Graphics designer mpya wa Yanga ni tapeli, hajui kudesign wala kuedit

Graphics designer mpya wa Yanga ni tapeli, hajui kudesign wala kuedit

Babu acha fix, nataka ile ya njano na nyeusi. Fanya mambo then niendelee kutafakari😜
Shaka ondoa Mjukuu

Si unajua pa kunipata pale tunapochezaga bao na Wazee wenzangu 🤗
 
Hapo umenena aseeee,,lini unakuja babu😌
Nakuja mwishoni mwa Mwezi huu Mjukuu, utanipa namba ya balozi wa nyumba kumi wenu maana nimesikia hapo kwenu mtandao huwa unasumbua sana kupiga simu 🤗
 
Back
Top Bottom