Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Sawa...Hata ukijaribu kuongea mabaya ya Marekani bado vijana tutaenda Marekani tu!.

Bongo bahati mbaya [emoji23][emoji23]....
Hakuna mtu anasema watu wasiende Marekani, kama chooni tunakwenda kwanini iwe vibaya kwenda marekani taifa kubwa? Shida yangu iko pale mtu anaposema kuwa hakuna baya kila mtu ana maisha mazuri na lazima atatoboa tu litoke jua inyeshe mvua. Na pale anaposema anakwenda kule kwakuwa tz hakuna umeme na maji. Ninachokifanya mimi ni ku balance story, na kuendeleza mchakato wa decolonization kwenye mawazo (mindset) ya vijana wetu.
 
Yani mtu uzi mzima ni kusema negative tu, kama kafeli yeye avunge.

Kila mtu ako na plans zake na ndoto pia.

Huwezi fananisha US na Tz hata siku moja,
Utaonekana akili huna na punguani.

Kila mtu apiganie ndoto zake, tusipangiane maisha.

Abaki mwenyewe ajenge nchi yake ya mafisadi na rushwa kila kona.

US is a land of opportunities as long as ukiwa na target zako, unatusua vizuri.

Ngoja nijipange na mimi, uzalendo mwingi utakufa njaa.

Dunia yote ni yetu, na tunastahili kuishi sehemu yeyote.
tumekubaliana kuwa akina cassavaleaves na wenzake aongelee yale mazuri tu na mimi na wenzangu tuongelee yale mabaya tu ili kuweka vizuri mizania kwa vijana wetu ambao hawajui hili wala lile kuhusu maisha ya ng'ambo. Maana ni upuuzi mtu kusema Marekani hakufai kabisaa kama vile ilivyo upuuzi pia kusema Tanzania hakufai kabisaa na kusema marekani hakuna baya kabisaa kila mtu anatusua.
 
Wewe usiombe ili ubaki bongo upige pesa mingi.
Siombi ng'o nitaenda kwa visa na passport ya tz muda wa visa ukiisha narudi. Hapa fursa zipo ndio maana unaona foleni za magari kila barabara kila mtaa wa kila mkoa, nyumba nyingi zimejengwa mitaani, super markets zinaongezeka, wenye mashamba ya miti ya mbao, matunda , mkonge, korosho wanaongezeka, wenye mashamba ya Kuku wa nyama, mayai na maziwa wanaongezeka, waimbaji wapo, vituo vya mafuta viko kila Kona, shule na vyuo binafsi viko kila Kona, watangazaji na wachambuzi wa mpira kwenye vituo vya redio na tv wanaongezeka hata Zembwela na mpoki ni watangazaji. Wewe unafeli wàpi? Kinachokosekana hapa kwetu ni ushoga wa wazi wenye tija kama Marekani.
 
Siombi ng'o nitaenda kwa visa na passport ya tz muda wa visa ukiisha narudi. Hapa fursa zipo ndio maana unaona foleni za magari kila barabara kila mtaa wa kila mkoa, nyumba nyingi zimejengwa mitaani, super markets zinaongezeka, wenye mashamba ya miti ya mbao, matunda , mkonge, korosho wanaongezeka, wenye mashamba ya Kuku wa nyama, mayai na maziwa wanaongezeka, waimbaji wapo, vituo vya mafuta viko kila Kona, shule na vyuo binafsi viko kila Kona, watangazaji na wachambuzi wa mpira kwenye vituo vya redio na tv wanaongezeka hata Zembwela na mpoki ni watangazaji. Wewe unafeli wàpi? Kinachokosekana hapa kwetu ni ushoga wa wazi wenye tija kama Marekani.

Wewe utakuwa chawa,mla rushwa,fisadi ndo maana unaitetea nchi yako ya kijinga Hii si tamani kuwepo Tz ata sec 1
 
Sawa sawa
Me natumia KCB kwa sasa,

Wako poa so far shida tu transaction za refund zinapitia kenya hivyo unakatwa makato mara mbili USD to KSh then KSH to TSH.

Pia Kadi huwa zinatoka Nairobi so baada ya week 3 hivi ndo zinafika Bongo.
 
Wewe utakuwa chawa,mla rushwa,fisadi ndo maana unaitetea nchi yako ya kijinga Hii si tamani kuwepo Tz ata sec 1
Siko tayari kwenda nikapapaswe na kukung'utwa ilimradi TU nitoboe. Nitabaki hapahapa ambako watu wanatajirika hata kwa kuuza mafuta ya korie na kuyaita ya upako. Nchi ambayo hata mganga wa kienyeji anatajirika, nchi ambayo hata mavi ya Kuku ni dili, nchi ambayo mchimbaji mdogo kabisa anaibuka na jiwe la billion 7, nchi ambayo imezunguukwa na bahari, maziwa na mito, nchi ambayo bado unalima na kuvuna bila kuweka mbolea ya kiwandani.. kweli mashoga wanazaliwa wakiwa mashoga. Sioni sababu ya kuishi milele mahali nisipopendwa.

Yaani hata wazungu wenyewe hawapendi kuishi humo kwenye nchi zao, maisha Yao ni magumu sana. Ndio maana kila mtu anahaha kuondoka kwenda nchi nyingine kwa njia za utalii, volunteer, charity, na kila mbinu.
 
Tanzania Kuna fursa nyingi kwa vijana kuliko Marekani. Tofauti ni kuwa ukiwa Marekani lazima ukasane saaaana ili utoboe kitu ambacho kinawezekana hata Huku Tanzania. Diamond platinum, harmonìze, na wengine wako vile kwa kuzanana saaana wakiwa hapahapa Tanzania. Marekani Kuna waimbaji weeengi sana huko lakini wanaofanikiwa ni wachache. Dawa kubwa iwe ni kufanyakazi kila kitu kwa bidii sio kuhamia Marekani. Tuwaambie ukweli vijana badala ya kuwapa false hope (matumaini bandia). Kifupi Marekani Kuna maskini wengi sana kuliko Tanzania, Kuna wafungwa wengi sana kuliko Tanzania, Kuna wasiokuwa na kazi wengi sana kuliko Tanzania, Kuna mashoga wengi sana kuliko Tanzania na Kuna wasiokuwa na elimu wengi Sana kuliko Tanzania na Kuna wabwia unga wengi kuliko Huku kwetu,

Ndugu Kavulata salama huko?

Najua wengi tuko absorbed na World Cup, na kila mtu akiomba dua timu yake ifanikiwe, na tukiomba kizalendo, basi mioyo yetu iko katika timu zetu bara la Africa, ingawa hatujui zilizobaki zitatufikisha wapi hasa! Anyway nilikuwa nasoma magazeti na updates za Immigration US, na nikaona hiyo nukuu yako inayosema Tanzania ina fursa nyingi kwa vijana kuliko Marekani! Huwa nabakia kushangaa, mbona hutoi statistics? Na kama nilivyosema toka awali, huwezi kulinganisha Uchumi wa Marekani na Tanzania! Utakuwa hauko fare kabisa, ni kukusoma ufahamu wa elimu ya msingi katika uchumi!

Hata hivyo kama Marekani haina fursa kama unavyosema wewe, kitu gani kinafanya Idadi ya watu wanaochukua uraia wa Marekani kuwa kubwa kila Mwaka? Na China miaka mingi ndio imekuwa ikiongoza kwa watu wake kuchukua uraia wa Marekani unasemaje kwa hilo? Hao Wachina hawajui wanalolifanya?

Soma taarifa hii:


Immigration naturalizations in the US highest in a decade​

Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.

Story at a glance


  • The number of immigrants becoming citizens via naturalization is at 10-year high, according to a new Pew Research Center survey.

  • Naturalizations are up among immigrants from every country except China.

  • While historically immigrants from China have been one of the top 10 groups to earn citizenship through naturalization, naturalizations have gone down by 20 percent compared to the pre-pandemic average.

The number of immigrants choosing to become citizens is increasing in the United States after a striking drop at the beginning of the pandemic, a new study shows.

An analysis from the Pew Research Center published Friday found that over 900,000 U.S. immigrants became citizens of the U.S. in the 2022 fiscal year.

That total represents the third-highest number of immigrants becoming citizens in a single year on record and the most of in any fiscal year since 2008, according to the analysis.

Pew researchers looked at data from the Department of Homeland Security and the Census Bureau released during the first three-quarters of the year.

The spike in naturalizations coincides with an uptick in immigrants receiving lawful green cards and more foreign students, tourists and other lawful temporary migrants arriving in the country after an early pandemic dip, according to another Pew survey.

Researchers found that naturalizations in the United States are back to where they were before the pandemic began in 2020.

For about roughly a decade before the pandemic, the average number of naturalizations per three months in the United States was 190,000.

That number plummeted to 81,000 between April and June of 2020 during the early months of the coronavirus outbreak, the analysis found.

Naturalizations finally rebounded and surpassed the country’s quarterly average by 10,0000 in early 2021.

Naturalizations from immigrants from most countries have gone up by 20 percent their pre-pandemic averages, researchers found.

But researchers were surprised that there has only been an 8 percent increase in naturalizations from immigrants from Mexico compared to the nation’s pre-pandemic average.

The country has home to the most immigrants who achieve citizenship through naturalization every year for the past 25 years.

Meanwhile, naturalizations among immigrants from sub-Saharan Africa, Asia, Latin America and the Middle East and North Africa have gone up by 15 to 26 percent more compared to their pre-pandemic average, according to the survey.

One exception to the upward trend is China. The naturalization rate among immigrants from China has plummeted, decreasing by 20 percent compared to pre-pandemic levels.

Swala la msingi ambalo la kujiuliza Mwaka 2022 idadi ya watu kama 900,000. waliamua kuchukua uraia wa Marekani, unadhani ni nini hasa kiliwasukuma kufanya hivyo! Jibu la msingi ni kwamba huko walikotoka kuna fursa chache kulinganisha na Marekani! Licha ya yote utakayoyasema kuhusu USA, lakini kuna fursa za msingi wengi watu wa kuja tumeziona kuliko tuliko toka.
 
Ndugu Kavulata salama huko?

Najua wengi tuko absorbed na World Cup, na kila mtu akiomba dua timu yake ifanikiwe, na tukiomba kizalendo, basi mioyo yetu iko katika timu zetu bara la Africa, ingawa hatujui zilizobaki zitatufikisha wapi hasa! Anyway nilikuwa nasoma magazeti na updates za Immigration US, na nikaona hiyo nukuu yako inayosema Tanzania ina fursa nyingi kwa vijana kuliko Marekani! Huwa nabakia kushangaa, mbona hutoi statistics? Na kama nilivyosema toka awali, huwezi kulinganisha Uchumi wa Marekani na Tanzania! Utakuwa hauko fare kabisa, ni kukusoma ufahamu wa elimu ya msingi katika uchumi!

Hata hivyo kama Marekani haina fursa kama unavyosema wewe, kitu gani kinafanya Idadi ya watu wanaochukua uraia wa Marekani kuwa kubwa kila Mwaka? Na China miaka mingi ndio imekuwa ikiongoza kwa watu wake kuchukua uraia wa Marekani unasemaje kwa hilo? Hao Wachina hawajui wanalolifanya?

Soma taarifa hii:


Immigration naturalizations in the US highest in a decade​

Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.

Story at a glance


  • The number of immigrants becoming citizens via naturalization is at 10-year high, according to a new Pew Research Center survey.

  • Naturalizations are up among immigrants from every country except China.

  • While historically immigrants from China have been one of the top 10 groups to earn citizenship through naturalization, naturalizations have gone down by 20 percent compared to the pre-pandemic average.

The number of immigrants choosing to become citizens is increasing in the United States after a striking drop at the beginning of the pandemic, a new study shows.

An analysis from the Pew Research Center published Friday found that over 900,000 U.S. immigrants became citizens of the U.S. in the 2022 fiscal year.

That total represents the third-highest number of immigrants becoming citizens in a single year on record and the most of in any fiscal year since 2008, according to the analysis.

Pew researchers looked at data from the Department of Homeland Security and the Census Bureau released during the first three-quarters of the year.

The spike in naturalizations coincides with an uptick in immigrants receiving lawful green cards and more foreign students, tourists and other lawful temporary migrants arriving in the country after an early pandemic dip, according to another Pew survey.

Researchers found that naturalizations in the United States are back to where they were before the pandemic began in 2020.

For about roughly a decade before the pandemic, the average number of naturalizations per three months in the United States was 190,000.

That number plummeted to 81,000 between April and June of 2020 during the early months of the coronavirus outbreak, the analysis found.

Naturalizations finally rebounded and surpassed the country’s quarterly average by 10,0000 in early 2021.

Naturalizations from immigrants from most countries have gone up by 20 percent their pre-pandemic averages, researchers found.

But researchers were surprised that there has only been an 8 percent increase in naturalizations from immigrants from Mexico compared to the nation’s pre-pandemic average.

The country has home to the most immigrants who achieve citizenship through naturalization every year for the past 25 years.

Meanwhile, naturalizations among immigrants from sub-Saharan Africa, Asia, Latin America and the Middle East and North Africa have gone up by 15 to 26 percent more compared to their pre-pandemic average, according to the survey.

One exception to the upward trend is China. The naturalization rate among immigrants from China has plummeted, decreasing by 20 percent compared to pre-pandemic levels.

Swala la msingi ambalo la kujiuliza Mwaka 2022 idadi ya watu kama 900,000. waliamua kuchukua uraia wa Marekani, unadhani ni nini hasa kiliwasukuma kufanya hivyo! Jibu la msingi ni kwamba huko walikotoka kuna fursa chache kulinganisha na Marekani! Licha ya yote utakayoyasema kuhusu USA, lakini kuna fursa za msingi wengi watu wa kuja tumeziona kuliko tuliko toka.
Fanya utafiti vizuri, hoji watu just rondomly ujue sababu za watu kuja na kuchukua uraia huko, na wahoji ujue wangapi very happy, wako happy na hawako happy kuishi huko nani anajutia kuja na kuchukua uraia huko.

Ziko sababu nyingi kwanini watu wanakuja na kuchukua uraia huko. Wengi wao walipata scholarships baada ya kumaliza vyuo wakalazinizwa kubakia huko, wengine wametukwa nabserikali zao kimkakati kukamilisha kazi maalumu kama vile vizi wa technology, kufuatia wahalifu wao waliokimbilia huko, wengine walidanganyika TU kuwa Kuna kazi hadi visa zao zikaisha wameamua kujificha kubakia hukohuko kukwepa kukamatwa, wengine ni wawekezaji, wengine wamepata kazi za ajabuajabu kama za kuuza vitu kwenye stores, kukata majani, kufagia barabara, kuogesha mbwa, kutunza wazee, Kuzibua mitaro, kufundisha na udereva wa malori. Kazi za hivyo zipo kwakuwa vijana wao hawazipendi. kabisaa. Vijana wao wengi wako kwenye Kambi za majeshi kote duniani. Sasa hizo kazi ni za chini sana tena sana, hazikufanyi wewe ufanye matanuzi badala yake lazima ufanye hadi masaa ya ziada au kazi zaidi ya moja ili nawe uweze ku service madeni yako ya mkopo wa gari, pango la nyumba na Kodi nyingine, yaani lazima uishi hovyohovyo ili ubakiwe na kitu. Kila mtu huko Marekani ni bahili.
 
Ndugu Kavulata salama huko?

Najua wengi tuko absorbed na World Cup, na kila mtu akiomba dua timu yake ifanikiwe, na tukiomba kizalendo, basi mioyo yetu iko katika timu zetu bara la Africa, ingawa hatujui zilizobaki zitatufikisha wapi hasa! Anyway nilikuwa nasoma magazeti na updates za Immigration US, na nikaona hiyo nukuu yako inayosema Tanzania ina fursa nyingi kwa vijana kuliko Marekani! Huwa nabakia kushangaa, mbona hutoi statistics? Na kama nilivyosema toka awali, huwezi kulinganisha Uchumi wa Marekani na Tanzania! Utakuwa hauko fare kabisa, ni kukusoma ufahamu wa elimu ya msingi katika uchumi!

Hata hivyo kama Marekani haina fursa kama unavyosema wewe, kitu gani kinafanya Idadi ya watu wanaochukua uraia wa Marekani kuwa kubwa kila Mwaka? Na China miaka mingi ndio imekuwa ikiongoza kwa watu wake kuchukua uraia wa Marekani unasemaje kwa hilo? Hao Wachina hawajui wanalolifanya?

Soma taarifa hii:


Immigration naturalizations in the US highest in a decade​

Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.

Story at a glance


  • The number of immigrants becoming citizens via naturalization is at 10-year high, according to a new Pew Research Center survey.

  • Naturalizations are up among immigrants from every country except China.

  • While historically immigrants from China have been one of the top 10 groups to earn citizenship through naturalization, naturalizations have gone down by 20 percent compared to the pre-pandemic average.

The number of immigrants choosing to become citizens is increasing in the United States after a striking drop at the beginning of the pandemic, a new study shows.

An analysis from the Pew Research Center published Friday found that over 900,000 U.S. immigrants became citizens of the U.S. in the 2022 fiscal year.

That total represents the third-highest number of immigrants becoming citizens in a single year on record and the most of in any fiscal year since 2008, according to the analysis.

Pew researchers looked at data from the Department of Homeland Security and the Census Bureau released during the first three-quarters of the year.

The spike in naturalizations coincides with an uptick in immigrants receiving lawful green cards and more foreign students, tourists and other lawful temporary migrants arriving in the country after an early pandemic dip, according to another Pew survey.

Researchers found that naturalizations in the United States are back to where they were before the pandemic began in 2020.

For about roughly a decade before the pandemic, the average number of naturalizations per three months in the United States was 190,000.

That number plummeted to 81,000 between April and June of 2020 during the early months of the coronavirus outbreak, the analysis found.

Naturalizations finally rebounded and surpassed the country’s quarterly average by 10,0000 in early 2021.

Naturalizations from immigrants from most countries have gone up by 20 percent their pre-pandemic averages, researchers found.

But researchers were surprised that there has only been an 8 percent increase in naturalizations from immigrants from Mexico compared to the nation’s pre-pandemic average.

The country has home to the most immigrants who achieve citizenship through naturalization every year for the past 25 years.

Meanwhile, naturalizations among immigrants from sub-Saharan Africa, Asia, Latin America and the Middle East and North Africa have gone up by 15 to 26 percent more compared to their pre-pandemic average, according to the survey.

One exception to the upward trend is China. The naturalization rate among immigrants from China has plummeted, decreasing by 20 percent compared to pre-pandemic levels.

Swala la msingi ambalo la kujiuliza Mwaka 2022 idadi ya watu kama 900,000. waliamua kuchukua uraia wa Marekani, unadhani ni nini hasa kiliwasukuma kufanya hivyo! Jibu la msingi ni kwamba huko walikotoka kuna fursa chache kulinganisha na Marekani! Licha ya yote utakayoyasema kuhusu USA, lakini kuna fursa za msingi wengi watu wa kuja tumeziona kuliko tuliko toka.
Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.
By Alejandra O’Connell-Domenech | Dec. 02, 2022
Fanya utafiti vizuri, hoji watu just rondomly ujue sababu za watu kuja na kuchukua uraia huko, na wahoji ujue wangapi very happy, wako happy na hawako happy kuishi huko nani anajutia kuja na kuchukua uraia huko.

Ziko sababu nyingi kwanini watu wanakuja na kuchukua uraia huko. Wengi wao walipata scholarships baada ya kumaliza vyuo wakalazinizwa kubakia huko, wengine wametukwa nabserikali zao kimkakati kukamilisha kazi maalumu kama vile vizi wa technology, kufuatia wahalifu wao waliokimbilia huko, wengine walidanganyika TU kuwa Kuna kazi hadi visa zao zikaisha wameamua kujificha kubakia hukohuko kukwepa kukamatwa, wengine ni wawekezaji, wengine wamepata kazi za ajabuajabu kama za kuuza vitu kwenye stores, kukata majani, kufagia barabara, kuogesha mbwa, kutunza wazee, Kuzibua mitaro, kufundisha na udereva wa malori. Kazi za hivyo zipo kwakuwa vijana wao hawazipendi. kabisaa. Vijana wao wengi wako kwenye Kambi za majeshi kote duniani. Sasa hizo kazi ni za chini sana tena sana, hazikufanyi wewe ufanye matanuzi badala yake lazima ufanye hadi masaa ya ziada au kazi zaidi ya moja ili nawe uweze ku service madeni yako ya mkopo wa gari, pango la nyumba na Kodi nyingine, yaani lazima uishi hovyohovyo ili ubakiwe na kitu. Kila mtu huko Marekani ni bahili.


Kavulata:

Mishahara yapaa tena​

Viwango vya mshahara
Katika viwango hivyo vipya, mfanyakazi anayefanya kazi katika migahawa, nyumba za kulala wageni na baa atalipwa kima cha chini cha Sh150,000 kwa mwezi, hoteli za kati Sh180,000 na hoteli za kitalii atalipwa Sh300,000.
Mfanyakazi wa kazi za ndani ambaye haishi katika kaya ya mwajiri atalipwa chini ya Sh120,000, huku wale wasio katika kundi hilo watalipwa Sh60,000 kwa mwezi, huku wafanyakazi wa kazi za ndani walioajiriwa na Wanadiplomasia na wafanyabiashara wakubwa wakilipwa kima cha chini cha Sh250,000.
Wafanyakazi wanaofanya kazi katika huduma za mawasiliano watalipwa kima cha chini cha Sh500,000, wakati wafanyakazi wa huduma za utangazaji na vyombo vya habari, posta na usafirishaji vifurushi watalipwa kima cha chini Sh225,000.
Katika hoteli kubwa za kitalii, mfanyakazi atalipwa kima cha chini Sh300,000, hoteli za kati Sh180,000, huku katika makampuni makubwa na kimataifa huduma ya ulinzi wakilipwa Sh222,000 huku makampuni madogo wakilipwa Sh148,000.
Hali ikiwa hivyo katika sekta hiyo, katika sekta ya Nishati makampuni ya kimataifa watalipwa Sh592,000 na makampuni madogo Sh225,000, wakati katika sekta ya usafirishaji, wanaofanya katika huduma za usafiri wa anga watalipwa Sh390,000.
Katika sekta hiyo, wafanyakazi wanaofanya kazi za kutoa huduma za utoaji mizigo na usambazaji watalipwa kima cha chini cha mshahara Sh360,000, ilhali wale wanaofanya kazi katika huduma za usafiri nchi kavu ni Sh300,000.


Tangazo hilo halijawaacha nyuma makandarasi ambapo makandarasi wa daraja la pili hadi la nne watalipwa kima cha chini Sh360,000, huku wale wa daraja la tano hadi la saba wakilipwa kima cha chini ya mshahara cha Sh320,000 kwa mwezi.
Katika sekta ya madini, wenye leseni za uchimbaji na utafutaji madini wao kima cha chini cha mshahara kitakuwa Sh500,000, huku wenye leseni za wachimbaji wadogo kikiwa Sh300,000 na wenye leseni za wafanyabiashara kikiwa Sh450,000.
Huduma za shule binafsi kuanzia shule za awali, msingi na sekondari watalipwa kima cha chini Sh207,000, huku katika sekta ya biashara na viwanda wakilipwa Sh150,000 na Taasisi za fedha wakilipwa Sh592,000 kwa mwezi.
Sekta ya uvuvi na huduma za baharini wamepangiwa kima cha chini cha Sh238,000 kwa mwezi na sekta nyingine zote ambazo hazijaainishwa katika tangazo hilo la Serikali, wao watalipwa mshahara wa Sh150,000 kwa mwezi.


Sasa ndugu Kavulata, bila hata hata ya kujibu hoja zako, tangazo hilo la serikali limeniumiza mno! Sielewi kabisa kabisa watu namna hiyo wana mudu namna gani maisha!
Sina haja kabisa kufanya utafiti unaousema!

Nimekuletea huko nyuma kima cha chini kabisa Marekani! Na kwa sisi tuilokuja huku kama HUTATAKA kuishi maisha ya Kimarekani njia ambavyo pesa hiyo ni kubwa mno!
Na kwa taarifa yako sisi watu wa kuja huwa kazi za chini ni za kuingilia tu Marekani, hatuishi kwa kima cha chini! Hiyo ni ya wamarekani wenyewe! Sisi tumekuja kutafuta.

Nimeangalia kwa kima hicho, nimeona wazi maisha ya mtu ambavyo mbele ni giza kubwa kabisa! Na ili ufanikiwe Tanzania lazima uwe na tabia ya wizi, au kila njia isiyo halali ili uishi!

Kwa kifupi kabisa hebu nieleze Tsh 300,000 ni karibia $ 120! Hii ni pesa ndogo mno Marekani! Kwa kazi ya kawaida kiwandani ni pesa ya siku moja! Sasa utamkataza mtu kama huyo kujaribu kuja Marekani?

Wewe ndio unatakakiwa ufanye utafiti!
 
Sawa
Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.
By Alejandra O’Connell-Domenech | Dec. 02, 2022



Kavulata:

Mishahara yapaa tena​

Viwango vya mshahara
Katika viwango hivyo vipya, mfanyakazi anayefanya kazi katika migahawa, nyumba za kulala wageni na baa atalipwa kima cha chini cha Sh150,000 kwa mwezi, hoteli za kati Sh180,000 na hoteli za kitalii atalipwa Sh300,000.
Mfanyakazi wa kazi za ndani ambaye haishi katika kaya ya mwajiri atalipwa chini ya Sh120,000, huku wale wasio katika kundi hilo watalipwa Sh60,000 kwa mwezi, huku wafanyakazi wa kazi za ndani walioajiriwa na Wanadiplomasia na wafanyabiashara wakubwa wakilipwa kima cha chini cha Sh250,000.
Wafanyakazi wanaofanya kazi katika huduma za mawasiliano watalipwa kima cha chini cha Sh500,000, wakati wafanyakazi wa huduma za utangazaji na vyombo vya habari, posta na usafirishaji vifurushi watalipwa kima cha chini Sh225,000.
Katika hoteli kubwa za kitalii, mfanyakazi atalipwa kima cha chini Sh300,000, hoteli za kati Sh180,000, huku katika makampuni makubwa na kimataifa huduma ya ulinzi wakilipwa Sh222,000 huku makampuni madogo wakilipwa Sh148,000.
Hali ikiwa hivyo katika sekta hiyo, katika sekta ya Nishati makampuni ya kimataifa watalipwa Sh592,000 na makampuni madogo Sh225,000, wakati katika sekta ya usafirishaji, wanaofanya katika huduma za usafiri wa anga watalipwa Sh390,000.
Katika sekta hiyo, wafanyakazi wanaofanya kazi za kutoa huduma za utoaji mizigo na usambazaji watalipwa kima cha chini cha mshahara Sh360,000, ilhali wale wanaofanya kazi katika huduma za usafiri nchi kavu ni Sh300,000.


Tangazo hilo halijawaacha nyuma makandarasi ambapo makandarasi wa daraja la pili hadi la nne watalipwa kima cha chini Sh360,000, huku wale wa daraja la tano hadi la saba wakilipwa kima cha chini ya mshahara cha Sh320,000 kwa mwezi.
Katika sekta ya madini, wenye leseni za uchimbaji na utafutaji madini wao kima cha chini cha mshahara kitakuwa Sh500,000, huku wenye leseni za wachimbaji wadogo kikiwa Sh300,000 na wenye leseni za wafanyabiashara kikiwa Sh450,000.
Huduma za shule binafsi kuanzia shule za awali, msingi na sekondari watalipwa kima cha chini Sh207,000, huku katika sekta ya biashara na viwanda wakilipwa Sh150,000 na Taasisi za fedha wakilipwa Sh592,000 kwa mwezi.
Sekta ya uvuvi na huduma za baharini wamepangiwa kima cha chini cha Sh238,000 kwa mwezi na sekta nyingine zote ambazo hazijaainishwa katika tangazo hilo la Serikali, wao watalipwa mshahara wa Sh150,000 kwa mwezi.


Sasa ndugu Kavulata, bila hata hata ya kujibu hoja zako, tangazo hilo la serikali limeniumiza mno! Sielewi kabisa kabisa watu namna hiyo wana mudu namna gani maisha!
Sina haja kabisa kufanya utafiti unaousema!

Nimekuletea huko nyuma kima cha chini kabisa Marekani! Na kwa sisi tuilokuja huku kama HUTATAKA kuishi maisha ya Kimarekani njia ambavyo pesa hiyo ni kubwa mno!
Na kwa taarifa yako sisi watu wa kuja huwa kazi za chini ni za kuingilia tu Marekani, hatuishi kwa kima cha chini! Hiyo ni ya wamarekani wenyewe! Sisi tumekuja kutafuta.

Nimeangalia kwa kima hicho, nimeona wazi maisha ya mtu ambavyo mbele ni giza kubwa kabisa! Na ili ufanikiwe Tanzania lazima uwe na tabia ya wizi, au kila njia isiyo halali ili uishi!

Kwa kifupi kabisa hebu nieleze Tsh 300,000 ni karibia $ 120! Hii ni pesa ndogo mno Marekani! Kwa kazi ya kawaida kiwandani ni pesa ya siku moja! Sasa utamkataza mtu kama huyo kujaribu kuja Marekani?

Wewe ndio unatakakiwa ufanye utafiti!

Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.
By Alejandra O’Connell-Domenech | Dec. 02, 2022



Kavulata:

Mishahara yapaa tena​

Viwango vya mshahara
Katika viwango hivyo vipya, mfanyakazi anayefanya kazi katika migahawa, nyumba za kulala wageni na baa atalipwa kima cha chini cha Sh150,000 kwa mwezi, hoteli za kati Sh180,000 na hoteli za kitalii atalipwa Sh300,000.
Mfanyakazi wa kazi za ndani ambaye haishi katika kaya ya mwajiri atalipwa chini ya Sh120,000, huku wale wasio katika kundi hilo watalipwa Sh60,000 kwa mwezi, huku wafanyakazi wa kazi za ndani walioajiriwa na Wanadiplomasia na wafanyabiashara wakubwa wakilipwa kima cha chini cha Sh250,000.
Wafanyakazi wanaofanya kazi katika huduma za mawasiliano watalipwa kima cha chini cha Sh500,000, wakati wafanyakazi wa huduma za utangazaji na vyombo vya habari, posta na usafirishaji vifurushi watalipwa kima cha chini Sh225,000.
Katika hoteli kubwa za kitalii, mfanyakazi atalipwa kima cha chini Sh300,000, hoteli za kati Sh180,000, huku katika makampuni makubwa na kimataifa huduma ya ulinzi wakilipwa Sh222,000 huku makampuni madogo wakilipwa Sh148,000.
Hali ikiwa hivyo katika sekta hiyo, katika sekta ya Nishati makampuni ya kimataifa watalipwa Sh592,000 na makampuni madogo Sh225,000, wakati katika sekta ya usafirishaji, wanaofanya katika huduma za usafiri wa anga watalipwa Sh390,000.
Katika sekta hiyo, wafanyakazi wanaofanya kazi za kutoa huduma za utoaji mizigo na usambazaji watalipwa kima cha chini cha mshahara Sh360,000, ilhali wale wanaofanya kazi katika huduma za usafiri nchi kavu ni Sh300,000.


Tangazo hilo halijawaacha nyuma makandarasi ambapo makandarasi wa daraja la pili hadi la nne watalipwa kima cha chini Sh360,000, huku wale wa daraja la tano hadi la saba wakilipwa kima cha chini ya mshahara cha Sh320,000 kwa mwezi.
Katika sekta ya madini, wenye leseni za uchimbaji na utafutaji madini wao kima cha chini cha mshahara kitakuwa Sh500,000, huku wenye leseni za wachimbaji wadogo kikiwa Sh300,000 na wenye leseni za wafanyabiashara kikiwa Sh450,000.
Huduma za shule binafsi kuanzia shule za awali, msingi na sekondari watalipwa kima cha chini Sh207,000, huku katika sekta ya biashara na viwanda wakilipwa Sh150,000 na Taasisi za fedha wakilipwa Sh592,000 kwa mwezi.
Sekta ya uvuvi na huduma za baharini wamepangiwa kima cha chini cha Sh238,000 kwa mwezi na sekta nyingine zote ambazo hazijaainishwa katika tangazo hilo la Serikali, wao watalipwa mshahara wa Sh150,000 kwa mwezi.


Sasa ndugu Kavulata, bila hata hata ya kujibu hoja zako, tangazo hilo la serikali limeniumiza mno! Sielewi kabisa kabisa watu namna hiyo wana mudu namna gani maisha!
Sina haja kabisa kufanya utafiti unaousema!

Nimekuletea huko nyuma kima cha chini kabisa Marekani! Na kwa sisi tuilokuja huku kama HUTATAKA kuishi maisha ya Kimarekani njia ambavyo pesa hiyo ni kubwa mno!
Na kwa taarifa yako sisi watu wa kuja huwa kazi za chini ni za kuingilia tu Marekani, hatuishi kwa kima cha chini! Hiyo ni ya wamarekani wenyewe! Sisi tumekuja kutafuta.

Nimeangalia kwa kima hicho, nimeona wazi maisha ya mtu ambavyo mbele ni giza kubwa kabisa! Na ili ufanikiwe Tanzania lazima uwe na tabia ya wizi, au kila njia isiyo halali ili uishi!

Kwa kifupi kabisa hebu nieleze Tsh 300,000 ni karibia $ 120! Hii ni pesa ndogo mno Marekani! Kwa kazi ya kawaida kiwandani ni pesa ya siku moja! Sasa utamkataza mtu kama huyo kujaribu kuja Marekani?

Wewe ndio unatakakiwa ufanye utafiti!
Inawezekana kabisa huyu jamaa anaefanyakazi yapa analipwa kiasi sana kuliko mwanzake wa Marekani, fine, lakini tofauti Yao ni kwamba huyu kijana wa tz maisha yake ni rahisi pia kupita kiasi. Yaani daladala kituo hadi kituo ni Tsh. 400 wakati US kituo hadi kituo ni dola 3 (TSH 7,200), salon ni Tsh 2000 wakati Marekani ni kama USD 50 (Tsh 120,000), jeans hapa ni Tsh 12000 wakati huko bei ya jeans Levi's ni US 30 (72,000), Huku kijana anakula fresh foods, fruits, vegetables wakati huko utakula fast foods (junk foods), Huku wanawake wa kugegeda ni bwelele kabisa hadi Tsh 5000 unakesha, huko ni balaa hadi umpate umeshapoteza USD 1000 (Tsh 2,400,000). Kifupi hela hakuna lakini maisha nayo ni rahisi ndio maana watu wanajenga, wanadrive, wanasomesha, wanahonga, wanasaidia wazazi, wananunua nguo mpya, wananunua kwa cash money, etc. Huko hela IPO lakini maisha ni ghali pia, lazima uishi kwa kujibana saaaaaaaaña(bahili) ili ubakiwe na kitu. Sasa Mzee hata hili hulijui?

Laki 3 ya Huku inanunua sana kuliko milioni 3 ukiwa huko. Maji ya chupa 500ml hapa ni sh. 400 wakati huko ni dola 2 (tzs 4,600). Kikombe 1 Cha kahawa huko ni bei gani? Huku ni tsh 200 TU.
 
Sawa



Inawezekana kabisa huyu jamaa anaefanyakazi yapa analipwa kiasi sana kuliko mwanzake wa Marekani, fine, lakini tofauti Yao ni kwamba huyu kijana wa tz maisha yake ni rahisi pia kupita kiasi. Yaani daladala kituo hadi kituo ni Tsh. 400 wakati US kituo hadi kituo ni dola 3 (TSH 7,200), salon ni Tsh 2000 wakati Marekani ni kama USD 50 (Tsh 120,000), jeans hapa ni Tsh 12000 wakati huko bei ya jeans Levi's ni US 30 (72,000), Huku kijana anakula fresh foods, fruits, vegetables wakati huko utakula fast foods (junk foods), Huku wanawake wa kugegeda ni bwelele kabisa hadi Tsh 5000 unakesha, huko ni balaa hadi umpate umeshapoteza USD 1000 (Tsh 2,400,000). Kifupi hela hakuna lakini maisha nayo ni rahisi ndio maana watu wanajenga, wanadrive, wanasomesha, wanahonga, wanasaidia wazazi, wananunua nguo mpya, wananunua kwa cash money, etc. Huko hela IPO lakini maisha ni ghali pia, lazima uishi kwa kujibana saaaaaaaaña(bahili) ili ubakiwe na kitu. Sasa Mzee hata hili hulijui?

Laki 3 ya Huku inanunua sana kuliko milioni 3 ukiwa huko. Maji ya chupa 500ml hapa ni sh. 400 wakati huko ni dola 2 (tzs 4,600). Kikombe 1 Cha kahawa huko ni bei gani? Huku ni tsh 200 TU.
Kavulata:

Una hakika na unalozungumza? Ni kweli mfanyakazi wa Tanzania au kijana wa kima cha chini maisha ni rahisi? Uko tanzania ya wapi hasa, Kavulata?

Sasa itakuwaje pesa hakuna lakini maisha ni rahisi? Very contradictory! Sasa kama mtu hana pesa ya kujikumu maisha yatakuwaje ni rahisi! Maisha ya mchongo ambayo hujui kesho itakuwaje, ambayo huwezi kabisi ku plani unayaita maisha rahisi? Maisha ambayo wengi wanategeemea msaada, forgery za per diem kwa walioko maofisi! Sijui hata maana ya kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake inaamanisha nini!

Unasema hakuna pesa, ila maisha rahisi, ila hakuna pesa! Je watu wanaishi katika barter system! Mtu mmoja anayefanya kazi anabeba behewa la watu wenye uwezo katika familia yake kuipa msaada, bila kutambua inamvuta hata huyo mwenye uwezo mdogo kwenda chini! The burden of extended family ambayo ndio inaenedeleza lindi la umaskini, nashindwa kukuelewa kabisa!

Nimeanza week, nisubiri nilkuletee comparison data, ndio niyayaone hayo maisha rahisi unayo yazungumzia! Nina ndugu Tanzania karibu kila sector! Labda unioambia kila mtu ni muongo! Kila kukicha ni Wassup za msaada! Ukiomba akuletee salary slip, na budget yake, unajua kabisa anaishi kudra ya Mwenyezi Mungu!
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.

Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
Mbona povu linakutoka kaka kusafiri ni hobby ya mtu kiufupi hulazimishwi kuapply hiyo kitu so waache wanaotaka wafanye hivyo dunia tumeumbiwa sisi binadamu hunilazimishi niishI bongo, ninaishi popote ninapotaka. Alafu kufeli unyamwezini ni wewe mwenyewe either umesahau kilichokupeleka ila bongo usipojifelisha unafelishwa tena na watu wenye akili kama zako za kichawichawi. #bladibastadi
 
Kitendo tu cha kuwa na kunguni ni aibu! Mkuu nakutakia kila kheri, pambana kulipa tozo! Jipange barabarani kuwashangilia wenye ma V8! Ni hatua nzuri hiyo ya kuleta maendeleo! Kila la kheri mkuu!


Kwahiyo umekimbia nyumba (nchi) kwa aibu ya kunguni??!🤣
 
Kaka green cards ni manamba TU wanaopelekwa kufanya kazi kwa malipo kidogo, ni manamba kwa style mpya.


cassavaleaves

Tafadhali hebu tupe maoni yako kuhusu hii Green card lottery, inakuaje nchi ichezeshe bahati nasibu ili kuingiza ndani ya nchi watu kutoka nchi zingine ???

Kwa akili yangu ya harakaharaka hili jambo haliko sawa, hapo America inapata nini hasa??
 
Kavulata:

Una hakika na unalozungumza? Ni kweli mfanyakazi wa Tanzania au kijana wa kima cha chini maisha ni rahisi? Uko tanzania ya wapi hasa, Kavulata?

Sasa itakuwaje pesa hakuna lakini maisha ni rahisi? Very contradictory! Sasa kama mtu hana pesa ya kujikumu maisha yatakuwaje ni rahisi! Maisha ya mchongo ambayo hujui kesho itakuwaje, ambayo huwezi kabisi ku plani unayaita maisha rahisi? Maisha ambayo wengi wanategeemea msaada, forgery za per diem kwa walioko maofisi! Sijui hata maana ya kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake inaamanisha nini!

Unasema hakuna pesa, ila maisha rahisi, ila hakuna pesa! Je watu wanaishi katika barter system! Mtu mmoja anayefanya kazi anabeba behewa la watu wenye uwezo katika familia yake kuipa msaada, bila kutambua inamvuta hata huyo mwenye uwezo mdogo kwenda chini! The burden of extended family ambayo ndio inaenedeleza lindi la umaskini, nashindwa kukuelewa kabisa!

Nimeanza week, nisubiri nilkuletee comparison data, ndio niyayaone hayo maisha rahisi unayo yazungumzia! Nina ndugu Tanzania karibu kila sector! Labda unioambia kila mtu ni muongo! Kila kukicha ni Wassup za msaada! Ukiomba akuletee salary slip, na budget yake, unajua kabisa anaishi kudra ya Mwenyezi Mungu!
Nikikuonyesha watu wanaolala ndani ya magari, wanaolala kandokando ya barabara kwenye viota huko Marekani, mbona hawana hela za kiasi hicho unachozungumza wewe? Umaskini wa tz una heshima kuliko wa Marekani.
 
cassavaleaves

Tafadhali hebu tupe maoni yako kuhusu hii Green card lottery, inakuaje nchi ichezeshe bahati nasibu ili kuingiza ndani ya nchi watu kutoka nchi zingine ???

Kwa akili yangu ya harakaharaka hili jambo haliko sawa, hapo America inapata nini hasa??
Una akili nyingi sana wewe kuwaza kama hivi, hiyo ndiyo inayoitwa critical thinking. Yaani Marekani wanafaidika na nani kwa kuingiza majitu kwao, (motive behind). Jibu la swali hili ni njia nyingine ya kupata misukule ya kuwafanyia kazi zao kwa dezo.
 
Kavulata: Unajua unachokisema au umekaririshwa? Niko Marekani, sikuja kwa kufungwa mnyororo,na hata nikitaka kuondoka hakuna kamba iliyonifunga.
Ushauri kila siku kwa vijana wa kitanzania, kama unaona opportunities zimebana Tanzania jaribu popote, nina mifano mingi mno, na nimeona kwa watu toka mataifa mbali mbali niliokutana nao US!
Ukiwa na focus, na documents halali na yote unayoyasikia kuhusu Marekani, ni mahali unaweza kufikisha ndoto zako, sisemi ni rahisi, lakini kuna nyenzo ambazo hupati katika nchi nyingi za Kiafrica.
Sijahonga au kumuona yoyote watoto wangu kupata mikopo ya vyuo vyao, sikuwa na connection zozote zile watoto wangu kupata white color jobs! In short mtoto wangu alikuwa recruited akiwa bado chuoni, na leo akiwa na miaka24 is making almost $ 85,000/ Wenzake aliowaacha bongo waliomaliza chuo wanasaka ajira!
Sasa sijui ni utumwa wa aina gani huo!
Ni kweli Marekani/ Canada zinataka nguvu kazi, lakini ukiingia huku ni juhudi zako na akili yako! Wengine wataenda juu, na wengine chini, sawasawa na wazawa! Anayenifyekea majani nyumbani kwangu ni mzungu! Maana sina muda! Na kila baada ya wiki mbili au tatu ananipigia simu kama yameota aje kufyeka! Na ameniambia ni fundi katika serikali yetu ya mtaa anatafuta pesa ya ziada! Hii ndio Marekani, simdharau najua anachotafuta!
Hivyo usikaririshwe na akina Lumumba.
Hulazimishwi ni akili yako tu! Wengine wanatumia hapo bongo wanatoka! Wengine mambo yanakataa! Maisha popote pale!
Huyo ni mpumbavu na wengi wao ni wale wanaCCM na watoto wa CCM majambazi.

Hajui kuwa ule ukoloni umeshaisha Kwa Wenzetu umebaki Afrika na baba zao Leo ndio Wakoloni. Mbaya zaidi Ukoloni wa mtu mweusi ni mbaya kuliko wa Mzungu.

Hivi hajui kuwa ajira zote za Afrika ni utumwa isipokuwa za siasa na za wateule wa Wanasiasa?
Mtu anatoka mpanda kwenye ardhi kubwa na maekari Mengi anakwenda kuajiriwa na serikali au kwenye kiwanda Cha mhindi kule Rufiji mshahara laki Tano Kwa Mwezi . Anaishi Kwa madeni maisha yake yote. Kaka Hana fursa ya wizi na rushwa ndio basi hata kusomeshwa watoto shule bara hawezi. Akigusa ardhi kila mahali ni hifadhi ya wanyama wasio na akili. Wanyama wakishirikiana na CCM wamegeuka kuwa wamiliki wa nchi ya Tanzania.

Muulize huyo mpumbavu anayewashangaa watanzania kwenda nje ya nchi kutafuta ajira na maisha Bora kuwa hajui kuwa kama sio hizo ajira na mission za nje ya nchi hii amani ingekua imatoweka siku nyingi?
Hivi ni mwanajeshi Gani angekua anakaa kimya kuangalia maujinga ya wanasiasa kujilipa mabilioni ya pesa na kujitajirisha Kwa Mali za umma kama sio ukweli kuwa Leo hii wanapata nafasi za kwenda Huko nje ya nchi kulinda amani ili walipwe pesa nyingi na kurudi Tanzania wakiwa na uwezo wa kuendesha maisha yao kama binadamu.

Leo hii ukitaka kuona Mwanajeshi mwenye gari Kali achilia wale wa juu ambao ni wateule na makada wa CCM basi ni lazima awe amewahi kufanya kazi nje ya ardhi ya Tanzania na kulipwa na Wazungu chini ya Kinachoitwa UN. Hata Huko Ukraine ipo siku utawakuta askari wa Afrika na nchi nyingine mana Afrika bila kuwaacha askari wake kwenda kulipwa na Wazungu watastaafu wakiwa maskini.
Waafrika wameshindwa kupigania uhuru wao wa kiuchumi kwenye nchi zao na viongozi wao WAMEBAKI kuwa Wakoloni weusi Kwa Miaka zaidi ya 60.

Kuna nchi Afrika hata chakula TU wanajeshi wao hawana uwezo wa kuwapa.
Angalau Nyerere aliona umuhimu wa Majeshi pale alipotaka kupinduliwa akawa anawakeep bize Kwa kuwapeleka Kusini mwa bara la Afrika na Kati ili wasaidie kupigania uhuru lakini lengo ni kuwapa fursa ya kupata maslahi Huko. Wengi wakati huo walirudi na vitu vya tofauti angalau ambavyo wasingeaford kuvinunua wakiwa nchini Kwa mishahara yao.

Kuna kipindi wanajeshi waligeuka kuwa kati ya wapiga matukio wakubwa sana kwenye baadhi ya nchi ikiwemo Ile ya Burundi tuliyoambiwa tukimbilie lakini hata bongo walikuwepo maeneo yenye Kambi utekaji wa mabasi na malori ulikua hauishi hii ilikua awamu ya pili na ya tatu hata ya nne kidogo mpaka mission. za Sudani ,Kongo,Lebanon n.k. zilipopamba moto.

Ajira siku zote ni utumwa kama maslahi yanakuwa duni.Wale watumwa walikuwa hawajui maisha wanayokwenda kuyaishi Huko ndio maana walikua wanalazimishwa lakini baada ya kufika kule walikuta maisha ni Bora zaidi. Walikuwa wanakula chakula Bora zaidi na wakawa na uwezo wa kifedha hakuna manamba Aliyekua anafanyishwa kazi Bure. Ndio maana walizaliana Kwa wingi walipofika Huko Amerika mpaka Leo wapo na hawataki kurudi Afrika kutokana na ukweli kwamba Wanaona wazi kuwa Ukoloni umebaki Afrika chini ya Wanasiasa waliobeba tamaa na hulka za kikoloni.

Na ukweli ni kwamba Kwa Sasa Amerika Haina Mwenyewe .Kila mtu anafursa sawa na Mwingine. Afrika hata Tanzania mpaka Leo Kuna watu wanadhani kuwa nchi ni Mali ya familia yao . Yaani Afrika Kuna watu wanaomiliki utawala Kwa ajili ya maslahi mambo ambayo Kwa Wenzetu hayapo Tena.

Wakati Kenya wanahamasishana kwenda nje ya nchi kutafuta maisha Bora watanzania wanadanganywa na walevi na wahuni kuwa eti kila kitu kipo Tanzania .
Hawajui kuwa hata Polisi wao ukiona ana maisha mazuri sio mshahara anaolipwa na serikali yake Bali ni rushwa au kazi na safari nje ya nchi chini ya Ufadhili wa Wazungu. Serikali za Kiafrika haziwezi hata kuwapa askari wake mishahara inayokidhi kupanga kwenye nyumba yenye vyumba viwili na sebule akanunua umeme na akanywa maji ya chupa ya Kununua akiwa kazini.

Hata hao wasomi wenye maPhd wasipopata ajira zenye rushwa na upigaji au teuzi za wanasiasa basi watakimbilia Ulaya na Afrika Kusini ambapo watafanya kazi bila stress za maisha na kuweza kusaidia familia zao.

Ukoloni na wakaloni WAMEBAKI Afrika bila kuwang"oa na mizizi yao Waafrika watabaki kuwa watumwa kwenye nchi zao . Mtu anatoka Mtwara anaacha Mashamba yenye Korosho na Minazi mingi iliyoachwa na Wazungu na Waarabu halafu anakimbilia Dar es salaam kuuza midoli na mashati mawili Barabarani.
Mtu anatoka Tanga amenyang'anywa Mashamba akapewa Mhindi halafu anakwenda DSM kuuza machungwa Barabarani anakosa hata pesa ya kunywa bia na kuwa na demu makali miaka 60 ya uhuru.
MWINGINE AKIKIMBILIA Canada kufanya kazi na kulipwa pesa ndefu au Uingereza kucheza mpira halafu akarudi ni bilionea anaambiwa kuwa ni manamba .

Badilisheni katiba ya kikoloni ili nchi na Rasilimali zake ziwe ni Mali ya wananchi. Nchi za Afrika ni Tajiri sana na Kuna uwezekano wa kila bindam mweusi kulipwa mshahara bila hata kufanya kazi ngumu. Mungu ameweka utajiri mkubwa sana Afrika. Lakini shetani akaweka watawala Afrika kuanzia Watawala wa kikoloni mpaka warithi wao.
Shetani ameweka Watawala wenye uchu wa madaraka ,walevi,Wazinzi, waongo, wenye chuki, wenye hasira, wauaji, wezi, mafisadi, wasiotii SHERIA na katiba, wasiowapenda waafrika wenzao, waroho , wabaguzi , wabinafsi ,wenye kupenda kuabudiwa na kutukuzwa badala ya Mungu ,wanajiona kuwa wao wanastahili kuwa juu na wengine kuwa chini. Wanaojiona kuwa wataishi milele. Hawawazi habari ya Kesho Kwa Mungu watajibu Nini ?!
Ni dhahiri ni Wana Wa Ibilisi.

Bila kuwakataa watawala wakoloni weusi na ushetani wao hakuna ukombozi Afrika mana Kwa Sasa Shetani amefanikiwa kuwashika kama sio wote baadhi ya viongozi wa dini na waumini wao yamkini hata ndani ya Makanisa Sasa wamekua ni mawakala wa unyonyaji na utumwa wa kifikra ili TU watu wajimilikishe pesa na Mali kupitia Waafrika wanaogandamizwa na SHERIA zisizo na maadili Kwa walioko juu.
Nabii wa uongo aliyepaswa kuuawa anajikuta anafaidi SHERIA za kikoloni na kubaki kuwa Tatizo kubwa kwenye jamii ya Kiafrika iliyodharauwa na Mila na dini zao za asili na kuletewa dini zisizo na usimamizi wa maadili.
 
Huyo ni mpumbavu na wengi wao ni wale wanaCCM na watoto wa CCM majambazi.

Hajui kuwa ule ukoloni umeshaisha Kwa Wenzetu umebaki Afrika na baba zao Leo ndio Wakoloni. Mbaya zaidi Ukoloni wa mtu mweusi ni mbaya kuliko wa Mzungu.

Hivi hajui kuwa ajira zote za Afrika ni utumwa isipokuwa za siasa na za wateule wa Wanasiasa?
Mtu anatoka mpanda kwenye ardhi kubwa na maekari Mengi anakwenda kuajiriwa na serikali au kwenye kiwanda Cha mhindi kule Rufiji mshahara laki Tano Kwa Mwezi . Anaishi Kwa madeni maisha yake yote. Kaka Hana fursa ya wizi na rushwa ndio basi hata kusomeshwa watoto shule bara hawezi. Akigusa ardhi kila mahali ni hifadhi ya wanyama wasio na akili. Wanyama wakishirikiana na CCM wamegeuka kuwa wamiliki wa nchi ya Tanzania.

Muulize huyo mpumbavu anayewashangaa watanzania kwenda nje ya nchi kutafuta ajira na maisha Bora kuwa hajui kuwa kama sio hizo ajira na mission za nje ya nchi hii amani ingekua imatoweka siku nyingi?
Hivi ni mwanajeshi Gani angekua anakaa kimya kuangalia maujinga ya wanasiasa kujilipa mabilioni ya pesa na kujitajirisha Kwa Mali za umma kama sio ukweli kuwa Leo hii wanapata nafasi za kwenda Huko nje ya nchi kulinda amani ili walipwe pesa nyingi na kurudi Tanzania wakiwa na uwezo wa kuendesha maisha yao kama binadamu.

Leo hii ukitaka kuona Mwanajeshi mwenye gari Kali achilia wale wa juu ambao ni wateule na makada wa CCM basi ni lazima awe amewahi kufanya kazi nje ya ardhi ya Tanzania na kulipwa na Wazungu chini ya Kinachoitwa UN. Hata Huko Ukraine ipo siku utawakuta askari wa Afrika na nchi nyingine mana Afrika bila kuwaacha askari wake kwenda kulipwa na Wazungu watastaafu wakiwa maskini.
Waafrika wameshindwa kupigania uhuru wao wa kiuchumi kwenye nchi zao na viongozi wao WAMEBAKI kuwa Wakoloni weusi Kwa Miaka zaidi ya 60.

Kuna nchi Afrika hata chakula TU wanajeshi wao hawana uwezo wa kuwapa.
Angalau Nyerere aliona umuhimu wa Majeshi pale alipotaka kupinduliwa akawa anawakeep bize Kwa kuwapeleka Kusini mwa bara la Afrika na Kati ili wasaidie kupigania uhuru lakini lengo ni kuwapa fursa ya kupata maslahi Huko. Wengi wakati huo walirudi na vitu vya tofauti angalau ambavyo wasingeaford kuvinunua wakiwa nchini Kwa mishahara yao.

Kuna kipindi wanajeshi waligeuka kuwa kati ya wapiga matukio wakubwa sana kwenye baadhi ya nchi ikiwemo Ile ya Burundi tuliyoambiwa tukimbilie lakini hata bongo walikuwepo maeneo yenye Kambi utekaji wa mabasi na malori ulikua hauishi hii ilikua awamu ya pili na ya tatu hata ya nne kidogo mpaka mission. za Sudani ,Kongo,Lebanon n.k. zilipopamba moto.

Ajira siku zote ni utumwa kama maslahi yanakuwa duni.Wale watumwa walikuwa hawajui maisha wanayokwenda kuyaishi Huko ndio maana walikua wanalazimishwa lakini baada ya kufika kule walikuta maisha ni Bora zaidi. Walikuwa wanakula chakula Bora zaidi na wakawa na uwezo wa kifedha hakuna manamba Aliyekua anafanyishwa kazi Bure. Ndio maana walizaliana Kwa wingi walipofika Huko Amerika mpaka Leo wapo na hawataki kurudi Afrika kutokana na ukweli kwamba Wanaona wazi kuwa Ukoloni umebaki Afrika chini ya Wanasiasa waliobeba tamaa na hulka za kikoloni.

Na ukweli ni kwamba Kwa Sasa Amerika Haina Mwenyewe .Kila mtu anafursa sawa na Mwingine. Afrika hata Tanzania mpaka Leo Kuna watu wanadhani kuwa nchi ni Mali ya familia yao . Yaani Afrika Kuna watu wanaomiliki utawala Kwa ajili ya maslahi mambo ambayo Kwa Wenzetu hayapo Tena.

Wakati Kenya wanahamasishana kwenda nje ya nchi kutafuta maisha Bora watanzania wanadanganywa na walevi na wahuni kuwa eti kila kitu kipo Tanzania .
Hawajui kuwa hata Polisi wao ukiona ana maisha mazuri sio mshahara anaolipwa na serikali yake Bali ni rushwa au kazi na safari nje ya nchi chini ya Ufadhili wa Wazungu. Serikali za Kiafrika haziwezi hata kuwapa askari wake mishahara inayokidhi kupanga kwenye nyumba yenye vyumba viwili na sebule akanunua umeme na akanywa maji ya chupa ya Kununua akiwa kazini.

Hata hao wasomi wenye maPhd wasipopata ajira zenye rushwa na upigaji au teuzi za wanasiasa basi watakimbilia Ulaya na Afrika Kusini ambapo watafanya kazi bila stress za maisha na kuweza kusaidia familia zao.

Ukoloni na wakaloni WAMEBAKI Afrika bila kuwang"oa na mizizi yao Waafrika watabaki kuwa watumwa kwenye nchi zao . Mtu anatoka Mtwara anaacha Mashamba yenye Korosho na Minazi mingi iliyoachwa na Wazungu na Waarabu halafu anakimbilia Dar es salaam kuuza midoli na mashati mawili Barabarani.
Mtu anatoka Tanga amenyang'anywa Mashamba akapewa Mhindi halafu anakwenda DSM kuuza machungwa Barabarani anakosa hata pesa ya kunywa bia na kuwa na demu makali miaka 60 ya uhuru.
MWINGINE AKIKIMBILIA Canada kufanya kazi na kulipwa pesa ndefu au Uingereza kucheza mpira halafu akarudi ni bilionea anaambiwa kuwa ni manamba .

Badilisheni katiba ya kikoloni ili nchi na Rasilimali zake ziwe ni Mali ya wananchi. Nchi za Afrika ni Tajiri sana na Kuna uwezekano wa kila bindam mweusi kulipwa mshahara bila hata kufanya kazi ngumu. Mungu ameweka utajiri mkubwa sana Afrika. Lakini shetani akaweka watawala Afrika kuanzia Watawala wa kikoloni mpaka warithi wao.
Shetani ameweka Watawala wenye uchu wa madaraka ,walevi,Wazinzi, waongo, wenye chuki, wenye hasira, wauaji, wezi, mafisadi, wasiotii SHERIA na katiba, wasiowapenda waafrika wenzao, waroho , wabaguzi , wabinafsi ,wenye kupenda kuabudiwa na kutukuzwa badala ya Mungu ,wanajiona kuwa wao wanastahili kuwa juu na wengine kuwa chini. Wanaojiona kuwa wataishi milele. Hawawazi habari ya Kesho Kwa Mungu watajibu Nini ?!
Ni dhahiri ni Wana Wa Ibilisi.

Bila kuwakataa watawala wakoloni weusi na ushetani wao hakuna ukombozi Afrika mana Kwa Sasa Shetani amefanikiwa kuwashika kama sio wote baadhi ya viongozi wa dini na waumini wao yamkini hata ndani ya Makanisa Sasa wamekua ni mawakala wa unyonyaji na utumwa wa kifikra ili TU watu wajimilikishe pesa na Mali kupitia Waafrika wanaogandamizwa na SHERIA zisizo na maadili Kwa walioko juu.
Nabii wa uongo aliyepaswa kuuawa anajikuta anafaidi SHERIA za kikoloni na kubaki kuwa Tatizo kubwa kwenye jamii ya Kiafrika iliyodharauwa na Mila na dini zao za asili na kuletewa dini zisizo na usimamizi wa maadili.
Hiyo hali unayoiona huko marekani na Ulaya imepatikana kwa mapambano makali kati ya wasionacho na wenyenacho (mabwanyenye). Kama wananchi wangekuwa wapumbavu kama wewe wanaotaka ready made hali bora wangeshakimbia na wao kwenda nchi nyingine kuwa manamba kama nyie ambao mko tayari hata ikibidi kupapaswa nyuma ilimradi upate hela. Mtu haoni aibu kutamka kuwa amechukua uraia wa marekani eti kwasababu tz hakuna umeme na maji na demokrasia, yaani mkulima mpumbavu kakimbia shamba na kuwaachia tumbili wale kwakisingio kuwa shambani kuna visiki vingi na hakuna umeme na nyumba zenye tiles. Vijana kama hawa ni heri waondoke kama walivyofanya na hakuna kuwapa uraia pacha ni hatari sana. Mwingine anasema ni heri ya mkoloni. Hawana akili ya kudadavua kwa kina kuhusu the basic cause kwanini bara la afrika ni maskini, wanahangaika na just the immediate causes of the problem. Poor poor poor and shame on them to be very happy and comfortable for being a cheap labor in a foreign nation. They are cowards and slave blooded money mongers. Kijana kamili hawezi kulitusi taifa lake badala yake atatafuta majibu ya matatizo ya taifa lake yasiyompendeza. Ndio maana duniani kote utawasikia vijana wakiingia kwenye siasa kwa wingi, kuandamana, kufanya makongamano, kupindua, kuzomea, kufungulia kesi serikali zao zisizokidhi matarajio yao. Hawa weti sisi wanawashawishi vijana wenzao waikimbie nchi mazima na kuchukua passport za nchi hizo, shame shame.
 
Back
Top Bottom