Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

hahaha! sio mimi! lakini nitakuwa wa mwisho kuikimbia nchi yangu, I can not let my country go to the dogs just because of greener pastures.

Vijana take my words, success rate for immigrants in the US is only 30%. Na kati ya hao 90% ni wale wenye elimu na ujuzi unaohitajika marekani, vinginevyo utakwenda kuchuma matofaa, kuchunga ng;ombe, kuosha magari, kushikishwa ukuta
Haahhh ungetoacna statistics za wanaomaliza vyuo Tanzania na kupata ajira! Na statistics za vijana wanojiajiri, ingesaidia sana! Hoja yangu iko pale ukiingia Marekani with legal papers huishii kuosha magari! Kazi za suluba hufanya Mexicans! Sijawahi kuona miaka yangu Marekani au nikiwa Texas akifanya mtu mwenye legal papers
 
Under Capitalism unadhani nini sio Umanamba ?

Hata huyo dada wa kazi uliyemtoa kijijini kwao na kumpa ujira duni (ukidhani unamsaidia) kama sio utumwa na child labor unadhani ni nini ?

Hata hizo pesa wanazopewa wakulima kwa kazi / mazao yao kama sio exploitation unadhani ni nini ?

Its a Dog eat Dog World..., Its Sad but True.....
 
hahaha! sio mimi! lakini nitakuwa wa mwisho kuikimbia nchi yangu, I can not let my country go to the dogs just because of greener pastures.

Vijana take my words, success rate for immigrants in the US is only 30%. Na kati ya hao 90% ni wale wenye elimu na ujuzi unaohitajika marekani, vinginevyo utakwenda kuchuma matofaa, kuchunga ng;ombe, kuosha magari, kushikishwa ukuta
Sitaki kuingia kwenye Siasa, hivyo nitakaa kimya tu, Rais wetu, maana Vado no wangu kila kukicha yuko nje! Nadhani unajua anatafuta nini! Kwa muda mrefu hatujaona Mzalendo, mpaka alipotokea kijana Majaliwa! Wala nchi walikuwepo pale wakilindwa na bunduki! Kila la heri kwa uzalendo wako!
 
Chief huwez kujifunza lolote ukiwa mazingira yale yale na watu wale wale. Ndio maana nikasema ingekuwa ni uwezo wangu ningewatoa watanzania waende huko nje hawatarud watupu kuna kitu kitabadilika. We umesemea watu waliochoka tu lakin kuna wengine wameenda na wamekuja na mawazo mapya. Kuhusu utumwa upo popote hata bongo upo ila huwez kuuona coz sio eneo lako. Hiv unajua uchumi wetu hapa bongo unamilikiwa na wahind na Waarabu? Wenyeji wamebaki kuongea tu hawana habar na ulimwengu unavyokwenda. Leo hii wasomali na ukorofi wao cku wakirud kwao wakikaa kwa aman wanatupita. Kisa ninini wengi sana wanajua how things work coz tayar wana exposure ya kutosha.
Dawa ya hiyo sio Green Cards. Yaani iko hivi, Wamerekani wanatafuta cheap labour kwa njia hii ya Green card, watu ambao watafanyakazi bila kulalamika wala kudaidai ziada. Zamani walikuwa wakitumia watumwa kufanyakazi lakini sasa watumwa hakuna. Ndio maana kwenye Green card sio kila mtu anaweza kupata hiyo nafasi kwakuwa wanafanya kitu kinaitwa job matrix kuona ni kazi zipi zipo zinazohitaji watu wenye sifa zipi na hakuna watu wa kuzifanya. Sponsor wakubwa wa Green cards ni chama cha waajili ambao wanatuma nafasi zilizowazi kwenye makampuni yao zinazohitaji watu wangapi wenye sifa gani.

Mara nyingi hizo ni kazi ambazo wazawa hawazipendi, hivyo zinakosa watu wa kuzifanya sio kwakuwa hakuna wamerani wa kuzifanya lakini hawapendi kuzifanya, yaani hata kwenda kusoma kozi za kufanya aina hiyo ya kazi hawasomi kabisaaa.

Lakini kuna jambo lingine hapo pia lazima ulifahamu kuwa, mfumo wa elimu Marekani ni kwamba Elimu ni rahisi sana kwenye shule za msingi na sekondari na vyuo vya kati (non degree programs) vya serikali ili watu wengi wamudu kusoma na kuishia hapo. Elimu ya vyuo vikuu wameifanya iwe ghali sana kusoma ili watu wachache hasa wale wa makabwela washindwe kuipata. Huu ni mkakati madhubuti wa kuwapata cheap labour (non degree holder workers) katika job market. Kwa hiyo kuna uhaba mkubwa wa wataalam wenye elimu ya juu kwenye maeneo mengi muhimu kama walimu wa vyuo vikuu, IT, uchumi, nurses, dk, etc, Hivyo watu wenye elimu kubwa ni rahisi kupata visa au hata hiyo Green card kuliko mtu mwenye elimu ya kati. Huu ni umanamba wa hali ya juu na wizi wa wataalam waliosomeshwa na nchi maskini kabisa.
 
Dawa ya hiyo sio Green Cards. Yaani iko hivi, Wamerekani wanatafuta cheap labour kwa njia hii ya Green card, watu ambao watafanyakazi bila kulalamika wala kudaidai ziada. Zamani walikuwa wakitumia watumwa kufanyakazi lakini sasa watumwa hakuna. Ndio maana kwenye Green card sio kila mtu anaweza kupata hiyo nafasi kwakuwa wanafanya kitu kinaitwa job matrix kuona ni kazi zipi zipo zinazohitaji watu wenye sifa zipi na hakuna watu wa kuzifanya. Sponsor wakubwa wa Green cards ni chama cha waajili ambao wanatuma nafasi zilizowazi kwenye makampuni yao zinazohitaji watu wangapi wenye sifa gani.

Mara nyingi hizo ni kazi ambazo wazawa hawazipendi, hivyo zinakosa watu wa kuzifanya sio kwakuwa hakuna wamerani wa kuzifanya lakini hawapendi kuzifanya, yaani hata kwenda kusoma kozi za kufanya aina hiyo ya kazi hawasomi kabisaaa.

Lakini kuna jambo lingine hapo pia lazima ulifahamu kuwa, mfumo wa elimu Marekani ni kwamba Elimu ni rahisi sana kwenye shule za msingi na sekondari na vyuo vya kati (non degree programs) vya serikali ili watu wengi wamudu kusoma na kuishia hapo. Elimu ya vyuo vikuu wameifanya iwe ghali sana kusoma ili watu wachache hasa wale wa makabwela washindwe kuipata. Huu ni mkakati madhubuti wa kuwapata cheap labour (non degree holder workers) katika job market. Kwa hiyo kuna uhaba mkubwa wa wataalam wenye elimu ya juu kwenye maeneo mengi muhimu kama walimu wa vyuo vikuu, IT, uchumi, nurses, dk, etc, Hivyo watu wenye elimu kubwa ni rahisi kupata visa au hata hiyo Green card kuliko mtu mwenye elimu ya kati. Huu ni umanamba wa hali ya juu na wizi wa wataalam waliosomeshwa na nchi maskini kabisa.
Kwa nini nchi za Kiafrika zisifanye hivyo! Tuna shida za wataalamu Tanzania, kwa nini tusiwe na Greencard! Unachekesha sana!
 
Dawa ya hiyo sio Green Cards. Yaani iko hivi, Wamerekani wanatafuta cheap labour kwa njia hii ya Green card, watu ambao watafanyakazi bila kulalamika wala kudaidai ziada. Zamani walikuwa wakitumia watumwa kufanyakazi lakini sasa watumwa hakuna. Ndio maana kwenye Green card sio kila mtu anaweza kupata hiyo nafasi kwakuwa wanafanya kitu kinaitwa job matrix kuona ni kazi zipi zipo zinazohitaji watu wenye sifa zipi na hakuna watu wa kuzifanya. Sponsor wakubwa wa Green cards ni chama cha waajili ambao wanatuma nafasi zilizowazi kwenye makampuni yao zinazohitaji watu wangapi wenye sifa gani.

Mara nyingi hizo ni kazi ambazo wazawa hawazipendi, hivyo zinakosa watu wa kuzifanya sio kwakuwa hakuna wamerani wa kuzifanya lakini hawapendi kuzifanya, yaani hata kwenda kusoma kozi za kufanya aina hiyo ya kazi hawasomi kabisaaa.

Lakini kuna jambo lingine hapo pia lazima ulifahamu kuwa, mfumo wa elimu Marekani ni kwamba Elimu ni rahisi sana kwenye shule za msingi na sekondari na vyuo vya kati (non degree programs) vya serikali ili watu wengi wamudu kusoma na kuishia hapo. Elimu ya vyuo vikuu wameifanya iwe ghali sana kusoma ili watu wachache hasa wale wa makabwela washindwe kuipata. Huu ni mkakati madhubuti wa kuwapata cheap labour (non degree holder workers) katika job market. Kwa hiyo kuna uhaba mkubwa wa wataalam wenye elimu ya juu kwenye maeneo mengi muhimu kama walimu wa vyuo vikuu, IT, uchumi, nurses, dk, etc, Hivyo watu wenye elimu kubwa ni rahisi kupata visa au hata hiyo Green card kuliko mtu mwenye elimu ya kati. Huu ni umanamba wa hali ya juu na wizi wa wataalam waliosomeshwa na nchi maskini kabisa.
Wasomi watanzania bwana, analysis kubwa! Lakini kuna mgao wa umeme, maji, ukosefu wa ajira! Unaweza kuichambua Marekani kama karanga! Hiyo elimu ndio mnayomshauri Mama kuja kuzindua Royal Tour kwa hawa wezi na mashoga! Inashangaza! Na akili hizo hizo Ndizo mnazotumia kuingiza Wachina kuja kuuza Maua! Na V8 nyingi barabarani! Ndugu yangu huo usomi wako na die hard uzalendo ingia basi CCM au Chadema labda itasaidia kutoa mawazo mbadala kuliko kukatisha tamaa vijana wanaotaka kutafuta options nyingine!
 
Ila ukumbuke diploma ya kitu fulani kule ndo degree huku au nadanganya
 
I doubt about your cleanness and integrity, sisi tupo huku na Mungu anatupa mkate wetu wa kila siku, tuna amani ya moyo. Naweza kujiuliza ni kwa namna gani nijute eti kwasababu siishi Marekani, utahitaji akili fulani kufanya hivyo, yaani ndoto yako ni kuona vijana wote wanahamia Marekani na kuikimbia nchi yao.
Unanilisha maneno ambayo sijasema kabisa,you are reading my posts with biasness, narudia tena," kama kijana unaona options za Tanzania ni ngumu, si mbaya kujaribu nje ya Tanzania" huo ndio umekuwa wimbo wangu!
Ndoto yangu ni kuona vijana wanafanikiwa,nje au ndani ya nchi! Rudia tena posts zangu!
Naogopa sana unapo question my integrity! Ina maana uko bias kiasi cha kwamba huamini mtu anaweza kufanikiwa Marekani! Siwezi kutaja majina ya watu, nawajua wengi ndugu yangu! Wewe kama msomi avoid extremes, na biasness!
Una chuki kali na Marekani! Itakupa vidonda vya tumbo!
 
Unanilisha maneno ambayo sijasema kabisa,you are reading my posts with biasness, narudia tena," kama kijana unaona options za Tanzania ni ngumu, si mbaya kujaribu nje ya Tanzania" huo ndio umekuwa wimbo wangu!
Ndoto yangu ni kuona vijana wanafanikiwa,nje au ndani ya nchi! Rudia tena posts zangu!
Naogopa sana unapo question my integrity! Ina maana uko bias kiasi cha kwamba huamini mtu anaweza kufanikiwa Marekani! Siwezi kutaja majina ya watu, nawajua wengi ndugu yangu! Wewe kama msomi avoid extremes, na biasness!
Una chuki kali na Marekani! Itakupa vidonda vya tumbo!
You doubt about my integrity,Why mara umeniambia natoka Mpitimbi! Wewe Marekani ni kushindwa tu! Hakuna success story.
Nimekuuliza umewahi kuja Marekani! Hujajibu, Nawajua wengi walioshindwa US, na wakarudi nyumbani, hicho ni kitu cha kawaida, ila wewe umekuwa bitter! unataka kila mtu ashindwe! It doesn't work that in life!
Kahana tu bongo, usiwakatishe tamaa wenzako! Inaonekana Chicago ilikuendesha puta ukarudi nyumbani! Pole sana, na inawezekana hata sio uzalendo uliokurudisha bongo! Ulikosa ada hata pesa za kutengeneza makaratasi ya mchongo! Pole sana jamaa yangu!
 
Huo ndio umanamba mamboleo, brainwashed, Sio vibaya kuishi Marekani kama mkimbizi lakini ni vizuri zaidi kuishi kwenye taifa lako mkitafuta majibu ya matatizo ya jamii yenu. Yaani wewe unatamani usikie Elon Musk ameinunua Tanzania kwa bei ya kutupwa.
Tanzania ni taifa lako? Uljikuta umezaliwa hapo bilackutaka, ungeweza kuzaliwa Chad, Malawi, Burkina Farso.
Ukizaliwa mahali hujaambia ufie hapo! Hayo ni mawazo ya ujima! Hata makabila yetu yalikuwa yana hamam hama! Wabantu walitoka West Africa! Sijui wewe kama ni mkerewe asili yenu ni wapi!
Unazaliwa mahali, halafu unatafuta mstakabali wako wa maisha! Hao Wahindi wanaomiliki aslimia kubwa ya uchumi, baba zao wangebaki India wangekuwa na utajiri huo?
Unajua asili ya akina Rostam!
Usikikatishe vijana wanaojaribu kisa cha kutumia mawazo ya ujima!
 
nina uhakika kuwa mimi nakuzidi kwenye kujua, hakiyaMungu naapa na nimekuzidi kwa mengi. Vijana wengi wanaadhirika kule, ninao ushahidi. Ni lazima tuwaambie ukweli kwamba kuna kupata na kukosa kule, yaani 70% kukosa na 30% kupata. Waambieni watu kuwa 80% ya waliofanikiwa wana kazi zaidi 2, wanalea vizee vya kizungu, wako kwenye mashamba ya apples, ng;ombe, kazi nguvu viwandani na poters/wapagazi kwenye maduka makubwa (malls).
Huna hoja wala experience yeyote ya life la USA, Zaidi ya story za kusimuliwa mtaani..baki na illusion zako na negativity.
 
Huna hoja wala experience yeyote ya life la USA, Zaidi ya story za kusimuliwa mtaani..baki na illusion zako na negativity.
Mkuu, ndugu yetu kajaa negativity kubwa! Marekani is not a paradise, lakini ukiwa na makaratasi ukakomaa utapata unachokitaka!
Jamaa yetu hakubali, amekaririshwa hataki kabisa kusikia unaweza ukafanikiwa Marekani.
Nadhani hata hapo bongo kila anayefanikiwa kwake ni Illuminati!Au mchawi!
 
Concept ya mtoa mada ina mantiki, kwenda nchi ya ugenini kwa sababu ya kuhisi hali duni kwenye nchi uliyozaliwa ni utumwa, haijalishi utafanikiwa au hutafanikiwa........​
 
Concept ya mtoa mada ina mantiki, kwenda nchi ya ugenini kwa sababu ya kuhisi hali duni kwenye nchi uliyozaliwa ni utumwa, haijalishi utafanikiwa au hutafanikiwa........​
Kwa Mantiki hiyo ni kwamba Uzalendo ni kukaa katika nchi yako uliyozaliwa hata kama una maisha duni na ya shida na kukataa options zozote zinajitokeza zile za kubadili maisha yako, na hata kizazi chako cha baadaye! Kweli tutafika tukiwa tumechoka sana!
 
Concept ya mtoa mada ina mantiki, kwenda nchi ya ugenini kwa sababu ya kuhisi hali duni kwenye nchi uliyozaliwa ni utumwa, haijalishi utafanikiwa au hutafanikiwa........​
Unasahau kabisa mababu zako, kama wewe ni mbantu walitokea Benue, West Nigeria! kutafuta malisho ya mifugo na mengineyo ndio wewe uko Tanzania! Wangeng'ang'ania huko sijui wewe ungelikuwa wapi! Na kama wewe Nilotic mngekuwa mmenga'ngania Gezira Sudan, hali duni, vita iliwasababishia kuondoka!

Nimekujibu hapo chini, Kwako wewe Uzalendo ni kukaa nchi yako katika hali ya duni na shida na kukataa options nje ya nchi yako, ambazo zinaweza kubadili maisha yako! Huo sio uzalendo ni udwanzi!

Sijui kama umesoma historia kuhusu Human migration " People may choose to migrate for variety reasons, such as employment opportunities, to escape violent conflict, environmental factors, educational purposes, or to reunite with family" Na kwenda wengine kama unachanganya na adventures!
 
Nchi ambayo hata wanaume wanaolewa, ndio hizo fursa unazozisema? Nenda ukaangalie kule kwenye magereza yao ukaone ni akina nani wamefungwa humo?
Mtu kama wewe kule utaolewa ndio maana unaogopa kwenda

Hapo bongo Kuna wanaume waliolewa wamejazana mitaa ya sinza, mwenge, mbezi beach, kawe, kijitonyama, mwananyamala nakadhalika.

Hapa sio Maka, Madina Wala Jerusalem.

Kwakuwa akili Yako inawaza ufirauni basi siku ukitua tu States utafanyiwa ufirauni maana aliwazalo mjinga ndio litakalo mtokea.

God Bless America.
 
Dawa ya hiyo sio Green Cards. Yaani iko hivi, Wamerekani wanatafuta cheap labour kwa njia hii ya Green card, watu ambao watafanyakazi bila kulalamika wala kudaidai ziada. Zamani walikuwa wakitumia watumwa kufanyakazi lakini sasa watumwa hakuna. Ndio maana kwenye Green card sio kila mtu anaweza kupata hiyo nafasi kwakuwa wanafanya kitu kinaitwa job matrix kuona ni kazi zipi zipo zinazohitaji watu wenye sifa zipi na hakuna watu wa kuzifanya. Sponsor wakubwa wa Green cards ni chama cha waajili ambao wanatuma nafasi zilizowazi kwenye makampuni yao zinazohitaji watu wangapi wenye sifa gani.

Mara nyingi hizo ni kazi ambazo wazawa hawazipendi, hivyo zinakosa watu wa kuzifanya sio kwakuwa hakuna wamerani wa kuzifanya lakini hawapendi kuzifanya, yaani hata kwenda kusoma kozi za kufanya aina hiyo ya kazi hawasomi kabisaaa.

Lakini kuna jambo lingine hapo pia lazima ulifahamu kuwa, mfumo wa elimu Marekani ni kwamba Elimu ni rahisi sana kwenye shule za msingi na sekondari na vyuo vya kati (non degree programs) vya serikali ili watu wengi wamudu kusoma na kuishia hapo. Elimu ya vyuo vikuu wameifanya iwe ghali sana kusoma ili watu wachache hasa wale wa makabwela washindwe kuipata. Huu ni mkakati madhubuti wa kuwapata cheap labour (non degree holder workers) katika job market. Kwa hiyo kuna uhaba mkubwa wa wataalam wenye elimu ya juu kwenye maeneo mengi muhimu kama walimu wa vyuo vikuu, IT, uchumi, nurses, dk, etc, Hivyo watu wenye elimu kubwa ni rahisi kupata visa au hata hiyo Green card kuliko mtu mwenye elimu ya kati. Huu ni umanamba wa hali ya juu na wizi wa wataalam waliosomeshwa na nchi maskini kabisa.
kavulata said:
"I doubt about your cleanness and integrity, sisi tupo huku na Mungu anatupa mkate wetu wa kila siku, tuna amani ya moyo. Naweza kujiuliza ni kwa namna gani nijute eti kwasababu siishi Marekani, utahitaji akili fulani kufanya hivyo, yaani ndoto yako ni kuona vijana wote wanahamia Marekani na kuikimbia nchi yao."


Hivi amani moyoni unaipimia nini? Sijakulewa kabisa! Na unaposema" Mungu anatupa mkate wetu wa kila siku" Hivyo ukiondoka nje ya nchi yako Mwenyezi Mungu anakunyima! Ni vitabu vya dini gani hivyo unasoma?

Amani moyoni ni very subjective! Haipimwi na kuwa mahali fulani au kwa na vitu! Na sijasema popote ukija Marekani utapata amani moyoni! Wala sijakuambia usipokuja Marekani utajuta!
Wewe ndio unawaaambia wenzio wakija Marekani Watajuta!

Maisha ni popote jamaa yangu!
 
Back
Top Bottom