View attachment 1989274
Mzee wa kuvaa vikaptula...anavuta sana bangi...na ni pusha wa kitambo sana...kaanza kubana kete toka mwaka 1998Yule jamaa ni mwaka wa tano huu hata simjuagi Jina Zaid ya kuniuzia Mali tu
Aisee itakua anapiga sana hela basi, toka kitambo hicho si mchezo.Mzee wa kuvaa vikaptula...anavuta sana bangi...na ni pusha wa kitambo sana...kaanza kubana kete toka mwaka 1998
Sent using Jamii Forums mobile app
IImkuta nilipomaliza six....nlikosa chuo...now npo mwaka wa tat npo makini sanaUnaachwa serious, unakuwa bize kufikilia maisha nguvu za kiume zinapungua (upeleki moto vizuri), hela huna matokeo yake unaachwa
Hapigi faida sana sababu ile profit yake lazima deduction hela ya "tenga" ifanyike ili aendelee kuwepo...Aisee itakua anapiga sana hela basi, toka kitambo hicho si mchezo.
😂Noma sana. View attachment 1989274
Hahahahaaa.....alooooooBaada ya kuchakaa sana na mtaa,heshima home inashuka kwa kasi, madogo hawakuheshim tena,unaifikiria miaka yako mingi uliyoipoteza shule.
Unaiangalia gpa yako kali uliyoidotea chuo na kwauchungu sana unachukua tecno yako iliyopasuka kioo na kutype JF “natafuta kazi yeyote halali”.
Kutokana na kwamba uko broke unaandika vitu visivyoeleweka na detail chache kukuhusu.
Basi wanabodi walivyo na roho mbaya wanacomment ‘ngoja niwahi siti ‘ au ‘ngoja waje wakupe mwongozo’.
Aisee maisha haya omba yadikukute asee😂
Hahaaa dah [emoji23]Kikubwa upate utelezi hii stage macho hayaoni vizuri kila mwanamke ni mzuri
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hahaaa kmmke walahi [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]mara unatembea juani unahisi harufu ya nyama choma kumbe ni mbupu zinaungua[emoji23]
Hahahahah hio imetushinda wengi! Kuna mtu aliwahi kunishauri hilo ila tuliishia kuvunja urafiki tu😂😂😂 biashara ya kumlamba mtu masaburi siiwezi
😂😂😂😂 Masaburi Mbususu ila JF bhana nimecheka sana wakuuWeweeeew.. whose gonna lick someone's booty? Weuweeeee... hizo kazi hatufanyi wengine. Ndo huko2 uombwe mbususu with no alert... hataaa...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app