Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Hamna lolote hapo viongozi ni shida. Wanadai hawashirikishwi kwenye usajili mbona kuhusu Haruna,Nchimbi,kurudi kwa lamine na ujio Wa kocha mpya viongozi ndio waliotoa hizo taarifa?/ Hii inamanisha walishirikishana. Nadhani tatizo la msingi lipo kwenye Hoja ya kwamba viongozi wanachukia kuona GSM wanajihusisha moja kwa moja ktk utoaji pesa na si kuwatumia viongozi ktk utoaji Wa pesa hizi ili wazipige kidogoViongozi hao wabovu ndio waliomtafuta GSM wakaingia nao mkataba, so naposema hawana strategies za kuingizia timu hela ni kama huwatendei haki hao viongozi.
Ni jambo lililowazi kwenye hivi vilabu vikubwa, wakati uongozi huu unapokuwa madarakani, basi kuna wanachama wengine wanakuwa busy ku-sabotage jitihada za walio madarakani, mradi waonekane hawafai, ili wao au hao wanaowashabikia waje kuchukua uongozi. Ndilo linalotokea Yanga sasa hivi. Bahati mbaya mpaka hao wadhamini wanakuwa ni sehemu ya mgogoro badala ya kubakia na udhamini tuu..
Nini kifanyike gsm wasitoe tena pesa za msada ktk kusajili wachezaji ambao uongozi unawahitaji ila unashindwa kukidhi mahitaji yao?Bottom line, sitetei viongozi, bali kwa maoni yangu hata kama kiongozi ni mbaya, bt yupo pale na madaraka yake yako kikatiba. Kama hawafai, basi kuna taratibu kwa mujibu wa katiba ya timu, lakini haiingii akilini ati mdhamini aingilie uendeshaji wa klabu wakati katiba ya klabu haijasema hivyo.
Kwa mifumo hii ya kiuendeshaji soka kwa vilabu hivi vikubwa, usitegemee kupata viongozi watakaoweza kuleta maendeleo unayoyataka.
Katika wale wajumbe watatu nafikili na huyu mmoja wapo... ila all in all vita vya panzi furaha kwa kunguru!!! Mna midomo sana nyie.... simba bingwa 2019_2020πππ€£πGSM asepe tu atuachie timu yetu sisi ndo wananchi. Anataka kujimilikisha yanga kiholela, atengeneze timu yake kama anaona ni rahisi.
Hata weweee tutakukosaaa nendaa tuNjaa mbaya sana, hivi mashabiki wa Yanga (mnjiita timu ya wananchi wakati mnajikomba kwa GSM) anayofanya GSM makubaliano yake ni yapi mnayajua? Au nyie ni wale wa ndiyo Bosi, kwa nini kipindi hiki cha uelewa mpana wa mikataba nyie mnaruhusu kampuni ifanye mambo bila makubaliano yoyote. Sasa ikatokea GSM akaacha ina mana timu unaenda kumkosa Morison, kocha,kocha wa viungo, Nchimbi, Niyonzima, Adeyu, Lamina,. Kwa nini mgekua na akili msingeweza kuboresha mkataba ili hayo hata akisema anaondka mkawa na sehemu ya kumbana badala ya kumpigia magoti kama saizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA.
Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji
1. Rodgers Gumbo
2. Richard Shija
3. Salum Rupia
Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha sana juu ya jambo hili na kusema kuwa GSM kafanya hili kwa kuitetea Yanga je kosa lipo wapi. Kamapuni ya GSM iliandikiwa barua isijihusishe na usajiri.
GSM imeandika barua tarehe 24.03.2020 kwenda Yanga na haitajihusisha tena na Mambo ambayo ni nje ya mkataba wa Jezi. Imeachana na mshahara wa Kocha na benchi lote la ufundi.
Huu ndio ukweli.. Maadui wa yanga kwasasa mbali na MAGOMA ni Gumbo, Rupia na Shija bila kumsahau Kamugisha. Mambo ya msemaji wetu Bumbuli kukanusha ni uongo. Na baada ya kikao cha kamati bwana Rupia aliongea na muandishi aitwae NAHEKA na huyu mwandishi ndie alieawafungua wengi macho.
Huu ni ukweli wa asilimia mia moja. Ghalibu kaandika barua na imepokelewa yanga.tarehe 24 mchana. Bodi.ya GSM imemshauri Ghalib kushugulika na jezi tu basi.
Bwana Gumbo, Shija, Rupia na Kamgisha hatutachanga tena na tutakufa na nyie.
Corona vipi ndugu yangu ...huko ulaya ikiwemo Englang wanafikiria kufuta ligi...timu yangu ya Liverpool huenda ikakosa after waiting for almost 30 years..Katika wale wajumbe watatu nafikili na huyu mmoja wapo... ila all in all vita vya panzi furaha kwa kunguru!!! Mna midomo sana nyie.... simba bingwa 2019_2020πππ€£π
Sie pale tulipoishia ndipo tutapoanzia.. na hata huko ulaya kwa mfano hispania.. wamesema wamearisha kwa muda usiojulikana kwa hiyo tatizo likiisha goma linaanza pale lilipoishia hawajasema wamefutaCorona vipi ndugu yangu ...huko ulaya ikiwemo Englang wanafikiria kufuta ligi...timu yangu ya Liverpool huenda ikakosa after waiting for almost 30 years..
Katika historia ya dunia epidemic haiwezi kuwa ya muda mfupi...anyway tuache hayo ...tusitishe watu...watu wenyewe wajisomee au wafanye rejea kuhusu namna magonjwa mbalimbali yalivyowahi kuitesa dunia Kama surua na kadhalika...tumuombe mwenyezi Mungu tu...Sie pale tulipoishia ndipo tutapoanzia.. na hata huko ulaya kwa mfano hispania.. wamesema wamearisha kwa muda usiojulikana kwa hiyo tatizo likiisha goma linaanza pale lilipoishia hawajasema wamefuta