Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Huyo Muhammad Asiyejua Kusoma Wala Kuandikwa Ndo Ametajwa Na Wasomi Wa Kikristo Kuwa Ni Mtu Wa Kwanza Mwenye Ushawishi Na Akili Duniani Nyuma Ya Yesu,issac Newton Na Gallileo Ww Mwenye Degree Ya Account Unamwita Muhammad Mjinga Seriously?
🤣🤣 Ushawishi wa kukutishia kuchinjwa na kuunguzwa au sio
 
Ajue kusoma halafu aache injili takatifu ikaandikwe na watu wengine ?
Kama yu profesa anaandika thesisi yake iweje mwalimu aandikiwe tena sio kwa wakati. It is obvious hakujua kusoma.
Wewe inaweza kujubali fikra xako iandikiwe na wengine. Siku hizi mtu yoyote anaeandikiwa mambo yake huitwa kilaza.
Niwekee andiko hata moja tu alikoandika acha kuhepa point ya msingi. Mtu mkubwa kama yesu asiache andiko hata moja are serious. Hakuandika hata barua au kiujumbe kwa watu wake !
Kama huna ushahidi basi hoja yako sio ya ukweli, ukweli unathibitishwa na ushahidi.

Yesu amenukuliwa tu na watu. Muhamadi ni direct speech na hadithi zake ndio zilizonukuliwa.
Kwa usomi wa leo tukizingatia credibility na credential Quran ni credible zaidi. Maana imetoka kwenye primary source of information sio secondary sources kama Biblia.
🤣🤣🤣Dogo unajua maana ya primary source..Quran imeandikwa na kuundwa baada ya kifo Cha Muhammad asa Ina tofauti gani na bible...
 
Haya majanjaweed hayana tofauti na polisi wa Tanzania wanaoua raia wasiokuwa na hatia kila kukicha.
 
Nimesema waafrika weusi wote wa bara la Africa hawana elimu bora kana mataifa ya kaskazini mwafrika. Hao wazuru wni wajinga kama wewe unaeamini ujinga.
Pambana utafute elimu mkuu, wakiristo wa bara la Africa hawajafika hata 1/4 ya uelewa/elimu ya WARABU au waislamu. Warabu ni kati ya Binadamu walio ishape dunia. Unaifahamu CAIRO university , Alexandria university unajua zilianza lini ?
Ungekuwa umesoma ungejua hisyoria ya elimu duniani ila wewe ni kilaza tu uliekaririshwa makaratasi.
Kama nyie wakristo mmesoma sana kwa nini mmeshindwa kuifanya Tanzania kuwa tajiri ?
Huo usomi upo kwenye nini ?
Kusaini hundi bandia na kuiibia serikali ?
Sudani ya Al bashir pamoja na vita zao hatujawahi kuizidi kiuchumi . Muwe na akili kama vyeti mlivyokusanya

Nimekuwekea ranking ya best university in Africa. Mbona hao waarabu unaowasifia wa North Africa vyuo vyao havishiki namba nzuri
 

Attachments

  • Screenshot_20231231-132631_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20231231-132631_Samsung Internet.jpg
    168.1 KB · Views: 1
Natamani kujua maana ya wanachomuambia huyo mwanamke kabla sijaongea kitu? Unaweza kuta ni mgogoro wa ardhi ila sababu ni kiarabu basi Waislam!!
Unaweza kucheka hao jamaa kila kundi wanahusisha na waislamu ,ila sisi tukiona mauaji hata kafanya mkristo wala hatutaji dini 😅😅😅wanajishtukia kinoma .
 
Wahuni wanaocha kupigana anayekunywa mafuta kwenye Taifa lao..wanapiga pambo la Dunia.Mbaya zaidi watoto hao wanaona.
 
🤣🤣🤣Dogo unajua maana ya primary source..Quran imeandikwa na kuundwa baada ya kifo Cha Muhammad asa Ina tofauti gani na bible...
Naona unakosa adabu we kijana.
Kwa nini unataka kolazimosha kitu ambacho hakipo. Nimekwambia weka andiiko lolote aliloandika Yesu unapiga piga chenga, kama umekosa basi piga kimya sio kuanza kuleta dharau.
Taarifa iliotoka moja kwa moja kwa muhamadi sio primary source. ? Kwa hio hizo taarifa za kina paulo ndio primary source eti ?
Quran na Bible ni tofauti kabisa. Bibe taarifa za mitume Quran imetoka kwa muhanad mwenyewe kwa kumsomesha mtu kwa mtu aya kwa aya nikta kwa nukta. Yesu angesomesha hivyo aya za kila mtume zingefanana nukta kwa nukta.
Iqra bism rabika al-Akramu kharakal -insan ......Hayo maneno yalivyotamkwa na Muhamad ndivyo ydlivyohubiriwa.
Hakuna kitabu cha fukani.
Bible unaweza kufananisha na Hadithi za mtume. Hizi kila mtu/ swahaba aliahadithia alivyomsikua na kumuona Muhamad akifanya, hivyo kila mmoja alieleza kadiri alivyojaaliwa, sawa na bible .
Bible wengine wakaenda kupata ufunuo, kama Yesu alitimiza mafundisho yake kwa nini mfuasi akapate ufunuo ? Ufunio wa Quran ni ufunuo wa Muhamad mwenyewe sio wa mtu wa pili.
Kiufipi huna ushahidi wa kuthibitisha Yesu alijua kusoma. Kwa mantiki hio hata mimi naweza sema Muhamad alijua kuandika japo sina ushahidi wa kuweka hapo.
Uthibitisho wa mtu kujua kuandika ni maandiko hakuna porojo sasa wewe naona unapiga porojo huna ushahidi wa nakala yoyote ilioachwa na bwana Yesu.
 
Nimekuwekea ranking ya best university in Africa. Mbona hao waarabu unaowasifia wa North Africa vyuo vyao havishiki namba nzuri
Nilikuuliza unajua Cairo na Alexandria
Zilianzishwa lini ? umeleta kitu tofauti kabisa.
Wewe una amini wabantu sisi tuna elimu bora kuliko warabu ?
SA niliiweka exceptional ila sio wazuru. Wazuru hawana elimu na hawajawahi kuthibitisha kuwa na elimu bora.
Mbantu hajawahi kuwa na elimu bora kuliko mwarabu labda miaka 300 ijayo.
Kwa orodha yako hio una amini kabisa Ghana wana elimu bora kuliko Misri ?
Ukipewa chansi ukasome Ghana au Misri utaenda Ghana ?
 
Naona unakosa adabu we kijana.
Kwa nini unataka kolazimosha kitu ambacho hakipo. Nimekwambia weka andiiko lolote aliloandika Yesu unapiga piga chenga, kama umekosa basi piga kimya sio kuanza kuleta dharau.
Taarifa iliotoka moja kwa moja kwa muhamadi sio primary source. ? Kwa hio hizo taarifa za kina paulo ndio primary source eti ?
Quran na Bible ni tofauti kabisa. Bibe taarifa za mitume Quran imetoka kwa muhanad mwenyewe kwa kumsomesha mtu kwa mtu aya kwa aya nikta kwa nukta. Yesu angesomesha hivyo aya za kila mtume zingefanana nukta kwa nukta.
Iqra bism rabika al-Akramu kharakal -insan ......Hayo maneno yalivyotamkwa na Muhamad ndivyo ydlivyohubiriwa.
Hakuna kitabu cha fukani.
Bible unaweza kufananisha na Hadithi za mtume. Hizi kila mtu/ swahaba aliahadithia alivyomsikua na kumuona Muhamad akifanya, hivyo kila mmoja alieleza kadiri alivyojaaliwa, sawa na bible .
Bible wengine wakaenda kupata ufunuo, kama Yesu alitimiza mafundisho yake kwa nini mfuasi akapate ufunuo ? Ufunio wa Quran ni ufunuo wa Muhamad mwenyewe sio wa mtu wa pili.
Kiufipi huna ushahidi wa kuthibitisha Yesu alijua kusoma. Kwa mantiki hio hata mimi naweza sema Muhamad alijua kuandika japo sina ushahidi wa kuweka hapo.
Uthibitisho wa mtu kujua kuandika ni maandiko hakuna porojo sasa wewe naona unapiga porojo huna ushahidi wa nakala yoyote ilioachwa na bwana Yesu.
🤣🤣🤣Rudi shule....Quran kaandika nani jibu swali ..if not Muhammad hiyo tayari ni secondary...ndo maana wakati wanaiunda walileta maandiko tofauti na kuyaweka sawa mengine yakatupwa pembeni coz kila mtu alikuja na yake kuhusu Muhammad something ambacho ni common kwa oral traditions...Quran ni secondary information kwa sababu haijaandikwa na msimulizi... imeandikwa na wasikilizaje Tena miaka baada ya kusimuliwa...🤣kuhusu Yesu usianze kurusha mipira Yesu nae hajawahi andika kitu ndio kwani nani kabisha..ndio gospels Zina mkanganyiko kwani nani hajui...🤣lakini kuhusu Quran kuwa primary source sijui imeshushwa kawadanganye watu ambao hawajui historia ya dini yenu
 
Narudia tena waarabu wote walaaniwe na wote wanaofata Imani ya waarabu kwa ukatili wanaofanya maeneo mbali mbali duniani.Ukimuuliza hata mtoto mdogo ni dini gani inaongoza kwa wafuasi wake kuwa wabaguzi,watu wenye jazba kali,wapenda mauaji,kujichukulia sheria mkononi,ukandamizaji hasa wa jinsia hakuna asiyeijuwa kuwa ni dini iliyoasisiwa na waarabu.Ajabu pia kwenye dini hii ni kuwa shetani(mapepo) ni viumbe vya muhimu sana kuliko wanadamu na ndiyo maana huwezi sikia wakimpinga shetani.Ila watampinga binadamu mwenzake ambaye hafati dini ya waarabu.
 
Nimesisimka huyo mama mwenye mtoto alivyoangushwa...
Kwani kuna nini huko??? Hawa hawa ndo waliowaleta duniani leo wamekua wehu wamegeuka na kutaka kuwaua hovyo...
 
🤣🤣🤣Rudi shule....Quran kaandika nani jibu swali ..if not Muhammad hiyo tayari ni secondary...ndo maana wakati wanaiunda walileta maandiko tofauti na kuyaweka sawa mengine yakatupwa pembeni coz kila mtu alikuja na yake kuhusu Muhammad something ambacho ni common kwa oral traditions...Quran ni secondary information kwa sababu haijaandikwa na msimulizi... imeandikwa na wasikilizaje Tena miaka baada ya kusimuliwa...🤣kuhusu Yesu usianze kurusha mipira Yesu nae hajawahi andika kitu ndio kwani nani kabisha..ndio gospels Zina mkanganyiko kwani nani hajui...🤣lakini kuhusu Quran kuwa primary source sijui imeshushwa kawadanganye watu ambao hawajui historia ya dini yenu
Quran ilikaririwa.Ni primary kwa maana aya zilitamkwa na Muhamad mwenyewe na zolikaririshwa. Hadithi na suna za mtume ndio secondary maana zilielezwa kadri maswahaba walivyojisikia.
Leo ukichoma misahafu yote quran inabaki vile vile ila ukichoma biblia utaokoteza okoteza kwa sababu biblia haikaririwi labda kwa mapenzi ta muumini sio kanuni ya ukristo.
Muhamad alimpiga bao Jesus namna ya kuhifadhi na kurithisha. Jesus yeye aliwaacha wakaandike wanavyokumbuka ndio maana nimesema pale kuna waraka wa akina paul wakati mitume wengine hawana waraka. Kila mtume ana kitabu chake kitu ambacho quran haina.

Muhamad alikaririsha quran, Jesus hakukaririsha wanafunzi wake aliwapa mafunzo kwa simulizi .
Muhamad alikuwa ni taasisi wakati Jesus hakuwahi kuwa taasisi. Mafundisho ya kiislamu yalikuwa intitutionalize na yeye mwenyewe muhamad . Muhamad alikuwa kitaalamu zaidi kiliko unavyojua, hakuacha kitu kinacho elea elea tu hewani kama Jesus. Aliona mbali sana.
Quran zopo kwenye ubongo( primary source)
Nakwambia hivi Muhamad alikuwa na vision ya mbali sana.
Katika vitabu muhimu 100 vya wamarekani, qurani wamekiweka no 1. Wewe mbantu ndio unaona maruwe ruwe. Mtu mmoja kudizaini kitabu kama kile sio mchezo ila waafrika kwa sababu ya udumavu wa akili huwa hatuoni wanavyoona wenzetu tunabisha bisha bila logic.
 
Nilikuuliza unajua Cairo na Alexandria
Zilianzishwa lini ? umeleta kitu tofauti kabisa.
Wewe una amini wabantu sisi tuna elimu bora kuliko warabu ?
SA niliiweka exceptional ila sio wazuru. Wazuru hawana elimu na hawajawahi kuthibitisha kuwa na elimu bora.
Mbantu hajawahi kuwa na elimu bora kuliko mwarabu labda miaka 300 ijayo.
Kwa orodha yako hio una amini kabisa Ghana wana elimu bora kuliko Misri ?
Ukipewa chansi ukasome Ghana au Misri utaenda Ghana ?

Ubora wa elimu upo kwenye kuanzishwa lini ? Ama upo kwenye current position.

Chuo kikuu cha Timbuktu kimeanzishwa zamani kuliko Havard na oxford.

Ila bado havard ni bora kuliko timbuktu.

Nimeweka ranking ya mwaka 2023 vyuo vikuu bora africa.

Swali langu Vyuo vya waarabu unaowasifia wa north africa. Mbona havishiki namba nzuri. Vinapitwa na vyuo vya waafrica weusi ?

Tazama ranking tena
 

Attachments

  • Screenshot_20231231-132631_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20231231-132631_Samsung Internet.jpg
    168.1 KB · Views: 1
Ubaya ni kua baadhi ya waislam wanafurahia hayo matendo.
Kama ipo hivyo lazima kuna shida mahala ni either hawajashiba vya kutosha maandiko ya kitabu chao (maana siamini km kinaweza kufundisha kuwatedea wengine unyama km huu) Au wanafuata mkumbo hawaelewi ideology ya hao magaidi.
 
Ubora wa elimu upo kwenye kuanzishwa lini ? Ama upo kwenye current position.

Chuo kikuu cha Timbuktu kimeanzishwa zamani kuliko Havard na oxford.

Ila bado havard ni bora kuliko timbuktu.

Nimeweka ranking ya mwaka 2023 vyuo vikuu bora africa.

Swali langu Vyuo vya waarabu unaowasifia wa north africa. Mbona havishiki namba nzuri. Vinapitwa na vyuo vya waafrica weusi ?

Tazama ranking tena
Hivyo vyuo hapo vimejengwa na wageni, mkuu uwe mkweli. Mzulu hawezi simamia Chuo kiwe no 1 Africa. Vyuo vingine hapo ni matawi ya vyuo vya west.
Sitaki kuamini kuwa Chuo cha ghana kiwe bora kuliko CAIRO. Ubora wa elimu unajidhihirisha hata kwenye ujenzi/ uchumi wa nchi nimesema pale SA sikuiweka ktk nchi za wabantu halisi.
Vyuo 8 hapo ni vya SA 2 vya wabantu na 2 vya misri.
Mimi naamini nchi za kaskazini mwa Afrika zina elimu bora kuliko za kusini mwa jangwa la Sahara labda Nigeria.
Mbantu hajawahi kumzidi mwarabu elimu, hajawahi. Anza kuchambua wasomi mmoja mmoja ndio utajua.
Tungekuwa na elimu mabwawa ya umeme na Reli ya SGR tungejenga wenyewe au wakenya wangejenga lakini tenda zimeenda kwa warabu. Huo ubora upo kwenye Rank au ujenzi wa uchumi ?
Nakwmbia tena Kenya haiwezi kuwa na wasomi kama wa Misri utakuwa unajidanganya.
SA ina multi race sio wazuru wanaoendesha hio sekta ya elimu.Watu wa xenophobia wanaweza kuwa na elimu bora. Wabantu pekee wanaoweza kushindana na warabu ni Nigeria .
 
Back
Top Bottom