Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.
Ndani ya h hyo miaka 60 nini kilichobadilika ili kuonesha kwamba kweli tuna uhuru? Mikopo inaongezeka kila uchwao, kodi na tozo ndo usiseme,,, afu ndani ya miaka yote 60 bado tunalalamika mgao wa maji na umeme! ¡!!!!! Yaan vtu vidogo kabisa vimeshndkana je unanishawish vp mm kwamba niwekeze bongo na hz kodi kila uchwao afu et ntatoboa. Yaan mm nlipe kodi afu watu wachache wakalipane posho mamilion na kununua VIEITE, afu unambie eti kuna kutoboa,,, thubutuuuuh
 
Kwahiyo ni weusi tu ambao hawatii sheria? Mtu mweusi anaonekana kwao kama mtu mhalifu by default, unless otherwise
KWA asilimia kubwa matukio mengi ya kuuliwa ni kutotii, maana hata nao askari wanauwawa Sana na wahalifu, thus usipotii uamini wewe sio raia mwema. Hakuna askari awezae mshoot mtu aliyetii amri
 
Mtu mwenye akili zote kichwani hawezi kushabikia kuwa economic refugee, badala yake anatumia akili, kipaji, nguvu na maarifa yake kuyageuza mazingira yake ili yamfae yeye na wengine, kila mtu lazima aache legacy kabla hajaondoka duniani, kama utashindwa kabisa kuacha uridhi mzuri kwa taifa lako angalau basi panda hata miti 2 tu ya kivuli kwenu ili watu wakukumbuke wakati wakijinga na jua kali.

Greencard na scheme nyingine za aina hii ziko mataifa ya Marekani, canada, Uingereza, Ufaransa na na nchi za Nordic. Leo lao kuu ni kuchukua bure nguvukazi ya mataifa maskini iliyokuzwa na kusomeshwa kwa taabu sana kwa kodi za nchi na watu maskini bila kulipa hata shilingi moja wala bila mikataba ya aina yoyote. Nguvukazi ya mamilioni ya watu inasombwa kwenda marekani na nchi nyingine kwenda kufanyishwa kazi mbalimbali zinazojenga uchumi wao.

Watu wa nchi hizo wanakataa kuzaana kwa kuogopa maisha magumu. Ushoga ni sehemu ya mkakati huo wa kukataa kuzaana, yaani mume anamuoa mume, na mke anamuoa mke ili mimba isitokee. Lakini ukienda kule marekani, pamoja na watu kukakaa kuoa, lakini hata hao wachache waliopo wengi wao wako jeshini wamesambazwa kwenye vikosi vilivyoko nje ya marekani karibu dunia nzima ili kulinda maslahi ya Marekani duniani kote.

Ni mtu mjinga tu anaesherehekea kuikimbia nchi yake, eti ameukata, yaani uzuzu wa starehe za kitumwa.
Kuna diaspora wa USA amekotembea mkeo mbona unachuki hivyo
 
Watu kama huyu mleta maada usiombe awe bank halafu una tatizo lako technical na yeye ndio anatakiwa kukupa huduma. Unaweza kulia.

The only reason ilinifanya nikaacha kutumia local banks ni kwa sababu ya uwepo wa wafanya kazi ambao wana akili kama za mtoa maada.
Nakuunga mkono,, local bank nyngi sjui huwa wanaajiri wakulima pale bank?? Yan ktu kdogo tu atajizungusha mpaka kero. Nilihamia equity bank japo kuna baadh ya mikoa hawana branches. Hv n bank gan nyngne ya kigeni ambayo n nzuri, reliable, yenye makato affordable kwa hapa bongo?
 
Kwenye akili yako wewe unadhani kule Marekani hakuna watu maskini, ombaomba, unadhani kuwa hakuna watoto wanaokaa chini darasani, hakuna wamachinga, hakuna malaya, hakuna wadokozi hakuna wanaume wanaoshikishwa ukuta wapate chochote, wanaodeki na kuosha mbwa. Akili na mawazo kama hayo ndiyo yanayowafanya watu wapande boti wafie kwenye maji na wewe umdharau huyo mama. Toka huko kaka, tembea uone.
Dunia ni kijiji. Unatafuta pesa kokote unapoona unafaa hata iwe Canada, Marekani, Austria au middle East.
1. Ubaguzi (CCM na Chadema), Uslam na ukristo
2. Ushoga hata hapa Tanzania wapo kumbuka Sodoma na Gomora
3. Umasikini hata hapa bongo upo hata serikali yenyewe ni masikini
4. Umalaya upo
Dunia ina enda kwa kasi sana kwahiyo bila pesa huwezi ishi kwenye nchi yoyote ile.
Mwenyewe nina mpango wa kwenda ulaya hata kubeba maboksi ni sawa.
 
Ndani ya h hyo miaka 60 nini kilichobadilika ili kuonesha kwamba kweli tuna uhuru? Mikopo inaongezeka kila uchwao, kodi na tozo ndo usiseme,,, afu ndani ya miaka yote 60 bado tunalalamika mgao wa maji na umeme! ¡!!!!! Yaan vtu vidogo kabisa vimeshndkana je unanishawish vp mm kwamba niwekeze bongo na hz kodi kila uchwao afu et ntatoboa. Yaan mm nlipe kodi afu watu wachache wakalipane posho mamilion na kununua VIEITE, afu unambie eti kuna kutoboa,,, thubutuuuuh
Kwahiyo Kodi yako kupelekwa Ukraine kupigana ni sawa?
 
Haahhh ungetoacna statistics za wanaomaliza vyuo Tanzania na kupata ajira! Na statistics za vijana wanojiajiri, ingesaidia sana! Hoja yangu iko pale ukiingia Marekani with legal papers huishii kuosha magari! Kazi za suluba hufanya Mexicans! Sijawahi kuona miaka yangu Marekani au nikiwa Texas akifanya mtu mwenye legal papers
Vijana ambao hawajiali haimaanishi kuwa fursa za kujiajili hakuna. Tanzania hakuna mtu analishwa Wala kutibiwa Bure lakini Marekani Kuna maskini wanaosaidiwa kuishi.

Kuna aina tatu za umaskini duniani: umaskini wa kipato (< $1 kwa siku), umaskini wa chakula (<milo 3 kkwa siku) na umaskini wa akili. Marekani Kuna watu wengi wenye umaskini wa chakula, wanalishwa na serikali, yako maduka ambayo serikali imeyaainisha maskini wakachukue misosi. Au na hili hulifahamu pia. Shida yenu mmevamia TU hamna mnachokijua huko. Kuna watu wengi pia ni maskini wa akili.
 
Nakuunga mkono,, local bank nyngi sjui huwa wanaajiri wakulima pale bank?? Yan ktu kdogo tu atajizungusha mpaka kero. Nilihamia equity bank japo kuna baadh ya mikoa hawana branches. Hv n bank gan nyngne ya kigeni ambayo n nzuri, reliable, yenye makato affordable kwa hapa bongo?
Me natumia KCB kwa sasa,

Wako poa so far shida tu transaction za refund zinapitia kenya hivyo unakatwa makato mara mbili USD to KSh then KSH to TSH.

Pia Kadi huwa zinatoka Nairobi so baada ya week 3 hivi ndo zinafika Bongo.
 
KWA asilimia kubwa matukio mengi ya kuuliwa ni kutotii, maana hata nao askari wanauwawa Sana na wahalifu, thus usipotii uamini wewe sio raia mwema. Hakuna askari awezae mshoot mtu aliyetii amri
Hiyo sio kweli bwashee, Kuna kitu kinaitwa ukamataji salama. Kuna sheria za ukamataji hadi watu kufikishwa kwenye mikono ya sheria. Inafahamika ni wapi nguvu ipi ya ukamataji itumike, kuua mtuhumiwa ni common kwa blacks TU. Je ni weusi TU wasiotii sheria? Kwanini hawatizitii sheria na ni sheria zipi hizo ngumu kiasi hicho? Ukweli ni kwamba blacks wengi hawana kazi za uhakika, wanauza na kutumia drugs sana, ni wezi hata kwenye maduka na migahawa hawatakiwi, wanalewa sana pombe kupita kiasi, hawana makazi maalum, hawalipi madeni Yao. Mimi niliingiaga kwenye Mgahawa mmoja wakakataa kunihudumia, hiiyo ilimpataga hata Oprah sehemu fulani. Wameshatu label kuwa ni wezi, maskini na wafanyakazi chafu.

Walinishangaa walipoona ninatoa pesa cash kununua pombe Kali aina ya magalitha pale kwenye Mgahawa wao. Hawakuamini kama Nina fedha.
 
Hiyo sio kweli bwashee, Kuna kitu kinaitwa ukamataji salama. Kuna sheria za ukamataji hadi watu kufikishwa kwenye mikono ya sheria. Inafahamika ni wapi nguvu ipi ya ukamataji itumike, kuua mtuhumiwa ni common kwa blacks TU. Je ni weusi TU wasiotii sheria? Kwanini hawatizitii sheria na ni sheria zipi hizo ngumu kiasi hicho? Ukweli ni kwamba blacks wengi hawana kazi za uhakika, wanauza na kutumia drugs sana, ni wezi hata kwenye maduka na migahawa hawatakiwi, wanalewa sana pombe kupita kiasi, hawana makazi maalum, hawalipi madeni Yao. Mimi niliingiaga kwenye Mgahawa mmoja wakakataa kunihudumia, hiiyo ilimpataga hata Oprah sehemu fulani. Wameshatu label kuwa ni wezi, maskini na wafanyakazi chafu.
Matendo yetu yametureflet hivyo.
Muhalifu anaetoa silaha akudhuru unamkamataje sasa, zaidi ya kuonyeshana umahiri wa kutumia silaha.
Mtu mwema utii sheria na utoa ushirikiano, kama umetendewa visivyo haki wakati wa ukamataji mbona sheria zao zinawapa haki.
 
Nchini pana utajiri mwingi Sana na ni rahisi kutoboa kuliko nje lakini ni hadi uwe na macho, bila macho utasaga Sana rhumba.
 
Matendo yetu yametureflet hivyo.
Muhalifu anaetoa silaha akudhuru unamkamataje sasa, zaidi ya kuonyeshana umahiri wa kutumia silaha.
Mtu mwema utii sheria na utoa ushirikiano, kama umetendewa visivyo haki wakati wa ukamataji mbona sheria zao zinawapa haki.
Yule kijana wa juzi aliyeuawa na kusababisha maandamano kote Amerika tayari alikuwa amedhibitiwa chini na yote askari lakini alizidi kumkaba hadi akapoteza maisha.
 
Yule kijana wa juzi aliyeuawa na kusababisha maandamano kote Amerika tayari alikuwa amedhibitiwa chini na yote askari lakini alizidi kumkaba hadi akapoteza maisha.
Lile ni tukio binafsi la kibaguzi na sio utaratibu wa police thus walichukuliwa hatua wahusika. Hizi hata afrika mbona wengi tu uuwa mikononi Mwa police, mfano wafanyabiashara wa madini au vipigo vituoni.
 
Lile ni tukio binafsi la kibaguzi na sio utaratibu wa police thus walichukuliwa hatua wahusika. Hizi hata afrika mbona wengi tu uuwa mikononi Mwa police, mfano wafanyabiashara wa madini au vipigo vituoni.
Floyd kafa kutokana na rangi yake ya ngozi baaasi, na sio huyo TU,, wako wengi sana wanaokufa off camera kwa namna hiyo. Hebu nenda pale Detroit, weusi wanakufa sana na hata police hawana habari kwakuwa Kuna weusi wengi sana waliotelekezwa baada ya viwanda kuhamishiwa nje ya nchi. Ukitaka nyumba rahisi nenda kule, ukitaka bangi nenda kule, kuporwa nenda kule na ukitaka kufa nenda kule pia utapata.

Natamani mtu anapowahadithia mambo mazuri ya kule ahadithie na mabaya ya kule pia ili kijana achague kwa kujua. Mimi nilimchukia kaka yangu tangu utotoni hadi siku hizi za karibuni kwakunificha ukweli fulani. Siku moja huko kijijini kwetu nikiwa mdogo kaka yangu aliniambia twende kwenye shamba letu la zamani mbali kidogo tukale maembe. Habari Ile ilinifurahisha sana kwakua aliniambia Kuna maembe dodo na viringe mengi sana yanayodondika yenyewe chini kwa kuiva. Kosa lake hakuniambia kuwa ni mbali na njia Ina mbigili, mashonanguo na jua Kali ili nibebe viatu vyangu. Nilipata tabu hata Raha ya maembe Sikuwa nayo tena japo tuliyakuta kiasi chake. Nimerudi nyumbani nikiwa ninalia na miguu inawaka moto na nguo imejaa mashona nguo.
 
Floyd kafa kutokana na rangi yake ya ngozi baaasi, na sio huyo TU,, wako wengi sana wanaokufa off camera kwa namna hiyo. Hebu nenda pale Detroit, weusi wanakufa sana na hata police hawana habari kwakuwa Kuna weusi wengi sana waliotelekezwa baada ya viwanda kuhamishiwa nje ya nchi. Ukitaka nyumba rahisi nenda kule, ukitaka bangi nenda kule, kuporwa nenda kule na ukitaka kufa nenda kule pia utapata.

Natamani mtu anapowahadithia mambo mazuri ya kule ahadithie na mabaya ya kule pia ili kijana achague kwa kujua. Mimi nilimchukia kaka yangu tangu utotoni hadi siku hizi za karibuni kwakunificha ukweli fulani. Siku moja huko kijijini kwetu nikiwa mdogo kaka yangu aliniambia twende kwenye shamba letu la zamani mbali kidogo tukale maembe. Habari Ile ilinifurahisha sana kwakua aliniambia Kuna maembe dodo na viringe mengi sana yanayodondika yenyewe chini kwa kuiva. Kosa lake hakuniambia kuwa ni mbali na njia Ina mbigili, mashonanguo na jua Kali ili nibebe viatu vyangu. Nilipata tabu hata Raha ya maembe Sikuwa nayo tena japo tuliyakuta kiasi chake. Nimerudi nyumbani nikiwa ninalia na miguu inawaka moto na nguo imejaa mashona nguo.
Ukosefu wa maadili na maisha ya vurugu waliochagua blacks ikiwemo kutokutii kwao sheria kisiwe kigezo cha wao kuachwa wavunje Sheria kisa tu ni blacks.Uprimitives wa black american hauna tofauti na watu wa sauzi.
 
Ila jamani marekani twendeni..
Kusema ukweli mimi sioni shida watu kusambaa huku na huko juu ya mgongo wa dunia bila kujali mipaka ya koo zetu, makabila yetu, dini zetu, nchi zetu, na hata mabara yetu kujitafutia ridhiki na ujuzi. Lakini tunatakiwa twende huko tukachume mali na elimu/ujuzi na kurudi nao nyumbani kwetu ili kuboresha familia zetu, koo zetu, makabila yetu, nchi zetu, bara letu na watu wetu. Think globally and Act locally. Hata mataifa ya wenzetu walifanya hivyo, wanafanya hivyo na wataendelea kufanya hivyo ili kuboresha maisha ya watu wao, yaani wanakwenda kuiba mali, elimu, uzoefu na technologia zao na kuzirudisha kwao. Hii ni tofauti na hawa maboya wetu sisi ambao wanakwenda kule na familia zao kabisa na kizazi chao eti kwa lengo la kukimbia ukosefu wa mvua, umeme, demokrasia, maendeleo, usafi wa mitaa na sababu nyingine za hovyo kabisa, yaani wameikana Tanzania na kuchukua uraia wa marekani au Ulaya na wanatamani hata watoto wao wazaliwe hukohuko ili wawe raia wa nchi hizo. Watu wengi mawazo kama haya kuwapa uraia pacha ni hasara kubwa badala ya faida.

Tunapenda watu ambao wako tayari kwenda hata kuliwa kiboga huko nchi za watu lakini walete mitaji, uzoefu na ujuzi kwenye nchi zao itakayosaidia kuboresha familia, koo, makabila, nchi na bara lao badala ya wao kwenda huko kuwa manamba wa milele pamoja na watoto wao, wajukuu, vilembwe na uzao wao wote. Laana LAZIMA itawaandama leo hata milele. Wayahudi walijaribu kufanya hivyo na laana likawaandama kila walikokuwa ingawa walikuwa matajiri wakubwa huko walikokuwa mpaka pale walipoamua kurudi kwao tena Israel. Hii ni kuonyesha kuwa furaha ya kweli haitokani na kuwa na fedha nyingi pekee bali ni mkusanyiko wa vitu vingi sana. Mimi naelewa kwanini watu waliokuwa nje ya nchi wanataka watu wengine pia kutoka kwao waende kule, ukweli ni kwamba hawana furaha kule na hawana amani kule ingawa wana hela japo kidogo. Wanatafuta watu wa kuwapa amani, wa kutembeleana, wa kunywa na kula pamoja, wa kucheka pamoja na kusaidiana vitu ambavyo wanavikosa sana kule waliko. Siku moja nilialikwa kwenye pati yake mzee mmoja muhimu wa kizungu lakini eti lazima niende na chakula changu na kinywaji changu pale kama mchango, huu ni upuuzi ambao sisi huku hatuna, utanaendaje na ubwabwa wako wako kwenye sherehe ya mtu?
 
Afrika ya weusi yaani ya subsahara yote ufanana kuanzia life staili hadi akili za viongozi.Angalau Afrika ya waarabu wao Wana kaunafuu kidogo na kilichowasaidia ni mfumo wa dini ya kiislamu angalau umewashape watawala kuwatendea haki watawaliwa. Ni nchi gani ya kiafrica Ina maendeleo baada ya UHURU, maendeleo sio idadi ya magorofa bali uhakika wa kupata basic needs kwa wananchi.
Huyo jamaa ni fala ,wala usijibizane naye
 
Back
Top Bottom