HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Sisi kama Simba hayo hayatuhusu sisi tutashinda zetu zoteGSM kudhamini ligi nzima na huku akiwa ni mdhamini wa timu ya Yanga hii haijakaa sawa coz hakuna FAIR COMPETITION
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi kama Simba hayo hayatuhusu sisi tutashinda zetu zoteGSM kudhamini ligi nzima na huku akiwa ni mdhamini wa timu ya Yanga hii haijakaa sawa coz hakuna FAIR COMPETITION
Ila shida ipo pale ambapo tukipata sare, tunaanza kulalamika kuhusu Fair competition ya GSMSisi kama Simba hayo hayatuhusu sisi tutashinda zetu zote
If you can't beat them join them.Simba kuna mtu haipendi? mambo ya kupendana ni ya utopolo kulikojaa mapunguani kwa mujibu wa msukule. Simba inatafuta pesa hata kampuni ya choo waje tu
Wawe wanatoa details za mgawanyo wa huo udhamini, mtakuta team zinaambulia 1ml tu. Hebu TFF muweke floor ya kudhamini ligi yetu kubwa bana sasa mnatuletee pet pet issue sana. Mtu ajipange amwage mzigo wa maana faida inapatikana kwa matangazo yakeMkataba wa kuidhamini ligi unalingana na vunjabei kule unyamani daaahh 😂😂😂
Kule bunju jk ndie aliempa rage,nyasi bandia aliagiza aveva,pope na kaburu,nyasi zilipokwama bandarini mdau mmojawapo aliechangia kuzitoa ni sammata baada ya kuombwa na kaburu,mo akatia greda baadae uwanja ukaitwa jina lake,hapo ndipo jina la mbu3 alilowaachia mzee rage linapomake senseGsm ni mtu wa fursa tu atawatumia utopolo kwa manufaa yake badae atawakacha
Kama kweli ana maslahi na uto mwambieni awajengee kiwanja hata cha mazoezi achana na kile cha kaunda
Sawa anauza jezi unajua maana ya udhamini kwanza..? Au ndio utopwinyo umekujaa..? Vunja bei anatoa pesa kwa makubaliano ya kuuza vifaa vya michezo vyenye nembo ya simba hivyo yeye ni mdhamini mmoja wapo wa simba.. mbuzi kweli rudi darasani kwanza. Jezi anatengeneza kwa hela yake mwenyewe au unajua simba wameweka pesa mle..? Jitambue mbweha wa utopwinyoni kuleAmbavyo huna akili hujui kama vunja bei anauza jezi yule sio mdhamini utapata akili lini?
Umeonaeeh ujanja ujanja tu. Yaani mzamini anashindwa hata na vunjabei 😂😂😂.Wawe wanatoa details za mgawanyo wa huo udhamini, mtakuta team zinaambulia 1ml tu. Hebu TFF muweke floor ya kudhamini ligi yetu kubwa bana sasa mnatuletee pet pet issue sana. Mtu ajipange amwage mzigo wa maana faida inapatikana kwa matangazo yake
Nachangia pesa ya kadi kwenye klabu yangu ya simba wewe je?
Jamaa una hasira duuu. Matusi meengi , Mara uneducated. Kina nsomile buanaWe kweli zuzu, mbwa nyani Uneducated
Kwani hao waliofanikisha kujenga huo uwanja si wanasimba?
We jamaa wivu utakuua,muambie mo akaweke pesa kama ni rahisi,GSM katoa 1 mln usd na hao NBC wametoa 1.1 mln usd,kwenye huo mkataba GSM kazidiwa m 300 TZS ambazo wala asingeshindwa kuziweka hapo ili awe main sponsor,angeweza kuweka zaidi ila ndio katunza heshima ya partner wake NBCUmeonaeeh ujanja ujanja tu. Yaani mzamini anashindwa hata na vunjabei 😂😂😂.
Samahani hapo Haji yupo kama GSM au YANGA?View attachment 2020924
Kampuni ya GSM imesaini mkataba wa miaka miwili na Shirikisho la Soka Tanzania wenye thamani ya TSH. 2.1 Billion kwa ajili ya kuwa mdhamini mwenzanwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Engineewr hersi "Tunadhamini timu za Yanga sc, Namungo na Coastal union,, tumeona ni vyema kudhamini pia ligi kuu Tanzania bara", "Udhamini huu wa ligi kuu hauna uhusiano na udhamini binafsi wa vilabu"
Ni vema kusema kwamba vitendo huongea kuzidi malalamiko, yale malalamiko ya fair competition hatimae gsm wameyasikia, hizi pesa zitaenda kunufaisha kila timu.
Kwa sasa ni dhahiri kabisa pesa si tatizo kwa Young Africans, Tusubiri ligi ziishe
Kocha wenu luc aliwaita hivyo tna manyani maumbwa 😂😂😂Jamaa una hasira duuu. Matusi meengi , Mara uneducated. Kina nsomile buana
Saaa hata angezifi kwa muda huu tayari watu washa saini mkataba. Huo mkataba sawa na vunja bei tu. Na sio 1Usd ml hiyo mzee babaWe jamaa wivu utakuua,muambie mo akaweke pesa kama ni rahisi,GSM katoa 1 mln usd na hao NBC wametoa 1.1 mln usd,kwenye huo mkataba GSM kazidiwa m 300 TZS ambazo wala asingeshindwa kuziweka hapo ili awe main sponsor,angeweza kuweka zaidi ila ndio katunza heshima ya partner wake NBC