Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Green Card kumbe ni kweli aisee tucheze hii kitu

Hii nilishuhudia nilipokuwa majuu, raia wa kichina wanaandamana kupata support kupinga vitendo vya watu kutolewa viungo vyao.......nafikiri ni wale wanaokuwa wamefungwa magerezani ndo waathirika zaidi wa kugemwa viungo. Sijasikia kama kwa mabeberu hili nalo lipo....
ipo sana, tena kwa wakuu wa mabeberu ndiyo noma.
 
Sasa mkuu hapo umetaja ajira kwa kada za ufundi/mafundi, lakini mathalani kwa watu ambao ni madaktari, wauguzi, wahandisi au hata wasanii n.k...

Ukipata shavu zuri U.S, umasikini ndio kwaheri hivyo (kuna sababu kwa nini imekuwa ikijulikana kama ni the land of opportunity a.k.a american dream)
Yaani kwa madaktari na wauguzi ndio penyewe. Hao hata green card hawahitaji.
Mshahara mnono Sana kiasi kwamba kwa miezi sita mtu anagonga M100.

Connection zipo lakini watanzania hawasaidiki.


Angalia hapo huo ni malipo ya midwife kwa saa. Na hilo bango ni la juzi. View attachment 1927828
 
Yaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
Hata hapa Bongo unajua Kiswahili kwa 100% lakini bado una njaa kali tu. Maisha popote usikariri. Ukiwa mpambanaji hakuna sehemu utashindwa kuishi katika dunia hii. Ndio maana Indians wanakuja hapa hawana kitu ila baada ya muda wanakuwa matajiri, do you know why? Ni wapambanaji!
 
Yaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
Una akili za kimasikini sana kwani Tz hakuna homeless,maisha ni kupambana
 
Huwa inaanza October



Kwa kifupi kabisa, Green Card Lottery, formally DV Lottery ni bahati nasibu inayoendeshwa na serikali ya Marekani ambapo kila mwaka, inachagua applicants 50K randomly kutoka sehemu mbalimbali duniani, na hawa applicants hupewa Green Card. Ukipata Green Card unakuwa ni kama Mmarekani tu, kwa sababu unakuwa na haki karibu zote wanazopata raia wa Marekani. Linapokuja suala la ajira, unakuwa na haki ya kufanya kazi hadi serikalini EXCEPT, kwenye nafasi nyeti hususani za usalama!

Hulipii hata sent 5, lakini ukishinda, ni wajibu wako kulipia makaratasi ya hapa na pale lakini sio ghali sana! Aidha suala la utafikaje US, na utaenda kuishi wapi na vipi ni wajibu wako mwenyewe! Mwaka jana waliingiza utaratibu mpya kwamba kama unataka kuomba basi ni lazima uwe na passport. Kama tayari una passport, basi subiri October 07, kisha ingia hapa kwa ajili ya kujiandikisha! Condition nyingine (kama haitabadilik) unatakiwa kuwa na angalau diploma!
Mwaka huu lazima nijaribu bahati yangu ya kwenda kwa Biden sikubali kupitwa wallah I wi try my luck oooh. Wana JF mniombee please nibahatike na mimi
 
Yaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
[emoji23][emoji23][emoji23] don't be negative oooh
 
Mwakaa huu isha chezwa!?

2021 Entrant Status Check​

DV-2021 Entrants have until September 30, 2021 to check the status of their entry through this website. The DV-2021 registration period was from October 2, 2019, until November 5, 2019.

2022 Entrant Status Check​

DV-2022 Entrants may enter their confirmation information through the link below starting at noon (EDT) on May 8, 2021. The DV-2022 registration period opens on October 7, 2020, and closes on November 10, 2020. DV-2022 Entrants should keep their confirmation number until at least September 30, 2022.

 
Sikuwa naamini Kuhusu Green card ila sasa nimeamini kweli kuna jamaa yangu mwalimu kapata yupo nyarugusu uko anaondoka Na familia yake Mungu kweli humpa anayemtaka
huyo nduguyo kacheza ya mwaka gani na matokeo kayapata lini?
 
Nchi yetu ni nzuri sana, wazungu huwa wanatamani sana kubaki Africa. Sema tu mambo ya Visa na work permit huwa ni kikwazo kwao. Serikali zetu zingeondoa Visa na Work permit wangejaa sana hapa Bongo. Kuna makampuni mengi huwa yanawafanyakazi wa kigeni frustration zao ni pale work permit zinapoisha na kutakiwa kuondoka nchini. Nimekutana nao wengi na ninafahamu hili.
 
Mimi nikipata kambi popote tu mkuu
Tafuta pesa tu, hata Mbagala utaiona kama New York, kuna wajuba kibao wapo Tz, huko New York wanaenda kama wewe unavyokwenda mkoani na kurudi. Hakuna kitu kimewafanya wasirudi.
 
Back
Top Bottom