Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Mama...
Kawaida huwa mijadala kama huwa sipendi kuchangia lakini kwa kuwa umenitaja nitatia neno la tahadhari kwako labda litakusaidia.

Uislam ni dini ya amani lakini kuna propaganda kubwa inaendeshwa dhidi ya Uislam.

Kwa mtu kama wewe ni rahisi kudanganyika.

Ushauri wangu kwako ni kwanza ujifunze Uislam uujue ndipo utakapoweza kujua ukweli.
Kinachoendelea Darfur ni propaganda?
 
Si madhehebu tofauti 🤣🤣🤣hivi unataka ubishe kwamba hamna mauaji kisa dini au
Dini haihalalishi mauaji bali wanadini utumia dini kufanyia mauaji.
Maandiko ni sawa na kisu kisu ni jinsi utakavyo kitafsiri.
Maandiko yanasema " usimuache mwanamke mchawi haishi" means mchawi auwawe Sasa hapa ni tasfiri TU lakini hayo hayo yanasema " usiue" hapa ni ishu za tasfiri TU.
 
Ndivyo Dunia ilivyo ,hao ndugu zenu katika Imaan ni shida sana wanapomkuta mtu ambae sio wa Imani Yao.

Ndio maana nasema mara zote ,tupambane kadiri inavyowezekana tusije ruhusu watu wapumbavu watuletee machafuko Kwa visingizio vya Demokrasia na ujinga kama huo.
Kuna ushahidi wowote kuwa hao na janjaweed? Pili mbona huko mara kila siku wanawake wanakatwa masikio je nao ni janjaweed?
 
Hapana sio sawa uislam sio ugaidi sema baadhi ya magaidi wanatumia uislam km kivuli kufanya uasi lakini pia viongozi wa dini husika wasikae kimya matukio km haya yanapotukia ndio maana watu km Hawa wanauhusianisha uislam na ugaidi.
Ubaya ni kua baadhi ya waislam wanafurahia hayo matendo.
 
Soma apo kwenye video palindikwa:
"هذا في الحدود مابين نايجر ونايجيريا"
"Hii imetokea katika mpaka wa Nigier na Nigeria" wewe unasema Darfur.

Hiyo ni nijeria ila naona umetaja dini ghafla wala havina uhusiano na dini ,kama wote ni waislamu hata wakristo wanamalizana huko ukraine ....Dini imeingiaje sasa?

Hiy ni bendara ya sudan na ni vita ya kikabila huko Nigeria ...Kama ni ya kidini watawezaje kuwamaliza waislamu wenzao?

View attachment 2857438


Natamani kujua maana ya wanachomuambia huyo mwanamke kabla sijaongea kitu? Unaweza kuta ni mgogoro wa ardhi ila sababu ni kiarabu basi Waislam!!
 
Swali lako lilikuwa Yesu kuandika Injili au kujua kusoma na kuandika? Ulisema hajui kuandika.

Kila anayejua kusoma ameandika injili? Wewe umeandika injili?

Narudia tena. Yesu hakuwa kilaza, ngumbaru, illiterate, failure, bogus wala jinga.
Ajue kusoma halafu aache injili takatifu ikaandikwe na watu wengine ?
Kama yu profesa anaandika thesisi yake iweje mwalimu aandikiwe tena sio kwa wakati. It is obvious hakujua kusoma.
Wewe inaweza kujubali fikra xako iandikiwe na wengine. Siku hizi mtu yoyote anaeandikiwa mambo yake huitwa kilaza.
Niwekee andiko hata moja tu alikoandika acha kuhepa point ya msingi. Mtu mkubwa kama yesu asiache andiko hata moja are serious. Hakuandika hata barua au kiujumbe kwa watu wake !
Kama huna ushahidi basi hoja yako sio ya ukweli, ukweli unathibitishwa na ushahidi.

Yesu amenukuliwa tu na watu. Muhamadi ni direct speech na hadithi zake ndio zilizonukuliwa.
Kwa usomi wa leo tukizingatia credibility na credential Quran ni credible zaidi. Maana imetoka kwenye primary source of information sio secondary sources kama Biblia.
 
Nakujibu Mimi. Kwanza nakupa mfano. Let's say tukio la bomu kulipuka limetokea eneo moja then mashuhda kadhaa wakakusanywa. Do you think watatoa maelezo yanayofanana? But what about key note au wazo kuu la tukio je watapishana? Yesu alikua na wanafunzi wake almost 12 na walioandika ni baadhi na kila mmoja aliandika alivyoshuhudia tukio. Kama una kifungu kinachopishana niandikie hapa tujadili. Na hii njia accurate yake ni 70% true. Lakini hio ya Mohamed kuambiwa miliman huko afu kuja kukaririsha watu lazima iwe na mashaka 90% hata kiswahili tu umesoma ubovu wa kuhifadh fasihi kwenye kichwa au ubongo. Mi ndomana nasemaga mudi na waarabu wenzake wajanja Sana. Na atabeba sana tu damu za watu wengi kutokana na mafundisho yake. Yesu alisema mtawatambua kwa matunda Yao. Yani nyie matunda yenu ni mauaji tu ya watu,uhasama,ubaguzi na chuki. Mna shida sana
Kama alijua kusoma nini kilimfanya asiandike. Communication skill inaeleza kuwa taarifa ikitoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine haifiki kama ilivyo huwa inakolezwa au kupunguzwa. Nadhan huyo yesu akirudi atawashushua sana maana kila mmoja ameenda kueleza kwa lugha yake.
Muhamad sa alifundisha na kukaririsha kila neno. Yaani neno kwa neno.
Muhamad ni kama wanasayansi wa leo.
Formula za kifizikia au hisabati zinakaririwa kama zilivyo na dunia nzima lugha yao ni moja. Pai ipo kila kona.
Kwa hio yesu hakuona hasara ya kutoandika kitabu yeye mwenyewe ili awakabidhi tu kitabu kikawe muongozo waendako.
 
Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.

Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?
Kuna kuna jambo moja zito sana ambalo Yesu alilisema zaidi ya miaka mia tano kabla hata uislamu mnaousema hapa haujazaliwa.
  • Dini ya kweli utaitambua kutokana na matunda yake - yaani dini na uongozi wake unatoa matunda ya namna katika wafuasi wake (Mathayo 7:16)
Sasa watu wengi mnapoona matunda mabovu ya dini zenu, mnapenda kusema sio watu wote, ni mtu mmoja mmoja. Lakini mnasahau huyo mtu mmoja ni tunda la dini hiyo, awe mkristo au muislamu. Sihitaji kuonja mapera ya mti mzima ili kujua mpera huu unatoa mapera yenye chumvi yasiyofaa kula au matamu yenye kufaa kula. Na hili si kwa waislamu pekee, bali wakatoliki, walutheri, wasabato nk. Je, matokea ya kuwa kufuata hizi dini yanatoa matunda gani kwa wafuasi wake? Watu wanaopendana? Watu wenye amani? Watu wenye kutii sheria na kufuata haki? Watu wauaji? Watu wanafiki wenye kuweka dini zao pembeni wakiwa kwenye vyama tofauti vya siasa?

Kumbuka kwamba kila mhalifu, muuaji, kibaka, mbakaji wanawake au watoto, mtukanaji, kiongozi na mwanasiasa fisadi, polisi muuaji na mbambikiaji kesi, tapeli, jambazi, hakimu mla rushwa nk, ana dini, na anachofanya ni kuonyesha matunda ya dini yake. Sasa suala la kujiuliza ni kwamba, hizi dini zinatoa matunda gani? Maneno ya Yesu, dini ya kweli utaitambua kwa matunda yake, hayapaswi kusahauliwa na mtu yeyote mwenye akili, bali wapu mbavu wa dunia hii.
 
Na hapo hakuna kokote duniani ambako Waislam wana andamana kulalamika jinsi Waislam wanavyofanyiwa na Waislam wenzao huko Darfur....sababu wanaoua ni Waislam na wanaouawa siyo Wapalestina

....angekuwa Myahudi kafanya hivyo ungeona maandamano na kushupaza shingo dunia
Tena usiombee wakakodishwa hao janjaweed kupelekwa israel. Unawaelewa lakini waanachikipigania huko kwao au hujatumia hata dakika mbili tatu kujifanyia kiutafiti kidogowa kwenye mtandao ukawasoma?

janjaweed

A picture taken in April 2004 shows the village of Khair Wajid after being burnt by Janjaweed militias in the western Darfur region of Sudan (AFP/Julie Flint)
 
Nakujibu Mimi. Kwanza nakupa mfano. Let's say tukio la bomu kulipuka limetokea eneo moja then mashuhda kadhaa wakakusanywa. Do you think watatoa maelezo yanayofanana? But what about key note au wazo kuu la tukio je watapishana? Yesu alikua na wanafunzi wake almost 12 na walioandika ni baadhi na kila mmoja aliandika alivyoshuhudia tukio. Kama una kifungu kinachopishana niandikie hapa tujadili. Na hii njia accurate yake ni 70% true. Lakini hio ya Mohamed kuambiwa miliman huko afu kuja kukaririsha watu lazima iwe na mashaka 90% hata kiswahili tu umesoma ubovu wa kuhifadh fasihi kwenye kichwa au ubongo. Mi ndomana nasemaga mudi na waarabu wenzake wajanja Sana. Na atabeba sana tu damu za watu wengi kutokana na mafundisho yake. Yesu alisema mtawatambua kwa matunda Yao. Yani nyie matunda yenu ni mauaji tu ya watu,uhasama,ubaguzi na chuki. Mna shida sana
🤣🤣🤣Huu mfano mnaupenda kichizi asa ndio matukio yanaweza yasiwe 100% lakini sio mkanganyiko Sasa...Leo hii ajali imetokea eyewitness mmoja anasema gari ni la blue, mwingine anasema jeupe, mwingine anasema ilikuwa bajaji sio gari... mwingine haongelei ajali kabisa as if it didn't happen asa hapo Kuna Nini kama sio story tu... kingine huyo Mungu wenu kama kweli ndo Ali inspire bible angeweka in a way ambayo inaonekana imeandikwa vizuri na Mungu...the errors and inconsistencies show that imeandikwa na binadamu wasio na maarifa
 
Back
Top Bottom