Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,120
Demu wako wa Chuo anaolewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utajua hujui!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu wako wa Chuo anaolewa
Eh wewe kwan nani
TNG Squad - BONGO.COM:Yaani acha kabisa,wadada wanapitia mambo mengi sana! Demu wa jamaa yangu alichakatwa mbususu na kazi hakupata,jamaa akamtema! Demu siku hizi kawa seller mzuri tu,maana anataka maisha mazuri,lakini hana pesa!
Yani hii daah acheni tuMadogo home wanaanza kuleta dharau, kwa sababu upo tu home hauna kazi yoyote ya kufanya, ni mwendo wa kugombania mikate ya break fast asubuhi.
Siku hizo ilikuwa ni utata,[emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38]
Haha pale Bwiru TBL ukimaliza ule uzio Kama unalitafuta Ziwa Kuna Pusha mmoja anauzaga Bangi kitambo Sana. Hyo buku naona haikwenda mbali [emoji23]Siku hizo ilikuwa ni utata,
Bwiru-Mwanza,
Asubuhi moja nikawahi kwenda kucheki vibarua kule TBL, Ile nafika tu nakuta washikaji ndo wanasachiwa getini waingie, nikakimbia nafika tu getini kuna mlinzi wa kike akaniambia "wametosha", kuna mlinzi wa kiume akaniangalia kwa huruma, akanipa buku, kwa zile frustration nikanunua ganja za buku nikakaa kule ziwani nikavuta nikarudi geto sina hata mia mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] umetishaSiku hizo ilikuwa ni utata,
Bwiru-Mwanza,
Asubuhi moja nikawahi kwenda kucheki vibarua kule TBL, Ile nafika tu nakuta washikaji ndo wanasachiwa getini waingie, nikakimbia nafika tu getini kuna mlinzi wa kike akaniambia "wametosha", kuna mlinzi wa kiume akaniangalia kwa huruma, akanipa buku, kwa zile frustration nikanunua ganja za buku nikakaa kule ziwani nikavuta nikarudi geto sina hata mia mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaitwa KisinjaHaha pale Bwiru TBL ukimaliza ule uzio Kama unalitafuta Ziwa Kuna Pusha mmoja anauzaga Bangi kitambo Sana. Hyo buku naona haikwenda mbali [emoji23]
Yule jamaa ni mwaka wa tano huu hata simjuagi Jina Zaid ya kuniuzia Mali tu
Jiandae we kima[emoji23][emoji23] nakuja na muroto huko kupitia PGOYule jamaa ni mwaka wa tano huu hata simjuagi Jina Zaid ya kuniuzia Mali tu
Heheheehee free kende daaah[emoji23][emoji23][emoji16]Hahahahah kuna ndugu hawawezi kumsaidia mtu yani yupo radhi akupige bata ila sio akupe mchongo! Ndugu wa aina hio huwa nawakwepa kama ukoma yani!
Mademu ni kweli kuna wanaochezea free kende bila mpango wa kazi kukamilika yani!
witnessj i remember that case
That's very true....wanawake wana tamaa kupita maelezo [emoji848]Yaani acha tu,unakula bata balaa,Casino zote Dsm nazijua! Ila jamaa eti akupe mchongo, thubutu! Pia nilishajifunza aiseee! Tuwaandalie watoto zetu maisha,sio makubwa sana lakini hata kidogo,ambacho siku haupo au upo basi waweze simama na sio kua omba omba na watu wakujikomba sana kwa watu,watachakatwa mbususu kweli kweli kwa mabinti,na kazi hawapatani! Na hakuna binadamu mwenye tamaa kama mwanamke,na ambaye hawezi ishi maisha ya chai ya mkono mmoja kama mwanaume,yeye anadhani kitobo ndiyo Capital!
Hii roho sijui ya wapi[emoji848]Ni Ungese Pro Max
Ndipo tulipofikia huko! Mtu yupo radhi akupe samaki badala ya kukufundisha kuvuaHii roho sijui ya wapi[emoji848]
Muroto yule mbona kama na yeye anakula mjaniJiandae we kima[emoji23][emoji23] nakuja na muroto huko kupitia PGO
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app