GSM aachane na Yanga itamfirisi,mtaji wake bado mdogo asishindane na Mo au Bakhresa

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hii nchi kuna matajiri wakubwa tu zaidi ya GSM ila hawataki kusikiahabari za udhamini wa mpira,au kuwekeza kwenye kabunbu,wanajua hailipi
GSM angeendelea kukuza mtaji wake tu kwanza aachane na Yanga itakuja kumfirisi,akuze mtaji wake kwanza,najua yeye ni Simba damu na yuko pale kibiashara ,mbona ameshatangaxa biasharazake inatosha sasa
Amuulize Jabir Shikamkono alivyofirisika sababu ya hizi timu.
Azim Dewji miaka ya nyuma nusura akate mtaji sababu ya Simba

Yanga ni timu ya wananchi tutaichangia tu na itasonga
 
Atatangazia bidhaa zake wapi kirahisi??
 
Nilitaka kusema kitu ngoja nikae kimya.
Hizi team ni instrumental.....huenda zinafadhiliwa na watu tusiowajua.

Mambo yanayoonekana-yasiyoonekana.

Pascal Mayalla
 
Hahahaha eti mtaji wake mdogo yawezekana upo kwenye kochi nyumbani kwenye shemeji yako hapo
 
watanzania kwa kupenda kujadili maisha ya watu wengine hatujambo
 
GSM bila utopolo ni mwepesi mno utopolo imembeba mno hapaswi kuiacha kwa namna yoyote ile
 
Lakini unakumbuka kuwa Yanga inafungwaje?
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-181034_1.jpg
    193.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241203-221155_1.jpg
    270.1 KB · Views: 5
Yaani masikini anamfundisha tajiri ili asiwe masikini, halafu yeye hajifundishi kuwa tajiri.
 
Unajuaje mitaji ya wanaume wenzako?
 
Hatoi pesa zake tu.Hiyo ni club ni kwa ajili ya kutakatisha pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…