Grilled chicken liver (mishkaki ya maini ya kuku)

Grilled chicken liver (mishkaki ya maini ya kuku)

thanks dia! nitajaribu kutengeneza home kwangu. swali, wapi nitapata maini ya kuku yakiwa mengi, japo 1/2 kg? mara nyingi wanauza firigisi
 
thanks dia! nitajaribu kutengeneza home kwangu. swali, wapi nitapata maini ya kuku yakiwa mengi, japo 1/2 kg? mara nyingi wanauza firigisi

Ow...mie hata sijui mambo ya huko kwenu..labda wengine watakusaidia

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mahitahi

1)Nusu kilo ya maini ya kuku
2)Pilipili manga 1 tablespoon
3)1/2 tablespoon ya pilipili ya unga
4)Limau
5)Tandoori masala 1/2 teaspoon
6)Tangawizi 1/2 tablespoon
7)Kitunguu saumu 1/2 tablespoon.
8)Bizari ya pilau iliotagwa (ground cumin) 1 tablespoon...

Namna ya kutaarisha

1)Safisha maini yako vizuri na weka pembeni yajichuje maji..

2)Changanya viungo vyote hapo juu...wacha maini yakolee viungo for 2 hours

3)Weka maini katika vijiti maalum vya mishkaki

4)Choma mishkaki katika jiko maalum la mkaa ama kwenye grill

5)Geuza geuza mishkaki huku ukipakaa mafuta juu yake hadi kuwiva vizuri...


Kamulia limau kdg juu ya mishkaki yako na weka kwenye sahani na katia katia juu yake nyanya na kitunguu maji au salad upendayo...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Sasa mambo mazur yameanza enheee... n still waiting for ladoos🙂 ..ujue mwenzio mambo pengine mazuri ndo mana nimeshikiliaga hio kitu..lol
 
napenda kujua kuandaa mishikaki ya samki na jinsi ya kutengeneza kuku wa kavu na zile nyama wanaita kokoto ikiwemo vyakula gani vinalandna na hivyo,,will be gratefull sister farkhina
 
napenda kujua kuandaa mishikaki ya samki na jinsi ya kutengeneza kuku wa kavu na zile nyama wanaita kokoto ikiwemo vyakula gani vinalandna na hivyo,,will be gratefull sister farkhina

Ntakuekea recipes zake usijali


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Jamani mbona kuna sehemu wanapima kabisa,kama wataka maini tupu unapata kama firigisi tupu unapata kiasi chochote utakacho,
Hiyo menu ni kwa watu wanaoshop spmkt .huwezi kununua kuku mia eti upate kilo ya maini ya kuku.
 
Back
Top Bottom