Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Mnatakiwa mjue kuwa Kila aina ya binadamu yeyote yule anapatikana Marekani. Mchanganyiko huu ndiyo unaifanya Marekani iwe na maendeleo ya Hali juu zaidi. Kuchanganya akili za watu kutoka Kila pembe ya Dunia ndiyo faida yao
Sure, but you have to think globally then act locally. Yaani twendeni huko tukaibe maarifa na mitaji kisha turudi kwetu kutengeneza vya kwetu kwaajili yetu na watu wetu. Laana ni kuzamia na kuwatelekeza your own people. Wakati tunawafundisha watoto wa wazungu kwenye vyuo vyao tukumbuke watoto wetu nyumbani hawana walimu pia. Wakati tunapangauza wazee wa kizungu matakoni tukumbuke hata wazee wetu Wana shida hiyohiyo.
 
Majirani zetu Kenya wao hutuma 4.9 bil kwa mwaka

Tanzania 500mil usd kwa mwaka.

Taifa letu ujinga mwingi sana
 
Naomba mawasilino yako ole wako nikute unakaa kwa dada ako au nyumbani
 

Tatizo wanajidanganya, USA wanaiona kwenye TV. Ile ni land of opportunity lazima mjue.
Everybody can be a winner.
Issue ni vibari tu
 
Huyu mdau humu nimegundua ni mtu ana akili timamu ila anatumiaga bangi.
Tusimtupe tumshauri vizuri atapata akili.
Mambo ya umanamba ni ulivyomezeshwa kwenye historia, ni sawa na mama ako akwambie baba ako mtu mbaya baada ya kugombana nae.
 
Mnatakiwa mjue kuwa Kila aina ya binadamu yeyote yule anapatikana Marekani. Mchanganyiko huu ndiyo unaifanya Marekani iwe na maendeleo ya Hali juu zaidi. Kuchanganya akili za watu kutoka Kila pembe ya Dunia ndiyo faida yao
kinachowafanya waendelee ni watu kufanyakazi kama punda bila kukwepa kulipa kodi. Watu wanajinunulia kila kitu kuanzia matibabu, elimu na haja kubwa. serikali haina kitu, vitu vyote ni mali ya mabepari wanaofanya watakavyo, unalipwa zaidi lakini wanazichukua zaidi tena wao wenyewe.
 
Ninawaangaliaaa kisha ninacheka sana namna vijana wetu wanavyoendelea kunasa kwenye mitego ya akina Karl peters mamboleo hadi Leo. Tunaonekana kubaki na akili zilezile za akina Mangungo hadi Leo, green card Haina tofauti na zile shanga, vioo, baruti, goroli, bunduki dhaifu za magobole walizokuwa wanatumia akina Karl peters kuwapa akina mfalme Mangungo ili kupewa ardhi, madini, watumwa, meno ya tembo na faru na kila kitu Cha thamani kuwapa wazungu. Marekani hakuna kitu Cha Bure hata kimoja na kila mtu ana deni analotakiwa kulilipa kila siku hadi anakufa. Hakuna anaefanikiwa kukwepa Kodi, na huwezi kuhamisha fedha zako kwenda nyumbani kwenu unakotoka, ukifanya hivyo utatandikwa pesa nyingi sana kama ushuru wa kutumia fedha hivyo. Yaani wanadiscourage kusyphone fedha kutoka Marekani.

Tofauti yetu waafrika na mataifa mengine kama wachina, wahindi, wajapan, wakorea ni kwamba wao wanafanya kazi nzuri na muhimu wakati watu wetu wengi wako mashuleni wanafundisha, mashambani wanalima na kuchunga, madukani wanauza na kubebea wateja mizigo, wanauza kwenye hardwares na glossary, kufanya usafi kwenye sekta ya nyumba na mazingira na hospitality.

Mataifa mengine kama wahindi, wachina, wakorea, wajapan, nk kazi Yao muhimu kule ni kuiba technology (electronics, automobile, civil, kijeshi, viwanda,nk) kwenye maeneo wanayofanyakazi za kuzirudisha kwao wakati watanzania kazi yaa muhimu kule ni kutafuta kila njia wawe raia watiifu kabisa, kupata wanawake na wanaume, kujenga vijumba hata kwa kutumia mbao TU, hopeless. Nyumbani anarudisha kidoooogo sana tena kwa taabu sana na shingo upande.

Kijana wangu aliambia baba nimejenga huku, nikasema waooow, nikaenda kumtembelea siku moja nikakuta amebandikabandika mbao kama Kuta na kuezeka mabati. Kimoyomoyo nikasema lahaulaaa!!!!
 
kati ya wengi wanaokwenda huko wachache sana (pengine chini ya 3%) wanarudi wakiwa wamefanikiwa wengine wengi hata kurudi nyumbani likizo wanaona aibu. Kitu pekee walichofanikiwa ni kujifanya wamesahau kuzungumza kiswahili
 
Majirani zetu Kenya wao hutuma 4.9 bil kwa mwaka

Tanzania 500mil usd kwa mwaka.

Taifa letu ujinga mwingi sana
Daah!! ni heri aliyefilisika mfukoni kuliko aliyefilisika fikra. Kenya Iko bankrupt hata mishahara kwa watumishi wake ni tabu kulipa ndio unaifananisha na tz. Yaaani kufirwa na umanamba ndio unasifia? Guys, tz zipo fursa nyingi sana kama una akili timamu.
 
kati ya wengi wanaokwenda huko wachache sana (pengine chini ya 3%) wanarudi wakiwa wamefanikiwa wengine wengi hata kurudi nyumbani likizo wanaona aibu. Kitu pekee walichofanikiwa ni kujifanya wamesahau kuzungumza kiswahili
Sasa nenda Marekani na ujifanye unawaaga kuwa unarudi tz mara moja, weeee!!! Kila mtu anataka akutume kwao, vijana wengi wanateseka sana huko ughaibuni wanafanya kazi yoyote hata ikibidi kufirwa ili wapate maisha.
 
Namshulu mungu nimechaguliwa kuendelea na mchakato, naomba msaada Kwa ambae anafaham zaidi aniekekeze.
 
Watu wakichoka na maisha hapo bongo, kuibia ukitoka kazi unavamiwa ukiwa kwako wanaiba vitu dirishani,
Ukicha gari umepaki nje kesho utakuta boshen tu.
Huku unavamiwa unachomwa visu,chupa etc.
Ukikaa bar majambazi yanakimbizana huko yamepora mnaambiwa wateja wote mlale chini mnaibiwa kila kitu.
Hayo maisha gani?
Mnaamua kuhama tu ili angalau muokoe uhai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…