Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Safi sana mkuu. Umetoa details za kutosha. Nimejifunza mengi.

Ila hata baadhi ya nafasi za usalama wanachukua hasa za jeshi. Kigezo uwe na green card au uraia na uwe chini ya miaka 35. Kama umri umezidi 35 na si zaidi ya 37 ni hadi uombewe kibali maalum. Wao jeshi linaajiri kila siku.
Upo sahihi; niliposema "nafasi" sikumaanisha "kada fulani" bali "specific sections"! Kwa mfano, unaweza kuingia hata jeshini lakini unaweza kuwa restricted kwenye baadhi ya nafasi ambazo ni very sensitive! Unajua mtu hata kama upo nchi kwako kabisa, kuna baadhi ya nafasi ni lazima wakuchunguze sana!!
 
Sikuwa naamini Kuhusu Green card ila sasa nimeamini kweli kuna jamaa yangu mwalimu kapata yupo nyarugusu uko anaondoka Na familia yake Mungu kweli humpa anayemtaka
Green kadi ya kufanya nini? Ni kadi ya benki?
 
Hapo ndo utaona namna beberu anavyotaka kuwafanya binadamu kutoka ulimwengu wa tatu kuwa watumwa wa kifikra.....
Hiyo sheria ina uzuri wake na ubaya wake! Wapo wengi tu wana-apply lakini wakipata wanashindwa hata kuwa na passport; matokeo yake wanakuwa wamezibia watu! Ndo maana hilo la passport, siku hizi ni lazima uwe na passport ndo unaweza ku-apply!!
 
Unajilipia mwenyewe...

Kawaida green card wanashinda watu wenye kada zao za kazi, elimu, kipaji, n.k na sio hohehae tu, sababu ukifanikiwa kupita hatua zote unatarajiwa kuomba kazi huko kwao na kupata haki zote za kuishi kama raia...
Kama suala ni ajira, ni simple tu, piga marufuku bidhaa za China zinazoweza kuzalishwa Tanzania, mfano furniture, hicho kipengele kimoja tu, kitazalisha ajira kwa maelfu kwa maelfu ya vijana
 
Hapo ndo utaona namna beberu anavyotaka kuwafanya binadamu kutoka ulimwengu wa tatu kuwa watumwa wa kifikra.....

USA imejengwa kwa machozi na jasho na mababu halafu aje mtu kutoka shithole kantree kuchafua nchi yao kizembe zembe tu.
 
Hiyo sheria ina uzuri wake na ubaya wake! Wapo wengi tu wana-apply lakini wakipata wanashindwa hata kuwa na passport; matokeo yake wanakuwa wamezibia watu! Ndo maana hilo la passport, siku hizi ni lazima uwe na passport ndo unaweza ku-apply!!
Ninachoona beberu analenga kufanya aina ya ustaarabu wa maisha watu wote wa daraja la juu kuishi kwenye ulimwengu wa kwanza, huku kwengine kubaki kuwa mashenzini wabaki wale watu anaowaona hawana value yoyote.......ambao anakuwa hana time nao.
 
Kama suala ni ajira, ni simple tu, piga marufuku bidhaa za China zinazoweza kuzalishwa Tanzania, mfano furniture, hicho kipengele kimoja tu, kitazalisha ajira kwa maelfu kwa maelfu ya vijana

Mitumba tu Magu alishindwa kuipiga marufuku akisema hizo ni ajira za wanyongeeeeee.
 
Unajaza vipi wakati bado?! Au unazungumzia siku za nyuma?! Anyway, Google "Tanzania Zip Codes" na utakuta document ya TCRA ambayo imetaja zip code ya kila eneo. Ukiona hiyo doc, anza kutafuta mkoa wako, kisha wilaya yako, halafu kata yako, na hatimae utaona zip code ya eneo lako!
Ahsante kwa ufafanuzi wa zipcodekuhusu application pita hapa

 
Kama suala ni ajira, ni simple tu, piga marufuku bidhaa za China zinazoweza kuzalishwa Tanzania, mfano furniture, hicho kipengele kimoja tu, kitazalisha ajira kwa maelfu kwa maelfu ya vijana
Kabla ya kupiga marufuku tujiulize je hzo bidhaa zna ubora kama hzo za China?? Na vp kuhusu bei? Afu unawezaje kumpiga stop boss wako assiingize mzigo akat unamtegemea yy akukopeshe hela, akuletee technology,,n.k
 
Ila hii kitu inatakiwa hata kwenye bank account yako uwe na hata Milioni 30 ... maana gharama za kusafiri hadi states na kujua utalala wapi utakula wapi ni juu yako. So hapo unatakiwa uwe na balance ambayo itakutosha walau miezi mitatu kule US wakati unaendelea kutafuta kazi.

But kwa US kwa watu walisoma kidogo vikazi vipo aisee sio kama huku Bongo.
Kweli kabisa mkuu na lazima pia uwe na mtu ambaye amekubali 'kukuhost' na wahakiki ana uwezo wa kuwa nawe ukiwa unatafuta kazi.
Na kama huna degree ya US, kazi hupati labda hizo kama mlinzi, and the likes.
 
Back
Top Bottom