Rozela JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 845 Reaction score 2,235 Mar 4, 2025 #1 Imagine pesa zote anazopeleka kwenye timu nyingine zipelekwe Yanga, wakati huo huo upande wapili kanji bai hataki kutoa hela ya mfukoni, anaendesha timu kiujanja ujanja. TFF kubalini pendekezo la makolo haraka, wanahamu ya kupigwa 5+ mara kwa mara.
Imagine pesa zote anazopeleka kwenye timu nyingine zipelekwe Yanga, wakati huo huo upande wapili kanji bai hataki kutoa hela ya mfukoni, anaendesha timu kiujanja ujanja. TFF kubalini pendekezo la makolo haraka, wanahamu ya kupigwa 5+ mara kwa mara.
Tsh JF-Expert Member Joined Aug 26, 2021 Posts 17,022 Reaction score 36,936 Mar 4, 2025 #2 Mkuu, Umepata kifungua kinywa au daku? Ni kama umeamka na njaa kali.
kaa chini JF-Expert Member Joined Jun 4, 2022 Posts 1,935 Reaction score 4,048 Mar 4, 2025 #3 Ndio kwanza funga imeanza mara hii unaamka na nyuzi za namna hii, halafu utegemee utatoboa kweli?
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Mar 4, 2025 #4 Nadhani siyo vizuri kuwapangia watu matumizi ya pesa zao.
pesakilakitu JF-Expert Member Joined Aug 17, 2024 Posts 1,618 Reaction score 2,861 Mar 4, 2025 #5 Tsh said: Mkuu, Umepata kifungua kinywa au daku? Ni kama umeamka na njaa kali. Click to expand... Sidhani , na familia inamuangalia Wana njaa ..
Tsh said: Mkuu, Umepata kifungua kinywa au daku? Ni kama umeamka na njaa kali. Click to expand... Sidhani , na familia inamuangalia Wana njaa ..
N _name Member Joined Mar 4, 2025 Posts 17 Reaction score 13 Mar 4, 2025 #6 We hujui anadhamin wengin Kwa manufaa ya utopolo😂
Rozela JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 845 Reaction score 2,235 Mar 4, 2025 Thread starter #7 Tsh said: Mkuu, Umepata kifungua kinywa au daku? Ni kama umeamka na njaa kali. Click to expand... 5-1
Tsh said: Mkuu, Umepata kifungua kinywa au daku? Ni kama umeamka na njaa kali. Click to expand... 5-1
Rozela JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 845 Reaction score 2,235 Mar 4, 2025 Thread starter #8 _name said: We hujui anadhamin wengin Kwa manufaa ya utopolo😂 Click to expand... Si kweli. Ni kwa manufaa ya biashara zake.
_name said: We hujui anadhamin wengin Kwa manufaa ya utopolo😂 Click to expand... Si kweli. Ni kwa manufaa ya biashara zake.
Tsh JF-Expert Member Joined Aug 26, 2021 Posts 17,022 Reaction score 36,936 Mar 4, 2025 #9 pesakilakitu said: Sidhani , na familia inamuangalia Wana njaa .. Click to expand... Hahaha.
N _name Member Joined Mar 4, 2025 Posts 17 Reaction score 13 Mar 4, 2025 #10 Rozela said: Si kweli. Ni kwa manufaa ya biashara zake. Click to expand...
N _name Member Joined Mar 4, 2025 Posts 17 Reaction score 13 Mar 4, 2025 #11 Ko hapo una unaona profit kwel¿ Em tumia ubongo