witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Aah huruma itoke wapi ni mwendo wa kukuunguza tu[emoji16][emoji16]Kwamba jua halikuonei huruma[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah huruma itoke wapi ni mwendo wa kukuunguza tu[emoji16][emoji16]Kwamba jua halikuonei huruma[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Noma sana.Pixel 4 yangu ikafa display , apa na itel ....
... Balaa
Balaaa.
.siombi kaZi wala nn najiajiri..
Mtaji mtaji mtaji..
smartphone yako inakufaIle unatoka zako chuo unarudi nyumbani mwezi wa kwanza unapita kuna vitu vinaanza kutokea.
1. Usb yako inakufa
2. Sendo zinakatika
3. Jeans yako pendwa inachanika
4. Cadet zinapauka
5. Unaachwa na mpenzi wako.
Tuongeze vingine vingine
hahahahahhahahaSimu inapasuka kioo unaitengeneza wakati unarudi kibaka anakuvamia inaibiwa
Unamaanisha nin sasaNikisoma posts za wadau nazidi kumshukuru Mungu. Naomba tu anisamehe kama kuna muda nanung'unika. Kiukweli sijapitia 80% ya waliyopitia wadau. Sijapata kazi na sina mpango wa kupata kazi lakini Mwenyezi hanisahau kamwe. Nimejiajiri mtaji wangu ni computer, router na internet bando.
Hahahahah hio imetushinda wengi! Kuna mtu aliwahi kunishauri hilo ila tuliishia kuvunja urafiki tu😂😂😂 biashara ya kumlamba mtu masaburi siiweziUkijikomba unapoteza urijali na uanaume ishi kiuhalisia!
Binafsi sipendi kujikomba hata nilivyokuwa na shida
Acha kabisa yani life ni kisangaStress ni mbaya sana!
Unalala mchana,jua kali na shuka unajifunika! Ukiamka huna hata mia mfukoni! Unatembea na cheep ya line tu,unaomba simu kwa wana uweke cheep,walau uweze kuwa beep masela! Unabeep msela hapigi,anakuja kupiga baada ya masaa mawili haupo hewani! Kesho tena unawacheki wengine,home hapakaliki! Mbaya zaidi unaishi kwa Dada, shemeji hakuelewi, au unaishi kwa brother,shemeji anakupa vikazi vyakukukera,ugome amwambie Mme wake unamdharau kiwake! Maisha ni duara leo hii na sisi tuna familia,watoto wanasoma, nyie acheni Mungu aitwe Mungu!
hahhaahahahNoma sana. View attachment 1989274
Hahahahahaha yani inatesa sana hio hali na hamna kitu utafanya😂!!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38] wazee wanasema tukajiajiri mamaaae!
Ukiwa broke hata jua linakupiga kihasira yaan, linakuchoma double double kukumbusha kuwa ununue gari au nitakuunguza hadi mbupu[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] noma sanaHahahahahaha yani inatesa sana hio hali na hamna kitu utafanya[emoji23]!!!
Jua be like, nunua gari ntakuua wewe fala [emoji23]
Weweeeew.. whose gonna lick someone's booty? Weuweeeee... hizo kazi hatufanyi wengine. Ndo huko2 uombwe mbususu with no alert... hataaa...Kujikomba ndio njia pekee na nyepesi ambayo unaweza kuitumia kuchomoka kimaisha kwa hali ya sasa ilivyo!
Jipendekeze kwa watu wenye connection kubwa hutakosa pa kupachikwa hata ikiwa sio leo wala kesho ila in a long run utatoboa!
Unafanyajee mkuu!!? Nipe abc kidogo unaweza kuokoa maisha ya wengi mkuuNikisoma posts za wadau nazidi kumshukuru Mungu. Naomba tu anisamehe kama kuna muda nanung'unika. Kiukweli sijapitia 80% ya waliyopitia wadau. Sijapata kazi na sina mpango wa kupata kazi lakini Mwenyezi hanisahau kamwe. Nimejiajiri mtaji wangu ni computer, router na internet bando.
Hahahahha unatoa for job seekingWeweeeew.. whose gonna lick someone's booty? Weuweeeee... hizo kazi hatufanyi wengine. Ndo huko2 uombwe mbususu with no alert... hataaa...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ni Lila na Fila[emoji23][emoji23] connection na unafiki vinaendana
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hahahahah kujikomba ni kipaji kama ufupi na urefu 🤩! Wengine ni maskini jeuri tu tunakufa na tai shingoni kama ipo ipo!!!Ukijikomba unapoteza urijali na uanaume ishi kiuhalisia!
Binafsi sipendi kujikomba hata nilivyokuwa na shida
Mkuu upo kama Mimi hayo ndo maisha yangu, tofauti yangu mi na wewe, mi bado nipo chuo.Nikisoma posts za wadau nazidi kumshukuru Mungu. Naomba tu anisamehe kama kuna muda nanung'unika. Kiukweli sijapitia 80% ya waliyopitia wadau. Sijapata kazi na sina mpango wa kupata kazi lakini Mwenyezi hanisahau kamwe. Nimejiajiri mtaji wangu ni computer, router na internet bando.
Mimi ni legend wa kitaa nawapa moyo wadogo zangu waliomaliza chuo wasifocus kwenye negativity wakakata tamaa na kupata msongo wa mawazo. Bali watafute kitu kingine wafocus kupata kipato nyakati zimechange Dada angu.Unamaanisha nin sasa