Unasahau kabisa mababu zako, kama wewe ni mbantu walitokea Benue, West Nigeria! kutafuta malisho ya mifugo na mengineyo ndio wewe uko Tanzania! Wangeng'ang'ania huko sijui wewe ungelikuwa wapi! Na kama wewe Nilotic mngekuwa mmenga'ngania Gezira Sudan, hali duni, vita iliwasababishia kuondoka!
Nimekujibu hapo chini, Kwako wewe Uzalendo ni kukaa nchi yako katika hali ya duni na shida na kukataa options nje ya nchi yako, ambazo zinaweza kubadili maisha yako! Huo sio uzalendo ni udwanzi!
Sijui kama umesoma historia kuhusu Human migration " People may choose to migrate for variety reasons, such as employment opportunities, to escape violent conflict, environmental factors, educational purposes, or to reunite with family" Na kwenda wengine kama unachanganya na adventures!
Unatakiwa ubadili hali ya mambo kwenye jamii yako, siyo kupenda kuteleza kwenye ganda la ndizi kwenye jamii ambazo wao walipambana kupata maendeleo waliyo nayo, kifupi unakuwa huna tofauti na mkimbizi na ukimbizi kama ulivyo utumwa siyo jambo la kujivunia.