Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
Aaah! 2000 sitaweza ila hayo ni makadilio tu nikihesabu kwa sehemu ndogo then nikazidisha kwa ukubwa wa tz. Is all about Google Earth na Google maps ukiangalia idadi ya makazi, physical feature uoto utaelewa Nini kinaweza kukufaa sehemu husika kiukweli Hali ni ngumu ila kwakuwa Kuna simu na internet ya Bei che ya halotel naona maisha ni rahisi mno Kama mwepesi kujifunza
Hujiskii hata aibu kwa upuuzi ulioandikaKwani kuna nini cha spesho sana ambacho mnakiandika kila siku?
Maana motivesheno spika mmekuwa wengi sana mnatoa mawaidha usiku na mchana kana kwamba dunia inaelekea ukingoni!
Nadhani ninyi akina motivesheno ndio tatizo kubwa kuliko tatizo la ajira!
ukiachana na Kodi sehemu nyingine ukiwa na baiskeli maswala ya nauli huwa hayapo kabisa yaani. Unakaa sehemu nje kidogo ya mji unalipa elfu kumi pango hlf asubuhi unavyotoka nje kidogo ya mji unakokaa unachukua bidhaa kwenye baiskeli inayopatikana hapo unaiuza kwa profit mjini. Then unaendelea na ishu nyingineNi ukweli kwa mfano kodi ya nyumba mjini ni 100k kwa mwezi na unalipa kwa 3 months(100,000x3=300,000) na kipato chako kwa mwezi ni chini ya hapo then at the same time ukienda mikoani kuna baadhi ya maeneo kodi hadi 20,000 kwa mwezi na kuna fursa za uwekezaji kwa mfano kilimo na ufugaji. Tatzo la wasomi wengi ni ngumu kujishughulisha na kazi za nguvu wanaona kama ni mateso mtu yupo radhi akomae mjini for years bila kufanikiwa chochote wakati anao uwezo wa kuingia pori akakomaa kwa mda akapata pa kuanzia.
mbona kama unatafuta ugomvi , maneno yote haya kwa kijana kisa niniKufukuzwa kwenye nyumba kwa huyo Graduate mmoja ndio kunakufanya utapike mambo yote haya ?
Ninyi ndio kina Magufulu, hampendi challenges kwenye maisha yenu. Changamoto mnaona kama Jehannum,
Inavyoonekana wewe ni katai ya wanaoiogopa mno Dar kiasi kwamba unamtisha hapa kila mtu.
Mimi niwashauri Graduates, Dar ndio Silicon Valley ya Tanzania. Ni nkji unaoakutaka kufikiria, kama huwezi kufikiria Dar itakushinda,
Binafsi siogopi kulala njaa, kulala nje wala kunyeshewa mvua.
Kama wewe ukilala njaa siku moja unaona ukojela, rudi kwa wadogo zako nyumbani.
Kama wanatakiwa kupambana tu, kuna haja gani kutumia kodi za wananchi kuwapa watu mikopoooo ya elimu ya juu ambayo mwisho wa siku elimu yao inabaki kwenye vyeti.Kupambana katika hali zote usitafute wa kumlaumu maana hutamkosa we pambana fursa hazikosi ni we we na akili zako
Teknolojia imeathiri vipi ajira tanzania wakati matumizi yetu ya teknolojia ni madogo sana ?Ulichosema ni kweli kabisa Teknolojia na ongezeko la watu limesababisha uhaba wa ajira na hii inatupa picha kuwa tuendako tatizo linazidi kuwa kubwa kuliko ilivyo sasa.
Ila Basic needs za maisha ziko tatu Food, Clothes na Shelter nachotaka kusema ni kuwa hii nchi bado ina maeneo makubwa especially vijijini tena kwa bei rahisi pointi ya msingi ni kuwa Mali tutaipata shambani tulime kwa ajili ya chakula excess tufanye biashara ila tuweze kumudu gharama nyingine za maisha.
Graduate mimi ningekubaliwa kupata chimbo pale upanga ningekuwa na uwezo wa kutusi ajira zote duniani aisee.
Hemu wapange wanao wacheze ukuti wa meme hapo watakuwa wabunifu.Kutusi??
Hemu wapange wanao wacheze ukuti wa meme hapo watakuwa wabunifu.
Mkuu pole sana, ulidharauliwa sana niniMkuu naelewa vizuri kabisa unachokisema.. sitokuja kusahau, japo kuna mahali tu najitolea nimejishikiza lakini angalau hata zile dharau zimepungua sana sana.. kile kipindi nikikumbuka, dah asante Mungu, niko radhi nijishikize au nijitolee miaka yangu yote ila sio kurudi kwenye yale maisha ya kuonekana huna maana na dharau kibao, imenijenga sana, hata watoto wangu nitawafundisha kutoitegemea elimu ktk kila kitu, kibongo bongo watateseka sana sana..
Kweli mkuu yaani ni fedhea kubwa sana.Mkuu naelewa vizuri kabisa unachokisema.. sitokuja kusahau, japo kuna mahali tu najitolea nimejishikiza lakini angalau hata zile dharau zimepungua sana sana.. kile kipindi nikikumbuka, dah asante Mungu, niko radhi nijishikize au nijitolee miaka yangu yote ila sio kurudi kwenye yale maisha ya kuonekana huna maana na dharau kibao, imenijenga sana, hata watoto wangu nitawafundisha kutoitegemea elimu ktk kila kitu, kibongo bongo watateseka sana sana..
We acha tu mkuu, heshima huja kwa kuwa na kitu ktk haya maisha yetu ya kibongoMkuu pole sana, ulidharauliwa sana nini