King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Yaani nnavyopenda maini ya kuku uwiii. Ila sijawahi kuyachoma mishkaki, asante ntajaribu. Uyapate na ugali na maharage na kachumbari, na maji ya kunywa kibaoo. Daah!
Last edited by a moderator: