Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mbunge aliyeshauri tanesco ivunjwe mara tatu kaona mbaliShirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa majira ya 08: 40 usiku May 04 20224 na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye baadhi ya maeneo iliyounganishwa na Gridi hiyo.
TANESCO wanasema Juhudi za kurejesha umeme zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, na baadhi ya mikoa kama Dodoma na Iringa zimeanza kurejea.
Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa.
View attachment 2980285
Pia soma: Hitilifafu za Gridi ya Taifa ndani ya mwaka 2024
Dodoma hakuna umeme wahuni nyieShirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa majira ya 08: 40 usiku May 04 20224 na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye baadhi ya maeneo iliyounganishwa na Gridi hiyo.
TANESCO wanasema Juhudi za kurejesha umeme zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, na baadhi ya mikoa kama Dodoma na Iringa zimeanza kurejea.
Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa.
View attachment 2980285
Pia soma: Hitilifafu za Gridi ya Taifa ndani ya mwaka 2024
CCM woyeKutokana na upepo mkali uliosababishwa na kimbunga kijulikanacho kama Hidaya..... Ujinga ujinga ujinga uendelee.. 😀😀😀
Life goes on as usual. Everyday new excuse!!!Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa majira ya 08: 40 usiku May 04 20224 na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye baadhi ya maeneo iliyounganishwa na Gridi hiyo.
TANESCO wanasema Juhudi za kurejesha umeme zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, na baadhi ya mikoa kama Dodoma na Iringa zimeanza kurejea.
Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa.
View attachment 2980285
Pia soma: Hitilifafu za Gridi ya Taifa ndani ya mwaka 2024