ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
NINA MASWALI MAWILI NIKUULIZE NA NINGEPENDA UNIJIBU
a) kama sina eneo au mahala pa kujengea hiyo greenhouse nami nataka kufanya kilimo itakuwaje mkuu? kwa hilo?
b) Je inatakiwa uwe na hekali ngapi au eneo au sehemu ya wazi yenye mita ngapi kwa kujenga hiyo greenhouse?
a) kama sina eneo au mahala pa kujengea hiyo greenhouse nami nataka kufanya kilimo itakuwaje mkuu? kwa hilo?
b) Je inatakiwa uwe na hekali ngapi au eneo au sehemu ya wazi yenye mita ngapi kwa kujenga hiyo greenhouse?
Syringe za nini tena? huoni kwamba unaongeza gharama?. Sisi tunatumia teknolojia isiyo na gharama kabisa.