Gridi ya Taifa yapata hitilafu na kusababisha baadhi ya maeneo kukosa umeme, TANESCO watoa taarifa

"Mfumo wa gridi ya taifa ni mfumo wa kuweka mayai yote katika kapu moja" discuss
 
Yule mbunge aliyeshauri tanesco ivunjwe mara tatu kaona mbali
 
Dodoma hakuna umeme wahuni nyie
 
Chini ya mama Abdul wa Lisu hakuna kitu kitaenda sawa.
 
Halafu sijui kwanini giza la kukatika umeme nchi nzima linakuwaga kali kuliko hata giza linalokuwepo umeme ukikatika tu sehemu tu uliyokuwepo yaani kunakuwaga na giza kali mpaka wewe mwenyewe hujioni unajisikia tu unahema
 
Life goes on as usual. Everyday new excuse!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…