GSM amwaga bilioni 2.1 kuwa mdhamini mwenza wa ligi kuu

GSM amwaga bilioni 2.1 kuwa mdhamini mwenza wa ligi kuu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
pira.png


Kampuni ya GSM imesaini mkataba wa miaka miwili na Shirikisho la Soka Tanzania wenye thamani ya TSH. 2.1 Billion kwa ajili ya kuwa mdhamini mwenzanwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Engineewr hersi "Tunadhamini timu za Yanga sc, Namungo na Coastal union,, tumeona ni vyema kudhamini pia ligi kuu Tanzania bara", "Udhamini huu wa ligi kuu hauna uhusiano na udhamini binafsi wa vilabu"

Ni vema kusema kwamba vitendo huongea kuzidi malalamiko, yale malalamiko ya fair competition hatimae gsm wameyasikia, hizi pesa zitaenda kunufaisha kila timu.

Kwa sasa ni dhahiri kabisa pesa si tatizo kwa Young Africans, Tusubiri ligi ziishe
 
Pamoja na kuendelea kubezwa na wasiojitambua lakini kuna wenye akili timamu wanaitumia fursa ya kuongeza thamani ya ligi kwa kuongeza wadhamini, gsm ni moja ya kampuni inayojipambanua kibiashara pasipokuangalia wala kusikiliza makelele ya baadhi ya wapuuzi ambao aidha wanatumika kuichafua brand ya GSM ama wanatumika kwa maslahi yao binafsi.

Nawapongeza TFF kwa kuitumia fursa iyo mmeiona na mmeitumia, Mwenye nacho siku zote uongezewa na mwenye wivu wa kimaskini ataendelea kuteseka tu tajiri wala hana habari nae🙌🙌🙌
 
Uzuri logo ya gsm zipo mbili,kuna kijani na njano na kuna nyeusi na nyekundu.
Tukichukua ubingwa wasikimbie udhamini.

Ila majamaa wabahili ,hela aliyotoa GSM ni sawa na mkataba wa Vunja bei na simba
 
Simba hainaga ushamba kama huo, hata angetokea mdhamini wa kampuni ya choo ambayo kampuni yake inawakilishwa na logo ya mavi ya njano au kijani bado isingekuwa kikwazo
Mwambie Mo aweke hela mezani nae awe mdhamini, acha kuumia kwa hela za wanaume.
 
Hii inaitwa "If you can't beat them..join them"
Simba hainaga ushamba kama huo, hata angetokea mdhamini wa kampuni ya choo ambayo kampuni yake inawakilishwa na logo ya mavi ya njano au kijani bado isingekuwa kikwazo
 
Pamoja na kuendelea kubezwa na wasiojitambua lakini kuna wenye akili timamu wanaitumia fursa ya kuongeza thamani ya ligi kwa kuongeza wadhamini, gsm ni moja ya kampuni inayojipambanua kibiashara pasipokuangalia wala kusikiliza makelele ya baadhi ya wapuuzi ambao aidha wanatumika kuichafua brand ya gsm ama wanatumika kwa maslahi yao binafsi, Nawapongeza tff kwa kuitumia fursa iyo mmeiona na mmeitumia, Mwenye nacho siku zote uongezewa na mwenye wivu wa kimaskini ataendelea kuteseka tu tajiri wala hana habari nae[emoji119][emoji119][emoji119]
Mmh! Wana lao jambo hao, sema kauli ya Manara akiwa Simba ilikuwa sahihi, akiwa upande uleee

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri logo ya gsm zipo mbili,kuna kijani na njano na kuna nyeusi na nyekundu.
Tukichukua ubingwa wasikimbie udhamini.

Ila majamaa wabahili ,hela aliyotoa GSM ni sawa na mkataba wa Vunja bei na simba
Simba hajawahi kukataa, kugomea wala kubishia nembo au rangi ya mdhamini wa jumla wa ligi au mashindano.

Hizi ni zama za mpira wa kibiashara.
 
Simba hainaga ushamba kama huo, hata angetokea mdhamini wa kampuni ya choo ambayo kampuni yake inawakilishwa na logo ya mavi ya njano au kijani bado isingekuwa kikwazo
Hakika ,,Simba hatuhangaiki na vitu vidogo kama hivyo,, Sisi tunaangalia performance ya timu yetu. Logo wanahangaika nazo utopolo. Wamelazimika kufadhili ligi kwasababu ya logo - huo ni ushamba wao ,hauwezi kutufikirisha.
 
Na mgawanyo wa pesa itakuwaje maana Simba kila mwezi matumizi yetu ni 1b
 
Back
Top Bottom