Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Dah kuna jamaa yangu yupo California anafanya kazi mgawahi pekee, mwamba analipwa elf52 yaani 52,000/= kwa lisaa, jamaa anaforce overtime anakunja adi laki nane per day na risit zake za malipo uwa ananionesha yaan 800,000/day. jama uku amefanya maendeleo makubwa sana amewajengea wazaz wake mjengo wa nguvu na harrier iko nje, nayey amejenga nyumba mbili na anagari mbili, Prado tx na Crown zipo tu wanatumia madogo, fursa zilipo kimbilia.
 
Nakwambia wewe ni kipofu! Kazi professional una negotiate salary! Kabla sijaanza kazi mimi mwenyewe najua nataka nini! Na shirika/kampuni inaweza kukuomba uache kazi uliyo nayo kama una skills kubwa na kukuoa dau kubwa!
Nawafahamu wengi mno ndugu yangu!
Ukiwa na skills inayotafutwa wewe ndio unapanga mshahara wako!
Acha uzwazwa!..
kaka hakuna ku negotiate, hata kama unaonekana umenegotiate lakini utanetiate ndani ya confidence interval fulani, yaani wao wanao ukomo (ceiling) wao kwa kila kazi, kila qualification na kwa kila aina ya mtu (race, nationality and citizenship status). Umepunjwa kaka lakini huoni kama unapunjwa kwakuwa reference point yako ni bongo. yaani unaona hicho ulichokipata ni kingi kuliko kazi hiyo ukiwa Tz/Africa, unaona kama vile umeukata lakini in fact wajua kuwa wewe ni cheap labor/nafuu sana kama wangekuwa wamemuajili Mmarekani halisi kwenye nafasi hiyohiyo (umanamba uko palepale bro!), kusanyeji mitaji huko mrudi huku tuijenge nchi yetu sisi wenyewe. Ni upuuzi kukimbilia mahala ambako tayari wenzako walishahenya kufika hapo walipo kwakuwa eti kwenu kunanuka mavi.
 
kaka hakuna ku negotiate, hata kama unaonekana umenegotiate lakini utanetiate ndani ya confidence interval fulani, yaani wao wanao ukomo (ceiling) wao kwa kila kazi, kila qualification na kwa kila aina ya mtu (race, nationality and citizenship status). Umepunjwa kaka lakini huoni kama unapunjwa kwakuwa reference point yako ni bongo. yaani unaona hicho ulichokipata ni kingi kuliko kazi hiyo ukiwa Tz/Africa, unaona kama vile umeukata lakini in fact wajua kuwa wewe ni cheap labor/nafuu sana kama wangekuwa wamemuajili Mmarekani halisi kwenye nafasi hiyohiyo (umanamba uko palepale bro!), kusanyeji mitaji huko mrudi huku tuijenge nchi yetu sisi wenyewe. Ni upuuzi kukimbilia mahala ambako tayari wenzako walishahenya kufika hapo walipo kwakuwa eti kwenu kunanuka mavi.
Sasa nimemuelewa Mh Mbunge Msukuma,kama anakutana na msomi kama wewe, atajifunza nini! CCM imewafanya uharibifu mkubwa sana! Ndio akili hii itajenga nchi kweli! Ndio maana tunachimbiwa mashimo ya vyoo na kuletewa vyandalua!
 
Dah kuna jamaa yangu yupo California anafanya kazi mgawahi pekee, mwamba analipwa elf52 yaani 52,000/= kwa lisaa, jamaa anaforce overtime anakunja adi laki nane per day na risit zake za malipo uwa ananionesha yaan 800,000/day. jama uku amefanya maendeleo makubwa sana amewajengea wazaz wake mjengo wa nguvu na harrier iko nje, nayey amejenga nyumba mbili na anagari mbili, Prado tx na Crown zipo tu wanatumia madogo, fursa zilipo kimbilia.
Mkuu wanamuhitaji akajenge nchi! Hakuna! Sijui wao wamefanya nini!
 
Huyo aliyehamia US anaweza na uwezo mkubwa wa kuikomboa na kuiondolea aibu jamii yake kuliko wewe na uzalendo wako , watu wanasomesha wadogo zao vyuo vikuu na kujengea wazazi wao bila matatizo wewe unaona hawana maana, hiyo fees ya University of Dar es salaam kwa wengi US ni paycheck moja, nina uhakika pesa inayotumwa kutoka US na UK inachangia kiasi kikubwa sana kwenye GDP ya TZ, Kenya last year wametuma nyumbani 3 billion dollar, nina uhakika wabongo wanakaribia at least billion moja au zaidi zinazidi hata mapato ya dhahabu na uhakika
Hoja yenu ni kuwa Tanzania hakufai kuishi, hakuna social services nzuri kama huko hivyo unapiga debe vijana waichukie hadi kuikimbia nchi yao waje huko kufanyakazi za umanamba.

Kaka mimi nakumbuka hata tz manamba kwenye mashamba ya mkonge, mpira, ngano, chai, kahawa, ranch za mifugo walikuwa wanalipwa hela za kuwawezesha kuishi, kulipa kodi ya mkoloni bila shida na hata kusomesha watoto wao hadi ngazi ya middle schools shida sana. Japo walikuwa wanapunjwa lakini manamba walikuwa na nafuu kiuchumi kuliko wale ambao hawakufanya kazi za umanamba. Ambao walikuwa hawafanyi kazi za umanamba walikuwa wanalala porini kujificha kukamatwa kwa kushindwa kulipa mkodi.

Kwahiyo unachosema wewe ndio tabia na sababu halisi ya umanamba. Unaweza sasa kujengea wazazi, kulipia ada za wadogo zako, nk kwa kufanyakazi za watu wengi, kulipa kodi kwa nchi nyingine, kukuza uchumi wa nchi nyingine halafu wewe unaambulia kulipwa posho inayokatwa kodi kubwa, kodi ambayo anaenda kuzikopesha nchi nyingine ikiwemo tz kwa riba kubwa na kugharamia vita vya dhuluma kwa nchi changa, nk. Shida yetu kwenye mitaala yetu hakuna somo la Critical thinking kwa watoto wetu.
 
kaka hakuna ku negotiate, hata kama unaonekana umenegotiate lakini utanetiate ndani ya confidence interval fulani, yaani wao wanao ukomo (ceiling) wao kwa kila kazi, kila qualification na kwa kila aina ya mtu (race, nationality and citizenship status). Umepunjwa kaka lakini huoni kama unapunjwa kwakuwa reference point yako ni bongo. yaani unaona hicho ulichokipata ni kingi kuliko kazi hiyo ukiwa Tz/Africa, unaona kama vile umeukata lakini in fact wajua kuwa wewe ni cheap labor/nafuu sana kama wangekuwa wamemuajili Mmarekani halisi kwenye nafasi hiyohiyo (umanamba uko palepale bro!), kusanyeji mitaji huko mrudi huku tuijenge nchi yetu sisi wenyewe. Ni upuuzi kukimbilia mahala ambako tayari wenzako walishahenya kufika hapo walipo kwakuwa eti kwenu kunanuka mavi.
Kwa hiyo ni akili kukaa mahali ambapo pananuka Mavi! That is perverted thinking
 
Ajabu wanaoziharibu hizi nchi za afrika ni America na washirik wake wa ulaya.mkataa kwao mtumwa
Kwamba wamarekani ndio wanaharibu demokrasia ,kuvunja haki za binadamu , kufanya ufisadi serikalini , kutengeneza ukiritimba na inefficiency kwenye mifumo ya uongozi na serikali ? , Wamarekani ndio wanaoweka policies za kumkandamiza mwananchi wa kawaida kwa kodi kubwa ,huduma mbovu za kijamii ?Hao wamarekani ndio wanaruhusu rasilimali kutawanywa ovyo na kutoleta tija kwa uchumi binafsi wa mwananchi sio ?
Nguruwe pori kabisa nyie
 
Kaka green cards ni manamba TU wanaopelekwa kufanya kazi kwa malipo kidogo, ni manamba kwa style mpya.
Malipo kidogo kuliko manamba mlionao hapo bongo mnaowatumikisha kwenye viwanda vya wahindi , wengine mnawabaka na kuwafanyia abuses nyingine nyingi halafu mmewaajili kama wapagazi na wafanyakazi wa ndani na kwenye mashamba yenu mnawalipa 50000 kwa mwezi na kuwamistreat .
Unajua maana ya manamba we fal@
 
Wewe ni kipofu wa vipofu! Unajua system ya malipo ya US! Kwa hiyo kuna system ya huyu mzawa na huyu mgeni! Hivyo ukiwa na Greencard malipo ni haya! Mbona unaanika ujinga wako mbele ya kadamnasi!
Inasikitisha sana!
Huyu ni kvma ,usijibizane naye
 
Huyo aliyehamia US anaweza na uwezo mkubwa wa kuikomboa na kuiondolea aibu jamii yake kuliko wewe na uzalendo wako , watu wanasomesha wadogo zao vyuo vikuu na kujengea wazazi wao bila matatizo wewe unaona hawana maana, hiyo fees ya University of Dar es salaam kwa wengi US ni paycheck moja, nina uhakika pesa inayotumwa kutoka US na UK inachangia kiasi kikubwa sana kwenye GDP ya TZ, Kenya last year wametuma nyumbani 3 billion dollar, nina uhakika wabongo wanakaribia at least billion moja au zaidi zinazidi hata mapato ya dhahabu na uhakika
Huyu dogo ni kvma take an example ya Nigerian diaspora mwaka Jana wametuma remittances worth 20 USD billions kila mwaka ,kuanzia January yaani first half ya mwaka huu nigeria imeingiza 11billions of USD kama remittance za watu wake walioko nje ya nchi ,hiyo ni nusu ya mwaka tu . Tafuta ni economic sector ipi nigeria inacontribute kiasi hicho cha pesa kwenye GDP na economy ya nigeria Kwa mwaka .
 
Mkuu usidanganyike na takwimu, wengi wanapigika hawawezi kutuma hata mia mbovu, wanaishia kutumikia mfumo na kuambulia pesa ya kulipia pango na bill mbalimbali. Mimi nimekaa moja ya nchi ya ulaya wakati nasoma, hata wazungu wenyewe wanapigika na wanaomba mitaani sembuse wewe wa kuja. Kwa hiyo usiwaaminishe kwamba huko mambo ni mteremko, wasiamini sana wanachokiona kwenye picha na TV, uhalisia unaweza kuwa tofauti na matarajio yao.​
Kweli sasa naona dhahiri madhara ya mbio za Mwenge! Niliambiwa form two, kimbia mbele unapopita mbele yako! Huyu ndiye msomi wa Tanzania, juzi wameimbishwa wako uchumi wa kati! Dona county! Nchi ya viwanda! Wanaitikia Amina! Amina! Kweli Na bado! Mpaka ajitokeze mmoja autumn Mwenge bahari! Ndio kizazi cha Tanzania kitaondoka na huu uzuzu!
Msomi katika uboracwake! Nyerere alituweza!
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii sababu zilezile na manamba ndio hizihizi sa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for?

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakti nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu.

Si shauri uombe hiyo nyambafu
Kweli kabisa usemayo. Mindset zetu zimechezewa.
 
Unapoonhelea maisha ya Marekani unaongelea kufanya kazi kufa na kupona la sivyo uta perish. Hata tz ukifanyakazi zako vizuri ambazo sio za kuajiliwa lazima utatoka kimaisha. Kila kitu kipo Huku, Mimi binafsi nasikia vizuri sana kama nikiwa sehemu ya watu wanaowahudumia watanzania wenzangu. Sipendi kuishi kwa hofu na kubaguliwa.
Ubaguliwe zaidi ya hapo? Lini mgao wa umeme utapita mtaani kwako! Lini mgao wa maji utapita mtaani kwako! Watoto wako bado wanaenda shule na vidumu vya maji na mfagio!
Ubaguzi huo unakutosha sana! Na bado!
 
Malipo kidogo kuliko manamba mlionao hapo bongo mnaowatumikisha kwenye viwanda vya wahindi , wengine mnawabaka na kuwafanyia abuses nyingine nyingi halafu mmewaajili kama wapagazi na wafanyakazi wa ndani na kwenye mashamba yenu mnawalipa 50000 kwa mwezi na kuwamistreat .
Unajua maana ya manamba we fal@
Kifupi, wazungu sio wajinga kutoa Green card, no free lunch. Wanafahamu kuwa you will be exploited to the maximum kwa wewe kufanyakazi kwao, yaani returns ni 100 times more than what you will earn. Hii kifupi ni aina nyingine ya biashara ya utumwa mambolea ambao mtutwa safari hii inakwenda mwenyewe kwa kutegewa chambo kidogo tu. utumwa huu wao wameamua kuufanikisha kwa kuuita green card, nchi za uarabuni wameuita kwa majina yao pia na vijana wengi wanamiminika kwenda huko pia. Sababu na kazi ni zilezile za utumwa wa enzi ile lakini sasa hivi wamemodernize. Zamani walikuwa wanataka watu mapandikizi wenye nguvu na afya wakafanye kazi za wakati ule lakini sasa wanataka watu wenye afya lakini wenye elimu na ujuzi wakafanyekazi za wakati huu.
 
Ubaguliwe zaidi ya hapo? Lini mgao wa umeme utapita mtaani kwako! Lini mgao wa maji utapita mtaani kwako! Watoto wako bado wanaenda shule na vidumu vya maji na mfagio!
Ubaguzi huo unakutosha sana! Na bado!
Hivi mgao wa umeme ni sababu ya msingi (sufficient) itakayonifanya mimi niihame nchi yangu na kwenda kujenga nchi za watu wengine? Kwamfano, kama wewe ni daktari wa binadamu, mgao wa umeme unatosha mimi kuwaacha kuwatibu ndugu zangu tz na kwenda kuwatibu wazungu wa nchi nyingine ili wasife na kuishi maisha marefu? eti nipate fedha kichele. Mbona watu wako haapa na wanamudu kusomesha wana wao?
 
Hivi mgao wa umeme ni sababu ya msingi (sufficient) itakayonifanya mimi niihame nchi yangu na kwenda kujenga nchi za watu wengine? Kwamfano, kama wewe ni daktari wa binadamu, mgao wa umeme unatosha mimi kuwaacha kuwatibu ndugu zangu tz na kwenda kuwatibu wazungu wa nchi nyingine ili wasife na kuishi maisha marefu? eti nipate fedha kichele. Mbona watu wako haapa na wanamudu kusomesha wana wao?
Ukiona mtu hajui madhara ya mgao wa umeme ni indicator Tisha ya kujua u primitive wa mtu! Ina maana nyumbani hutumiii computer, watoto hawana tablets za kufanyia home works, kulala tu na kujaza dunia!
Anyway babu yako alitumia kijinga cha moto! Wewe labda ume advance Tika kibatari hadi mshumaa! Kukosa umeme ni kitu cha kawaida!
Still living stone age life! Na wewe ni msomi kama unavyodai! Kweli tuna safari!
 
Hivi mgao wa umeme ni sababu ya msingi (sufficient) itakayonifanya mimi niihame nchi yangu na kwenda kujenga nchi za watu wengine? Kwamfano, kama wewe ni daktari wa binadamu, mgao wa umeme unatosha mimi kuwaacha kuwatibu ndugu zangu tz na kwenda kuwatibu wazungu wa nchi nyingine ili wasife na kuishi maisha marefu? eti nipate fedha kichele. Mbona watu wako haapa na wanamudu kusomesha wana wao?
Hivi unajenga nchi gani hasa bila umeme! I can see stone age mentality straight from the cave!
Mnajenga nchi au mnaiurudisha nchi nyuma kwa speed kubwa!
 
Hivi unajenga nchi gani hasa bila umeme! I can see stone age mentality straight from the cave!
Mnajenga nchi au mnaiurudisha nchi nyuma kwa speed kubwa!
hata umeme huko umekuja kwa mapambano makubwa kati ya wananchi na wanasiasa,. Hivi ni kweli unataka wajukuu na vitukuu vyako vije vikujue kama mtu aliyekimbia nchi yake kwasababu ya kukosa umeme na maji ya uhakika. Hakika watakukuona kama babu ambae hakuwa na maono, muoga, asiyeaminika, na asiyekuwa mzalendo na mwaminifu? Mimi na wenzangu tutabaki hapahapa na kuzikwa hapahapa, tutayabadilisha mambo kuwa bora kwa mikono na akili zetu tukiwa hapahapa bila kulikimbia tatizo. Nikiwa hapa sauti yangu ni kubwa na inayojiamini kuliko ningekuwa kwa waarabu. Siku moja nilikuwa ninamuona jamaa yangu yuko ulaya eti nae anaandamana bei za vitu zimepanda huko maisha yamekuwa magumu, nikamwangaliaaaaaaaaaa hadi nikashikwa na mkojo nikaenda chooni kukojoa na kwenda chumbani kulala.
 
Back
Top Bottom