Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Graphic Content: Angalia kundi la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur, Sudan

Mtu kama huyu angalia hii comments hata video hajui ina maana gani ,halafu unaambiwa hawa wanawapenda waislamu.

Kiukweli wanafundishwa chuki makanisani ishu kidogo wanaanza kutukana😅😅...Ipo siku tuchapane kidogo akili itakaa sawa.
Screenshot_20231230-162315.png
 
Wakuu angalieni kundi la Kiisilamu la Janjaweed wanachowafanyia wanawake Darfur Sudan.

Haya makundi ya kiisilamu hua hayana huruma na wanawake wala watoto?


View: https://twitter.com/abasmas/status/1740720706110038506?s=19

FaizaFoxy , choice variable Ritz njooni huku. Hawa jamaa wanaanza kutuma video zao za uchochezi. Wanataka tuwapigie kelele eti hao weusi wa sijui sudan sijui wapi.

Sisi tuwapambanie palestine. Hao wengine tutajuana huko huko. Tupambane na hawa makafir.. sisi ni ndugu na waarabu. Tuwakatae hawa wagalatia na mayahudi.
 
Watu wataanza kuuporomoshea uislamu matusi, hawajui kuwa uislamu unapiga vita hayo mambo

Sasa jiulize hao wanajeshi wanafata muongozo upi?
Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
 
Sudan walishaga changanyikiwa kitambo.
Mie ni muislamu ila sidhani kama uislamu umefundisha kuonea wanawake. Wanawake wanatakiwa walindwe kwa kila hali ndio maana hata Tz huwezi kukita waswahili wakiwachapa wanawake. Hizo ni tabia za wasudani ambazo hazina uhusiano na dini.
Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
 
muislam yes
Nmesoma madras yes
Hao wanayoyafanya Uislam huu naujua haujafundisha
It's either wao sio waislam au mimi sio muislam
Mafunzo ya Quran na sunna za Mtume SAW hayafungaman na hao
Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
 
Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"

unafahamu kiingereza? Au nikutafsirie?
Ajue wapi kiingereza huyo boya labda umwandikie kiarabu au kiswahili
 
Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
Umefupisha kati apo ili uharibu maana ya aya:

"And kill them wherever you catch them, and drive them out from where they drove you out; and temptation (Or: discord, sedition) is more serious (Literally: stronger) than killing; and do not fight with them at the Inviolable Mosque until they fight with you therein; so in case they fight with you, then kill them; thus is the recompense of the disbelievers."
 
Ndivyo Dunia ilivyo ,hao ndugu zenu katika Imaan ni shida sana wanapomkuta mtu ambae sio wa Imani Yao.

Ndio maana nasema mara zote ,tupambane kadiri inavyowezekana tusije ruhusu watu wapumbavu watuletee machafuko Kwa visingizio vya Demokrasia na ujinga kama huo.
Sasa machafuko yoote hayo yao kwa Mdikiteta tu. Hakuna Nchi ya kidemokrasia ina ujinga huo.
Umejitia jiti jichoni😆😆
 
Hawa watu wanaongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia, dini ikiichukulia juu juu ni hatari, shida ya waislmu unakuta mtoto wa darasal la kwanza anakwambia yuko chuo na matokeo yake huko chuo anajazwa upumbavu kama huu.

Wengi ya watu hawa utakuta elimu magharibi hawana ambapo elimu hiyo ingeweza kuwasaidia kuhoji baadhi ya matendo juu ya Allah wanayemwabudu.

Elimu dunia pamoja na mimi kuwa mkristo imenisaidia kuhoji juu ya habari ninazozisoma kwenye biblia na kugundia kuwa nyingi ya habari hizi ni uongo hivyo kamwe siwezi kumtenda ubaya mtu kisa kikiwa ni dini.

Wafuasi wa Allah wajitahidi kuzingatia elimu dunia ili waondoke katika utumwa wa Mohammed ambaye hakujua kusoma wala kuandika.
Mimi ni muislamu namshukuru Allah (the almighty) kwa kunijaalia kuwa kati ya wachache waliosoma elimu zote mbili nikuambie ni kwamba kila nilipozidi kusoma elimu unayoita ya magharibi ndiyo imezidi kuniongeza imani zaidi maana nazidi kuona ukuu wa Muumba wangu usio na mwisho .

Hizo hoja unazozitaja kutoka kwenye elimu uliyoita ya magharibi labda uziweke hapa na uwe specific ni kwenye major ipi? Maana naona wengi mnajitia kuhoji mambo ya dini ni wale mnaokomaa na phylosophy pekee wazee wa free thinking.
 
Hapana sio sawa uislam sio ugaidi sema baadhi ya magaidi wanatumia uislam km kivuli kufanya uasi lakini pia viongozi wa dini husika wasikae kimya matukio km haya yanapotukia ndio maana watu km Hawa wanauhusianisha uislam na ugaidi.
Tatizo sijawahi kuona mgaidi wakitumia dini yeyote zaidi ya uislam.
Mafundisho ya muhamadi yanajenga mazingira ya ugaidi
 
Hiyo ni nijeria ila naona umetaja dini ghafla wala havina uhusiano na dini ,kama wote ni waislamu hata wakristo wanamalizana huko ukraine ....Dini imeingiaje sasa?

Hiy ni bendara ya sudan na ni vita ya kikabila huko Nigeria ...Kama ni ya kidini watawezaje kuwamaliza waislamu wenzao?

View attachment 2857438
Ukraine wakristo wanamalizana kwa kusema bwana Yesu asifiwe ama tumsifu yesu kristo?

Waislamu wanamalizana kwa kusema allahu wakbaru, kwamba wanafanya hayo kwa amri ya Allah. Umewahi kusikia wakristo wakiuana kwa amri ya kristo?
 
Back
Top Bottom