Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Unatakiwa ubadili hali ya mambo kwenye jamii yako, siyo kupenda kuteleza kwenye ganda la ndizi kwenye jamii ambazo wao walipambana kupata maendeleo waliyo nayo, kifupi unakuwa huna tofauti na mkimbizi na ukimbizi kama ulivyo utumwa siyo jambo la kujivunia.​
 
Nyamisi: Kama una wito wa kufanya hivyo , kila la heri! Join CCM, Chadema, NCCR, una options nyingi mkuu! Za kuibadili nchi yako!
That is not my calling! Kila la heri! Pambana mkuu! Acha mimi niteleze kwenye Ganda la ndizi!!
 

Unasema pambana kubadili nchi yako, huku unalalamika tozo! Nalipa kodi US, kodi yangu inajenga miundo mbinu, nikiita ambulance haichukui dakika 10 roughly, watoto wanakula shule! Maji au umeme sio tatizo! Public packs na recreational centers ziko kibao, ni kodi yangu hiyo!
Sasa wewe unatoa tozo, V8 ndio zinashamiri! Pambana mkuu! Maisha mafupi haya! Labda utaikwamua Tanzania! Kila la kheri!
 
Ingependeza kama ungewatumia huu ujumbe kwenye official site mail yao kuliko kuandika hapa maana hakuna mchezaji atakayekusikiliza
 
Huwezi hamia nyumba ya jirani kisa kwako pana kunguni, kila mtu atakushangaa...
 
Huwezi hamia nyumba ya jirani kisa kwako pana kunguni, kila mtu atakushangaa...
Kitendo tu cha kuwa na kunguni ni aibu! Mkuu nakutakia kila kheri, pambana kulipa tozo! Jipange barabarani kuwashangilia wenye ma V8! Ni hatua nzuri hiyo ya kuleta maendeleo! Kila la kheri mkuu!
 
Huwezi hamia nyumba ya jirani kisa kwako pana kunguni, kila mtu atakushangaa...
Sio kunguni tu, chawa, mende, inzi, mbu, buibui! Nyoka, popo, mijusi! Pambana mkuu, is more than kunguni unazopambana nazo!
Viongozi wa nchi wao wanajua wanapambana na nini, ndio maana wanatafuta wadau angalau walete vyandalua, na kuchimba Massimo ya choo! Huwa inaumiza sana! Sasa kama wewe umejitoa mhanga, kila la kheri!
 
Kitendo tu cha kuwa na kunguni ni aibu! Mkuu nakutakia kila kheri, pambana kulipa tozo! Jipange barabarani kuwashangilia wenye ma V8! Ni hatua nzuri hiyo ya kuleta maendeleo! Kila la kheri mkuu!
Unatakiwa kuondoa aibu ndani ya nyumba yako, siyo kuhamia nyumba ya jirani........unapohamia jamii ya watu wengine unapoteza identity na unakuwa hauko huru na maisha yako.
 
Unatakiwa kuondoa aibu ndani ya nyumba yako, siyo kuhamia nyumba ya jirani........unapohamia jamii ya watu wengine unapoteza identity na unakuwa hauko huru na maisha yako.
Ondoa mkuu hiyo aibu! Sijui identy gani nimepoteza! Ni wabongo wangapi hawajitambui! Ukiona donors wanakuchimbia vyoo vya shimo, wanaleta vyandalua na wawekezaji wanakuja kuuza maua ya plastics,huko ndio kupoteza identity...
 
Mkuu,Hebu usijichoshe kubishana na hawa wapinga green card wana matatizo ya kisaikolojia na Uwehu akilini mwao.
 
Unatakiwa kuondoa aibu ndani ya nyumba yako, siyo kuhamia nyumba ya jirani........unapohamia jamii ya watu wengine unapoteza identity na unakuwa hauko huru na maisha yako.
Ondoa mkuu hiyo aibu! Sijui identy gani nimepoteza! Ni wabongo wangapi hawajitambui! Ukiona donors wanakuchimbia vyoo vya shimo, wanaleta vyandalua na wawekezaji wanakuja kuuza maua ya plastics,huko ndio kupoteza identity
 
Ondoa mkuu hiyo aibu! Sijui identy gani nimepoteza! Ni wabongo wangapi hawajitambui! Ukiona donors wanakuchimbia vyoo vya shimo, wanaleta vyandalua na wawekezaji wanakuja kuuza maua ya plastics,huko ndio kupoteza identity...
Mkuu, nimeishi huko for at least miaka 3 wakati nipo masomoni.....sipachukulii kipaumbele sana kiasi kwamba nikose usingizi kisa nimeshindwa kufanikiwa kuhamia majuu. Mimi nachulia hapa nilipozaliwa ndo jamii yangu ilipo na ni mahali sahihi zaidi pa mimi kuishi.....ikitokea nafasi ya kutafuta huko kwingine itokee, but home is always the best place to be.​
 
Nyumisi, hapo umezungumza la maana,naheshimu perspective yako! Mimi nilianza kuja Marekani miaka ya nyuma kikazi, na kwa upande wangu nikaona ni mahali sahihi pa kufanya nachotaka kufanya, na hata kuchukua uraia,
Sasa sioni hiyo Diana ya utumwa na kukosa uzalendo inatokea wapi! Wewe unajua fika, hali mojawapo ya kukosa maendeleo hapo nyumbani ni kwa viongozi hao hao mlio nao kukosa uzalendo!
Viongozi hao hawajaja Marekani,bali wanaibia wananchi mchana kweupe!
Hivyo acha kila mtu atafute mstakabali wake wa maisha Kadri anavyoona mwenyewe! Msiwakatishe tamaa wanaotaka kujaribu.Kila la kheri!
 
Watz tuna akili dumazi sana. Mi ingekuwa ni uwezo wangu ningewatoa watanzania waende huko mbele angalau mwaka mmoja watz wanatakiwa wapate exposure ni wajinga mno huwez kuendelea bila kutoka ukajifunze mapya.
hata usijaribu maana sku ya kuwarudisha kwao hakuna hata mmoja atayetaka arud zaidi utakimbiwa
 
Japo sijawahi kuishi huko lakini mzee bongo life ni tough sana.

Huenda wewe ni mwenyeji wa dar, huko vijijini hujaenda kuona watu wana maisha magumu kiasi gani.

Sikiliza tu story ya majaliwa, uone maisha ya familia ya dogo yalivyo magumu, pesa anapata kwa kuanika dagaa ambayo huenda hata yeye tu haimtoshi.

Ajira hakuna, wati viwandani wanalipwa buku 3 kwa siku ndgu yangu, si bora huko walau ela unaiona japo gharama za maisha zipo juu lakini somehow haki za binadamu zinafuatwa.
 
Yaani nyie mnaoonaga ambao hawajafanikiwa ni wavivu huwa nawashangaa sana aisee.

Labda kama huishi hii tz, na kama umebahatika shuruku Mungu mkuu. Ila ufikiliavyo sivyo mkuu.
Mapambano kitaa ni makali mno ni vile vikwazo haviishi.
Na sometimes familia hubebesha mizigo mizito pia.
Futa hii mentality yako ya kijuaji(kajua yote).
 
Hii nchi ina watu wajinga wajinga kama wewe wengi sana.

Punguza ujuaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…