Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.

Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?


View: https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19

Wewe huelewi, kuna naadhi ya WaAfrika wenye asili yabkiarabu kidogo wanajiona wao ni bora kuliko hao weusi tii, hivy owanafanya systematic ethinic cleasing, ni coordinated Genocide, kufuta kabisa kizazi cha weusi tii huko Sudan. Ni ushetani kuliko ushetani wenyewe, hivi mwanamke na mtoto kweli umfanyie hivyo? Hao sio binadamu, i believe huwa wanaingiliwa mwili wao na mapepo
 
Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
Naona kweli chizi maarifa
(2:190)Fight in the way of Allah against those who fight against you but do not transgress,for Allah does not love transgressors. (2:191) Kill them whenever you confront them and drive them out from where they drove you out. (For though killing is sinful) wrongful persecution is even worse than killing.
 
Naona kweli chizi maarifa
(2:190)Fight in the way of Allah against those who fight against you but do not transgress,for Allah does not love transgressors. (2:191) Kill them whenever you confront them and drive them out from where they drove you out. (For though killing is sinful) wrongful persecution is even worse than killing.
Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"
 
Ila umeandika ujinga mkuu. Yesu alikuwa anajua kusoma na kuandika?
Injili ya Luka, sura ya 4 mstari wa 16 hadi 21.

16 Baadaye Yesu akaenda Nazareti, mahali alipokulia. Siku ya sabato alikwenda katika sinagogi kama kawaida yake. Akasimama ili asome Maandiko. 17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua mahali palipoandikwa: 18-19 “Roho wa Bwana yu juu yangu. Amenichagua kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kuwa wako huru, kuwaambia vipofu kuwa wanaweza kuona tena; na kuwaweka huru wanaoonewa, na nitangaze wakati ambao Bwana atawabariki watu wake.” 20 Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho. 21 Ndipo akasema: “Maandiko haya mliyosikia nikisoma, leo yametimia."

Yesu hakuwa ngumbaru
 
Ndio maana nasema mara zote ,tupambane kadiri inavyowezekana tusije ruhusu watu wapumbavu watuletee machafuko Kwa visingizio vya Demokrasia na ujinga kama huo.
Hao waarabu wa Janjaweed wanaua na kubaka watu kwa ajili ya dini yao ya kiislamu, siyo kwa ajili ya demokrasia
 
Imagine dini isiyotaka elimu kwa jamii mfano wanawake yani wote wawe mazombi ukitaka kumtisha mwanao aogope mwambie jini la kiislamu hilo linakuja yale mawanawake yanayovaa hijab na nikab.
 
Halafu huyo janjaweed mbona naye mweusi?. Muislamu anamuua mwislamu mwenzake
Janjaweed wao wanajiita waarabu ,siyo bantu wala Negro. Wanaua na kubaka watu wa makabila mengine hasa ngozi nyeusi, Wanawake kwa wanaume.
 
Hao ndio wale Waislamu mihemko wapo wengi hata hapa kwetu wapo
 
Kwani FaizaFoxy na Mohamed Said wana maoni gani kwenye hili?
Mama...
Kawaida huwa mijadala kama huwa sipendi kuchangia lakini kwa kuwa umenitaja nitatia neno la tahadhari kwako labda litakusaidia.

Uislam ni dini ya amani lakini kuna propaganda kubwa inaendeshwa dhidi ya Uislam.

Kwa mtu kama wewe ni rahisi kudanganyika.

Ushauri wangu kwako ni kwanza ujifunze Uislam uujue ndipo utakapoweza kujua ukweli.
 
Na hao ndio walioshika dini haswa 🤔 eti wanaita dini ya haki hovyo kabisa, hawa waislamu wa kwa mtogole na kizimkazi mpaka dole kule wako kimya tuu
Isome Quran uielewe hakuna ugaidi kwenye uislam.magaidi ni wahuni kama makundi mengine tu
 
Hakuna gaidi anaepigania dini wote ni maslai binafsi ya Dunia tu
 
Back
Top Bottom