Gravitas: China exports faulty war machines, countries complain about defective jets, radar & ships


Mkuu TumainiEl wewe ni mjanja sana na una uwezo mkubwa wa kupambanua mambo. Hizo zinazorushwa ni propaganda za wamagharibi ili kudhoofisha ushindani wa China. Maana wameona kwa mbinu zote hawamuwezi, wameamua kuwa waongowaongo. Maendeleo ya China yanawanyima usingizi. Maana China has created a strong sphare of influence across the globe. If you'd not drink it, you will eat it, if not that, at least to shower it. China is inevitable is everywhere.

Wamagharibi wameshindwa vitu vingi sana, na chamwisho ambacho kitawasumbua ni huo wanaouita uhuru wa wote, demokrasia. Wananchi ndiyo watakaoangusha serikali za magharibi. Imeanzia ufaransa baada ya uporaji wao kwa nchi za Sahel na Afrika Magharibi kwa ujumla kuwekwa.
 
Hatufugi kuku ila hela ya kununua mayai tunayo tele na mayai tunakula pengine kumzidi hata mfugaji mwenyewe
Kumbuka kuwa kuna kipindi tuliwahi kuwa na Rais Mwanajeshi, isipokuwa kutokana na upole wake tulimchukulia kama raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ