Greenhouse katika video

Greenhouse katika video

Status
Not open for further replies.
NINA MASWALI MAWILI NIKUULIZE NA NINGEPENDA UNIJIBU

a) kama sina eneo au mahala pa kujengea hiyo greenhouse nami nataka kufanya kilimo itakuwaje mkuu? kwa hilo?

b) Je inatakiwa uwe na hekali ngapi au eneo au sehemu ya wazi yenye mita ngapi kwa kujenga hiyo greenhouse?

Syringe za nini tena? huoni kwamba unaongeza gharama?. Sisi tunatumia teknolojia isiyo na gharama kabisa.
 
kumbe ukiwa na shs 10,000 unaweza kufanya biashara nzuri tu pasipo kujiwekeza sana asante mdau kwa kunifumbua macho nami nisaidie kupata hiyo cd ya mafunzo ya mkaa nifanye?
Unajua mimi ni mpya katika hii forum ila nilipoona post yako hii kuhusu greenhouse ilinivutia ikabidi tu nitoe hela kidogo niliyokuwa nimeihig=fadhi kwa ajili ya matumizi mengine ili niweze kununua mafunzo yako ya greenhouse. Ila mafunzo yaliyonisaidia kuanza kufanya miradi ni zile dvd zako ulizonitumia kama ofa ambazo ilikuwa ni ya jinsi ya kutengeneza mkaa na nyingine ya kufanya kilimo cha maua hata kama hauna greenhouse. Kusema ukweli sikuwa na ile 600,000 ya kujenga greenhouse hivyo nikaamua nianze na mradi wa mkaa ambao unaweza anza hata ukiwa na sh. 10,000. Nilianza mkaa kutengeneza na kuwauzia washkaji zangu wachoma chips na pesa nilizopata niliweza kuanza kujenga greenhouse yangu. Mpaka sasa nimeshafikia kuanza kupanda mbegu. Mimi nachukua nafasi hii kukushukuru sana kwa zile dvd zako za ofa zimenisaidia sana. Niliamua kuanza mradi wa greenhouse ila nikajishtukia nimeanza na mradi wa mkaa na sasa ndo nimeingia kwenye greenhouse. Naweza kusema nilianza kwa sh. 10,000 kuingia kwenye greenhouse hahaha!
 
NINA MASWALI MAWILI NIKUULIZE NA NINGEPENDA UNIJIBU

a) kama sina eneo au mahala pa kujengea hiyo greenhouse nami nataka kufanya kilimo itakuwaje mkuu? kwa hilo?

b) Je inatakiwa uwe na hekali ngapi au eneo au sehemu ya wazi yenye mita ngapi kwa kujenga hiyo greenhouse?

1. Kama hauna eneo huwezi fanya mradi. Angalau kodisha basi

2. Haijalishi una eneo kiasi gani, unaweza jenga gh hata ya 5x5
 
asante mkuu kwa kunipa ufahamu huo nikipata eneo ntakuja kupata mauujuzi toka kwako asante sana
1. Kama hauna eneo huwezi fanya mradi. Angalau kodisha basi

2. Haijalishi una eneo kiasi gani, unaweza jenga gh hata ya 5x5
 
asante mkuu kwa kunipa ufahamu huo nikipata eneo ntakuja kupata mauujuzi toka kwako asante sana

Wakati unasubiria upate eneo kubwa kwa ajili ya kilimo cha greenhouse, unaweza anza na mradi wa kutengeneza mkaa wa kisasa amnao hauchukui eneo kubwa wakati unasubiria upate eneo kubwa. DVD ya mkaa inatolewa bure kama ofa ukinunua DVD ya greenhouse.
 
asante nitakutafuta mkuu usijali kwa hilo
Wakati unasubiria upate eneo kubwa kwa ajili ya kilimo cha greenhouse, unaweza anza na mradi wa kutengeneza mkaa wa kisasa amnao hauchukui eneo kubwa wakati unasubiria upate eneo kubwa. DVD ya mkaa inatolewa bure kama ofa ukinunua DVD ya greenhouse.
 
NINA MASWALI MAWILI NIKUULIZE NA NINGEPENDA UNIJIBU

a) kama sina eneo au mahala pa kujengea hiyo greenhouse nami nataka kufanya kilimo itakuwaje mkuu? kwa hilo?

b) Je inatakiwa uwe na hekali ngapi au eneo au sehemu ya wazi yenye mita ngapi kwa kujenga hiyo greenhouse?

kama hauna mahala pa mradi, unategema utafanyaje mradi?
 
Hawa ni waongo. Usitoe hela hizo video ziko mtandaoni bure. Ni za Sygenta International. Upuuzi
 
Hawa ni waongo. Usitoe hela hizo video ziko mtandaoni bure. Ni za Sygenta International. Upuuzi

Kwanini usiziangalie hizo video za bure zikakusaidia nawe ukaanzisha mradi na ukaondokana na umaskini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom