Gravitas: China exports faulty war machines, countries complain about defective jets, radar & ships

Gravitas: China exports faulty war machines, countries complain about defective jets, radar & ships

Tukisema Ulaya na Nchi za magharibi ujasusi wao ni wakiwango cha kutisha muwe mnaamini.

Ktk hili sitaki kuamini hata Tanzania huenda tumeshapigwa japo yaweza kuwa top secret.

Siku chache baada ya Mchina kujifanya anapiga ban iphone majasusi wameamua kukinukisha kwa kuvujisha taarifa za Siri jinsi Taifa Hilo linavyo uza duniani silaha fake kwa gharama kubwa wakati mataifa hayo yakibaki na silaha mbovu.

Huu ni ushahidi wakutisha ambao majasusi walikaa kimya watu wapigwe Kisha wake wakinukishe ila China alipe mara elfu.

Endeleeni wa bongo wa Buza kumsifia mchina na Mrusi ila tutaelewana baada yakuji elewa.

Nisiandike sana bofya below ukaone China alicho watenda.

View attachment 2748411

Mkuu TumainiEl wewe ni mjanja sana na una uwezo mkubwa wa kupambanua mambo. Hizo zinazorushwa ni propaganda za wamagharibi ili kudhoofisha ushindani wa China. Maana wameona kwa mbinu zote hawamuwezi, wameamua kuwa waongowaongo. Maendeleo ya China yanawanyima usingizi. Maana China has created a strong sphare of influence across the globe. If you'd not drink it, you will eat it, if not that, at least to shower it. China is inevitable is everywhere.

Wamagharibi wameshindwa vitu vingi sana, na chamwisho ambacho kitawasumbua ni huo wanaouita uhuru wa wote, demokrasia. Wananchi ndiyo watakaoangusha serikali za magharibi. Imeanzia ufaransa baada ya uporaji wao kwa nchi za Sahel na Afrika Magharibi kwa ujumla kuwekwa.
 
Hivi sisi tunatengeneza hata manati kweli? 😳

Zile Migi zetu zilizomfurusha Nduli Idd Amin Dada bado zinatutosha hatuna wasiwasi sisi hasa ukizingatia kuwa jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani. Hao wanaonunua masilaha feki ya Mchina shauri yao 🚮🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
Hatufugi kuku ila hela ya kununua mayai tunayo tele na mayai tunakula pengine kumzidi hata mfugaji mwenyewe
Kumbuka kuwa kuna kipindi tuliwahi kuwa na Rais Mwanajeshi, isipokuwa kutokana na upole wake tulimchukulia kama raia
 
Back
Top Bottom