Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Bado wazungu waarabu, wachina😃😃😃Yaani hawa wa kujaziwa form
Ni mzungu. Wewe ndo huna akili.Yani wewe baki tu Africa kwa uelewa wako huu zero brain US utaishia kula unga tu na kwenda kwenye clubs. Mtu yeyote mweupe ni mzungu then kuna wazungu wafaransa,wazungu wamarekani,wazungu waingereza,waitaliano n.k.
Yaani hawa wa kujaziwa form
Ni mzungu. Wewe ndo huna akili.Yani wewe baki tu Africa kwa uelewa wako huu zero brain US utaishia kula unga tu na kwenda kwenye clubs. Mtu yeyote mweupe ni mzungu then kuna wazungu wafaransa,wazungu wamarekani,wazungu waingereza,waitaliano n.k.
Shida yko Ni nini Mkuu!?Information zote zipo You tube una uhakika gani watu hawapo well informed? Au wewe tu ndio uko informed???
unajuaje kama hakuwahi kucheza? Hiyo ni bahati nasibu sio kila atakayecheza anapata,Sasa na yeye si angecheza the bahati nasibu ? Ila akachagua the easy way kuoa mzungu mwenye obesity.
Yaani wewe ndo zoba kweli. Hapo Wikipedia mtu yeyote anaweza aandika. So kwa akili yako wenye uraia wa US wale weupe si wazungu ?
wewe wadanganye wajingawajinga wenzako
kwa taarifa yako sipo africa , pia sina mpango wa kucheza hiyo dv lottery ya USA,
Ila siwezi mkatisha tamaa anayetaka kucheza hiyo bahati nasibu.
Sasa wewe unakuja na manegativity yako for what .
Yaani wewe ndo zoba kweli. Hapo Wikipedia mtu yeyote anaweza aandika. So kwa akili yako wenye uraia wa US wale weupe si wazungu ?
Kama unakaa Mbweni kwenye mghorofa haina haja ya kwenda USA kutafuta life wakati tayari ushayapatia....Wasalimie majirani zako kina Lugumi na Samia.Wenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.
Tell her! Tell here![emoji1][emoji1][emoji1]
wewe wadanganye wajingawajinga wenzako
kwa taarifa yako sipo africa , pia sina mpango wa kucheza hiyo dv lottery ya USA,
Ila siwezi mkatisha tamaa anayetaka kucheza hiyo bahati nasibu.
Sasa wewe unakuja na manegativity yako for what .
Hakuna shida mkuuShida yko Ni nini Mkuu!?
Huyu makulilo nayemjua mimi aliyesoma UDSM mweusi mfuga miafro maneno mengi?Umeshawahi ingia You tube kucheki videos zake huyu EBM Makulilo? Au unaleta chuki zako hapa?? Tatizo unaongea Vitu bila kuwa na uhakika navyo![emoji35][emoji35] , AFRIKA ina watu walio laaniwa kwa chuki na wewe ni mmoja wao ..kuliko kumpa msaada Mwafrika bora umpe mbwa atakushukuru.jamaa kaeleza kila kitu kuhusu mazuri na mabaya ya Amerika lakini kutokana na wabongo ni wanafiki hawafuatilii vitu wana kurupuka na chuki zao kuponda watu..huona kila mtu ni mbaya...
Wabongo tunapenda mtelezo Sana, jamaa katoa muda wake kingine charge ufanya kuengua watu wasio seriasi kujiengua mara moja, ila siku zote jambo zuri lolote lazima ukubali kurigharima mkuuJamaa anatambaa na fursa hii ya kuchanja 20,000/= kumsaidia ku-apply imemshushia thamani zaidi. Kama angekua kweli ana Nia ya nn kuokota senti za vijana?
Dv lottery ni kwa wahamiaji kupewa fursa ya kuishi US kama raia wa US, na uraia wako unabaki pale pale, ila kama utataka kubadili uraia ni uamuzi wakoHivi kwa Mfano ukishakuwa permanent resident wa nchi nyingine,unakosa vitu gani au unapungukiwa sifa zipi za ki raia?
EBM Scholar anasaidia vijana. Sisi ambao umri umeenda acha tukae pembeni kwanza.
Ila idea yake ni nzuri. Na mnaoshangaa kwa nn anachukua hiyo 20k Hvi mlitaka kweli akusaidie kujaza fomu na kukupiga picha Bure??
Hongera kwa kuwa na maisha mazuri VictoireWenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.
Ukweli au uongo, wazo tu la alichosema linaonyesha ni mtu wa aina gani. Deplorableacha kuamini sana sifa wanazojipa wana jf unakuta anaishi,buza mtoto anasoma kwa mpalange
Hivi ukiwa na cash kama dola elfu 20000 si unapata visa ya kwenda kutembea UsWenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.
Judging from your comment, you are a disgusting individual, a deplorable. Roho ya kishetani. Hopefully I am wrong, and if not, I pray your children somehow grow into better people.Dhambi ipi sasa.Kutokutaka kwenda US kwa kucheza kamari ni dhambi ?