Graduates sikilizeni kutoka kwa malegend wa kitaa...

Graduates sikilizeni kutoka kwa malegend wa kitaa...

Unafanyajee mkuu!!? Nipe abc kidogo unaweza kuokoa maisha ya wengi mkuu
Kuna kazi nyingi mtandaoni wewe tafuta kazi utakayoifurahia kuifanya, tumia hata mwaka mzima kujifunza kila siku, hata mwaka mmoja na nusu, huku ukiendelea kuangalia connection. Ukijiona upo vizuri anza kupiga kazi.
Mimi nimejifunza graphic designing na digital art miaka kama 8 iliyopita kabla ya kwenda chuo, instagram ndiyo sehemu yangu ya biashara. Vilevile natengeneza Hip Hop beats nauza, kuna Dada mmoja nimekutana naye insta ananisaidia sana kupata wateja, namtumia samples na beats then napata malipo.
Kutengeneza HipHop beats nimeanza mwaka jana tu, na kikubwa nilichojifunza ni Music theory na mixing na ndiyo imekuwa kama backbone ya kutengeneza kazi nzuri.
 
Huu ndio wakati kichwa kinawaza business idea&plan nzuri 😃...
 
Brother wangu ni Advocate mkubwa tu hapa Tanzania ni class mate zake kina Lissu,Ngeleja, Feleshi huyu AG na wengine wengi!

Baada ya Chuo,nilijikomba sana kwake,Osha sana gari zake akiwa kazipaki pale kwake,peleka sana watoto wake shule,ukienda nae town, anakutambulisha huyu flani,yupo sehemu flani,huyu flani yupo sehemu flani! Kuna siku nimepiga interview PPF, enzi zile DG alikua William Erio,nikamwambia brother afanye mchakato huyu jamaa si hua tunakutana nae pale Leger Plaza Bahari Beach?? Jamaa akasema poa,nikaja kutana na Erio,nikamuuliza akasema hapana kaka yako hakuniambia lolote,Erio akavuta sharubu kwa brother,dogo anasema ulikua na ujumbe wangu,ni upi huo, brother akasema,nilipitiwa,nitakutafuta tuongee!

Niliporudi home,niliwashiwa moto hatari,namzaririsha kwa marafiki zake,naomba omba utadhani yeye hajui kama sina ajira,basi nikatulia zangu,nikawa naomba kudra za mwenyezi Mungu tu, jamaa mkienda bar mnakunywa beer hata za laki 3,na demu anakutafutia,anamlipa hata 50,000 ukachakate mbususu,lakini eti akupe pesa thubutu!

Wanawake pia wanapata shida sana,anajikomba Weee,mwisho wa siku anachakatwa mbususu na kazi hapati,mwisho wa siku anakua na stress hadi unamuonea huruma!
Hahahahah kuna ndugu hawawezi kumsaidia mtu yani yupo radhi akupige bata ila sio akupe mchongo! Ndugu wa aina hio huwa nawakwepa kama ukoma yani!

Mademu ni kweli kuna wanaochezea free kende bila mpango wa kazi kukamilika yani!
witnessj i remember that case
 
Brother wangu ni Advocate mkubwa tu hapa Tanzania ni class mate zake kina Lissu,Ngeleja, Feleshi huyu AG na wengine wengi!

Baada ya Chuo,nilijikomba sana kwake,Osha sana gari zake akiwa kazipaki pale kwake,peleka sana watoto wake shule,ukienda nae town, anakutambulisha huyu flani,yupo sehemu flani,huyu flani yupo sehemu flani! Kuna siku nimepiga interview PPF, enzi zile DG alikua William Erio,nikamwambia brother afanye mchakato huyu jamaa si hua tunakutana nae pale Leger Plaza Bahari Beach?? Jamaa akasema poa,nikaja kutana na Erio,nikamuuliza akasema hapana kaka yako hakuniambia lolote,Erio akavuta sharubu kwa brother,dogo anasema ulikua na ujumbe wangu,ni upi huo, brother akasema,nilipitiwa,nitakutafuta tuongee!

Niliporudi home,niliwashiwa moto hatari,namzaririsha kwa marafiki zake,naomba omba utadhani yeye hajui kama sina ajira,basi nikatulia zangu,nikawa naomba kudra za mwenyezi Mungu tu, jamaa mkienda bar mnakunywa beer hata za laki 3,na demu anakutafutia,anamlipa hata 50,000 ukachakate mbususu,lakini eti akupe pesa thubutu!

Wanawake pia wanapata shida sana,anajikomba Weee,mwisho wa siku anachakatwa mbususu na kazi hapati,mwisho wa siku anakua na stress hadi unamuonea huruma!
Binafsi nawahurumiaga sana wadada, ukute ramani zmemkalia pabaya, kamalza chuo, no connection, hakuna wa kumkingia kifua, akitaka kujipambania anachakatwa mbususu na kuachwa njiapanda, doh!!![emoji22][emoji22][emoji22]

Hadi nakosa nguvu ya kuendelea ku type.

Mungu awape wepesi kwa kweli.
 
Yaani acha kabisa,wadada wanapitia mambo mengi sana! Demu wa jamaa yangu alichakatwa mbususu na kazi hakupata,jamaa akamtema! Demu siku hizi kawa seller mzuri tu,maana anataka maisha mazuri,lakini hana pesa!
Dem mwenye tamaa achakatwe tu, no way.
Maana vizuri vyahitaji pesa, na kuipata pesa bila kuchakatwa n kipengele kwa madem walio wengi.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hua wanajisahau sana hawa ndugu zetu! Pata nafasi gawana na ndugu zako,ndiyo watakuzika, ndiyo watakusitiri siku huna kitu! Hua tunawasema Wachaga na Wahaya wanabebana wao,hua wanaona mbali! Na hakuna Serikali iliyokua simple kama kipindi cha Jakaya,unapiga pesa unahamishwa tu,na unaweza chomeka jamaa zako wengi tu,na mkala bata hadi mnakufa!
Jamaa hakuliona hilo! Yeye bata tu na yeye
 
Kujikomba ndio njia pekee na nyepesi ambayo unaweza kuitumia kuchomoka kimaisha kwa hali ya sasa ilivyo!

Jipendekeze kwa watu wenye connection kubwa hutakosa pa kupachikwa hata ikiwa sio leo wala kesho ila in a long run utatoboa!
Amini mkuu uchawa ndio option pekee Bora ukifika hio stage,piga uchawa mwingi Yani hule first class mambo yakianza kukaa sawa temana.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38] wazee wanasema tukajiajiri mamaaae!

Ukiwa broke hata jua linakupiga kihasira yaan, linakuchoma double double kukumbusha kuwa ununue gari au nitakuunguza hadi mbupu[emoji38]
mara unatembea juani unahisi harufu ya nyama choma kumbe ni mbupu zinaungua😂
 
Nikisoma posts za wadau nazidi kumshukuru Mungu. Naomba tu anisamehe kama kuna muda nanung'unika. Kiukweli sijapitia 80% ya waliyopitia wadau. Sijapata kazi na sina mpango wa kupata kazi lakini Mwenyezi hanisahau kamwe. Nimejiajiri mtaji wangu ni computer, router na internet bando.
Naomba data plan yako na router gani unatumia. Sijajua nichukue ya mtandao gani speed na bei nafuu, desktop nnayo. Huu uzi unanitisha ila nishajipanga hakuna kulialia graduate mtarajiwa.
 
Baada ya wiki lile bando linaisha,
unaamua ku hide last seen ya whatsapp,
Nywele ulizokuwa ukizitunza kwa garama unanyoa.
Unafikiria kazi ya kufanya unagundua hauna mtaji na uzoefu, unachoka
Unauza simu, unafuga kuku na wanakufa wote[emoji23][emoji23]
Unakosa dira, unaamua kuwa rough.
Unabadilika rangi ya ngozi na unakufa[emoji23][emoji23]
Daah kudadadeq[emoji1][emoji1][emoji16]
 
Back
Top Bottom