Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Hivi unalipiaaa

Hatua ya mwanzo huwa haina malipo, labda gharama pekee ni kwenye kupiga picha ya pasipoti yenye vigezo vinavyotakiwa (background nyeupe, isiwe na kivuli, upana na urefu linganifu nimesahau vipimo kama sijakosea ni 600*600 pixels)...

Hiyo hatua ya mwanzo ndio muhimu na ndio ngumu kwa sababu hapo ndio kuna raia wengi...

Ukifika mwezi Oktoba, ukiingia ubalozi wa Marekani wataweka maelekezo kwa waombaji wa mwaka huu...
 
na ukipata hiyo hati ya uraia wanakulipia ada ya kusafiri kwenda huko marekani? na vipi ukifika accomodation za maisha wanakup au unashinda uraia tu alafu unaubeba msaraba wako

Unajilipia mwenyewe...

Kawaida green card wanashinda watu wenye kada zao za kazi, elimu, kipaji, n.k na sio hohehae tu, sababu ukifanikiwa kupita hatua zote unatarajiwa kuomba kazi huko kwao na kupata haki zote za kuishi kama raia...
 
Hatua ya mwanzo huwa haina malipo, labda gharama pekee ni kwenye kupiga picha ya pasipoti yenye vigezo vinavyotakiwa (background nyeupe, isiwe na kivuli, upana na urefu linganifu nimesahau vipimo kama sijakosea ni 600*600 pixels)...

Hiyo hatua ya mwanzo ndio muhimu na ndio ngumu kwa sababu hapo ndio kuna raia wengi...

Ukifika mwezi Oktoba, ukiingia ubalozi wa Marekani wataweka maelekezo kwanwaombaji wa mwaka huu...
Mkuu hivi hakuna uwezo wa mtu kuomba mara nyingi kwa wakati mmoja kwa kubadilisha badilisha majina kweli.
 
Mwakaa huu isha chezwa!?
Huwa inaanza October
Jazia nyama kidogo mkuu.
Afu mtujuze jinsi ya kucheza
Hivi unalipiaaa
Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!

Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
 
Mkuu hivi hakuna uwezo wa mtu kuomba mara nyingi kwa wakati mmoja kwa kubadilisha badilisha majina kweli.

😊🙌

Utajisababishia kuwa 'banned' tu mkuu...

Maana hatua ya mwanzo unaweka picha yako halisi ya pasipoti...

Sasa sijui kila mara utapokuwa ukibadilisha majina utakuwa unaweka picha za watu wengine???
 
1630936585363.png

Maisha Marekani sio rahisi

1630936694237.png


1630936737870.png
1630936756461.png
1630936801450.png
 
Hatua ya mwanzo huwa haina malipo, labda gharama pekee ni kwenye kupiga picha ya pasipoti yenye vigezo vinavyotakiwa (background nyeupe, isiwe na kivuli, upana na urefu linganifu nimesahau vipimo kama sijakosea ni 600*600 pixels)...

Hiyo hatua ya mwanzo ndio muhimu na ndio ngumu kwa sababu hapo ndio kuna raia wengi...

Ukifika mwezi Oktoba, ukiingia ubalozi wa Marekani wataweka maelekezo kwanwaombaji wa mwaka huu...
Hii Passport inapatikanaje na kwa bei ganii
 
😊🙌

Utajisababishia kuwa 'banned' tu mkuu...

Maana hatua ya mwanzo unaweka picha yako halisi ya pasipoti...

Sasa sijui kila mara utapokuwa ukibadilisha majina utakuwa unaweka picha za watu wengine???
Hahahaa kuna mjamaa flani kutoka Nigeria walinipaga hilo wazo miaka ya nyuma kidogo bahati mbaya Trump akatupa ban by the way bora niendelee Kuappaly mara Moja tu kama navyofanyaga miaka yote.
 
Hii Passport inapatikanaje na kwa bei ganii

Ulichoniquote hapo mkuu ni picha ya passport size, zile picha ndogo kama za kitambulisho...bei inategemea na studio utayoitumia

Lakini kama waulizia passport kwa maana ya hati ya kusafiria, mtu mwenye green card huwa anatumia passport ya nchi yake ya kuzaliwa, kama wewe ni mbongo utatumia lile gamba la blue kusafiria + kadi hiyo ya kijani
 
Ila hii kitu inatakiwa hata kwenye bank account yako uwe na hata Milioni 30 ... maana gharama za kusafiri hadi states na kujua utalala wapi utakula wapi ni juu yako. So hapo unatakiwa uwe na balance ambayo itakutosha walau miezi mitatu kule US wakati unaendelea kutafuta kazi.

But kwa US kwa watu walisoma kidogo vikazi vipo aisee sio kama huku Bongo.
 
Huwa inaanza October



Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!

Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
Hii tutaruka nayo asee
 
Sikuwa naamini Kuhusu Green card ila sasa nimeamini kweli kuna jamaa yangu mwalimu kapata yupo nyarugusu uko anaondoka Na familia yake Mungu kweli humpa anayemtaka

mbona umeandika kama unakimbizwa?
 
Back
Top Bottom