Yanga inawadhamini wengi, SportPesa akiwa mdhamini mkuu. GSM udhamini wake ni kwenye jezi, ila alichoamua kufanya kama msaada nje ya mkataba ndio kilichohojiwa na kuleta mgogoro.
Kwa maoni yangu GSM wanatumia nguvu yao ya pesa kufanya yasiyo wajibu wao na wao kutamkwa zaidi kuliko wadhamini wengine.
Na hata ukimsikia Nugaz msemaji wa Yanga amekuwa kama msemaji wa GSM zaidi akisifia brand yao kuliko wadhamini wengine.
Pia kutoa pesa zao nje ya mfumo rasmi wa club kuna leta harufu ya utakatishaji pesa kwa njia hiyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app