OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ujue unanifundisha umbeaKheeπ
ACHANA NAO.the new young Africans graphic designer should be fired.
what is this design?? nani ana ajili hawa watu???
angalia graphics zake.
big brand what Is this??
View attachment 3073464
HahahahaInasemekana alidakwa akitongoza humu, akaachwa. Akalia harudii tena. Masharti ikawa kila anachoandika lazima ampe nakala
Ujue unanifundisha umbea
asahihishe Grammer zake piaSahihisha tukuelewe makosa yako wapi
Umetishawakati wake umefika
na wewe ukifika wako hata unye pale kibarazani watakupongeza
for now stay calm
ππππWivu nakuonea wewe na Vincenzo Jr naona mnapigiana misele
Huyo yupo na bwana ake Mahondwa laZima a comment pumba af am tagKuna mdau humu alikuuliza hivi ulijiunga JF kwa ajili ya kusema haya?
Pilipili usizozila zakuwashani?the new young Africans graphic designer should be fired.
what is this design?? nani ana ajili hawa watu???
angalia graphics zake.
big brand what Is this??
View attachment 3073464
Mimi ndiye niliyemuuliza ila nilimuuliza huo u Platinum member uliupata kwa comment ya aina hii tu au kuna kingine cha ziada?Kuna mdau humu alikuuliza hivi ulijiunga JF kwa ajili ya kusema haya?
Whaoooo hapo bado ni vile sijaanza kazi rasmi..
Akaanze upya chekechea kabisaaasahihishe Grammer zake pia
π Hakuna kufurukutaHana shida, kafungwa speed governor na huyo anayemuandisha chini. Akiandika vibaya anaenda kugombezwa
Ewaaa, sahihi kabisaMimi ndiye niliyemuuliza ila nilimuuliza huo u Platinum member uliupata kwa comment ya aina hii tu au kuna kingine cha ziada?
We ni kichomi mwananguπ₯π₯π₯Whaoooo hapo bado ni vile sijaanza kazi rasmi..
Nishawahi gusa azam pale aiseee wakaona huyu jamaa atakuja kutuachisha kazi hapa πππππ
ππππ Oaa weeeeeh...We ni kichomi mwananguπ₯π₯π₯
Keep it upppppp
Puwa breinπ π