Hivi Kuvulata unasoma notes nini? Maana ni kama mtu aliyeko Marekani anaposoma notes za poverty ya Africa, nimesoma development economics, najua kutumia data ziseme nachotaka kusema!
Anyway kwa kukutarifu niliingia Marekani kwa Greencard, na nimechukua uraia wa Marekani kwa hiari yangu! Sikulazimishwa!
Siku ya kuapishwa kuwa raia, ofisi zilifunguliwa asubuhi na kufungwa jioni,kulikukuwa na makundi makubwa mno ya watu! Cha ajabu waafrika tulikuwa sana! Maybe 2% Mchanganyiko toka nchi mbali mbali,Brazil, China,Korea, India, Mexico...Ulaya nk! Nchi ambazo hawajawahi hata kuchukuliwa manamba! Hivi hao wote ni wapuuzi!
Na kwa taarifa tu,ukisikia illegal immigrants,Waafrika ni aslimia ndogo kabisa! Na hata number ya legal immigrants toka Africa, number yetu ni ndogo mno!
Watu wanatoka sehemu mbali mbali za dunia kuingia US! Wenye pesa kuja kuweka investments zao, na wengine kutafuta wanachokitafuta!
Kijana wangu marafiki zake chuoni walikua toka Italy, Korea na India, wako IBM,Google! Wote ni wahamiaji!
Walimaliza University hata hawakusubiri ajira!
Kama huo ndio umanamba,watched wawe manamba!